Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 13,217
- 37,441
Madueke hafai hata kucheza NDONDO CUP ni takataka
Umeona huo moto😀😀Sasa nini Mkuu?
Aah! Mi nilikuzidi hadi nikajuta kukaa macho bora ningelala zangu. Japo leo mecho ya Senegal saa tato nitaangalia pia sitaacha.Jana nimepata sana msongo wa mawazo ajili ya Ivory coast sitarudia tena kosa la kushabikia timunya watu weusi. Mpaka nione moira umeisha kabisa ndo nitafurahia
Si hawakua kwenye formDhambi ya kumwacha Parmer na Foden inamtafuna Tuchel.
Dhambi ya kumuweka bench Mainoo
Atakoma leo
Yaani ni puresha mwanzo mwisho.Umeona huo moto😀😀
Jamaa wa moto kama CIPENGA
Kuna Jirani kapiga kelele mpaka tumeshuka😀😀Mpira aiseeYaani ni puresha mwanzo mwisho.
Unaongoza huku huna amani. 😂😂
Mimi sasa je hadi sauti huwa inakauka. 🙈Kuna Jirani kapiga kelele mpaka tumeshuka😀😀Mpira aisee