Mvinyo mpya
JF-Expert Member
- Aug 24, 2013
- 3,149
- 7,426
Kwanini mbape anaitwa dictator?
Huku bongo ni leo leo saa moja jioni.Hii si ni kesho…..
Baadaye ni Ecuador na Mexico.
Khanji Mzee wa Kupuna ...Ghana wapoGhana yupo?
Timu ngumu za kuipa changamoto France ni zipi?..Mkuu hata Mimi kiukweli naona France wako vizuri na wanaweza kuchukua World Cup hii, ila ukweli ni kwamba hawajapata changamoto kucheza na timu ngumu... Sasa hawa Sweden hata ukiwakabidhi Colombia si wanakula nyingi.. Hata wakikutana na Morocco wanapasuka vizuri tu...
France sana sana wako vizuri pale Mbele yaani Mbappe, Dembele, Olise na hao Madogo akina Doue na Barcola... Ila beki yao akija kukutana na moto wa wanaume tutakuja kuongea lugha moja, Siku wamekutana na Messi ameamka na mashetani yake hao akina Kounde, Upamecano eti Digne watabondeka vibaya.
Kuhusu Portugal wanaangushwa na Ronaldo anazurura tu uwanjani na pia hamna kocha pale..
Muda utajibu hili.Note this France hachukui kombe. Hua sikosei jama. Nitarudi kuwakumbusha
France wako vizuri hapo mbele, wakikutana na Argentina kwa hiyo back itakua piga nikupige kama ile ya fainali ya 2022.. France akijutana Argentina au Colombia ndo itakua kipimo sahihi maana tunamwona mkali anavyowafunga hao wachovuTimu ngumu za kuipa changamoto France ni zipi?..
Kwahiyo anachukua Spain?Mwaka huu huu hicho kikosi kikiwa ndani wamekula chuma tano toka spain tena yamal kidogo atupie hat trick. Kwenye uero tena wamebondwa. Note this France hachukui kombe. Hua sikosei jama. Nitarudi kuwakumbusha
Mkuu kwani ufaransa yeye hagongwi? Mbona Ufaransa aligongwa na Ivory coast tena ni mwezi wa sita wakiwa full kikosiColombia hii hii iliyobondwa na Mexico?.....
Ufaransa mnaichukulia poa eeeeeeeehhhhh...
Colombia sio haba....labda tuone na hao Argentina kama watafurukuta..France wako vizuri hapo mbele, wakikutana na Argentina kwa hiyo back itakua piga nikupige kama ile ya fainali ya 2022.. France akijutana Argentina au Colombia ndo itakua kipimo sahihi maana tunamwona mkali anavyowafunga hao wachovu
Ile ni mechi ya kupasha misuli ....Mkuu kwani ufaransa yeye hagongwi? Mbona Ufaransa aligongwa na Ivory coast tena ni mwezi wa sita wakiwa full kikosi
Sure kabisa nahisi ana deserve kuchukua kombe... Lakini pia hajakutana na Kipimo sahihi design ya timu kama Argentina hapo ndo tutajua panapovuja.. Maana wote aliowagonga ni tia maji sana.Ila wakuu Ufaransa wanaubonda hadi kero
Ila nahisia safari hii wananyanyua kwapa, pale mbele wako clinical sana, mbappe, Dembele, Barcola wakisaidiwa na Olisse ni habari nyingine, hata Argentina kwa staili hii wanaweza pasuka tuSure kabisa nahisi ana deserve kuchukua kombe... Lakini pia hajakutana na Kipimo sahihi design ya timu kama Argentina hapo ndo tutajua panapovuja.. Maana wote aliowagonga ni tia maji sana.
Ni kweli mkuu, hata nao Ufaransa hizo Beki za Upamekano, sijui Kounde siku hiyo Messi amemka na Mashetani yake huoni km mtu atakua anapasuliwa kwake... Gonga nikugonge km ile ya 2022Ila nahisia safari hii wananyanyua kwapa, pale mbele wako clinical sana, mbappe, Dembele, Barcola wakisaidiwa na Olisse ni habari nyingine, hata Argentina kwa staili hii wanaweza pasuka tu
Ila gonga ni kugonge ya safari hii, sioni kama Argentina atabahatika safari hii ni kweli eneo la ulinzi kuna tatizo lakini naamini pale mbele patasahihisha makosa ya ulinzi, they are deadly Infront of the goal, watu weusi wa maana kabisaNi kweli mkuu, hata nao Ufaransa hizo Beki za Upamekano, sijui Kounde siku hiyo Messi amemka na Mashetani yake huoni km mtu atakua anapasuliwa kwake... Gonga nikugonge km ile ya 2022
Najaribu kukuelewa, kiukweli pale mbele wana balaa..Ila gonga ni kugonge ya safari hii, sioni kama Argentina atabahatika safari hii ni kweli eneo la ulinzi kuna tatizo lakini naamini pale mbele patasahihisha makosa ya ulinzi, they are deadly Infront of the goal, watu weusi wa maana kabisa