Mbona Mbappe anafunga?Au joto la sasa la marekani linawatesa Hawa ngozi nyeupe
Holland OUT
Germany OUT
England ??
Mara nyingi sana team za Africa hua zinaharibu dakika za mwishoni.Sijui kwa nini tu ila nahisi Congo inatolewa leo…..
Tayari kuna mambo ya kipumbavu pumbavu ambayo washaanza kuyafanya.
MzigulaEe ndo nimekuja muda huu kumbe congo wamepiga jitu moja lol
😬😬😬😬Mbona Mbappe anafunga?
Au joto linachagua wafaransa
Agree or cryView attachment 3620080
✅✅✅✅✅ HARRY KANEHii ngoma bao m'bich goli lipo