2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

20260701_110718.jpg


Group zima mapema tu. Shwaaaaaaa
 
Mkuu hata Mimi kiukweli naona France wako vizuri na wanaweza kuchukua World Cup hii, ila ukweli ni kwamba hawajapata changamoto kucheza na timu ngumu... Sasa hawa Sweden hata ukiwakabidhi Colombia si wanakula nyingi.. Hata wakikutana na Morocco wanapasuka vizuri tu...

France sana sana wako vizuri pale Mbele yaani Mbappe, Dembele, Olise na hao Madogo akina Doue na Barcola... Ila beki yao akija kukutana na moto wa wanaume tutakuja kuongea lugha moja, Siku wamekutana na Messi ameamka na mashetani yake hao akina Kounde, Upamecano eti Digne watabondeka vibaya.

Kuhusu Portugal wanaangushwa na Ronaldo anazurura tu uwanjani na pia hamna kocha pale..
😄😄😄rudia hapo kuhusu portugal
 
Mkuu hata Mimi kiukweli naona France wako vizuri na wanaweza kuchukua World Cup hii, ila ukweli ni kwamba hawajapata changamoto kucheza na timu ngumu... Sasa hawa Sweden hata ukiwakabidhi Colombia si wanakula nyingi.. Hata wakikutana na Morocco wanapasuka vizuri tu...

France sana sana wako vizuri pale Mbele yaani Mbappe, Dembele, Olise na hao Madogo akina Doue na Barcola... Ila beki yao akija kukutana na moto wa wanaume tutakuja kuongea lugha moja, Siku wamekutana na Messi ameamka na mashetani yake hao akina Kounde, Upamecano eti Digne watabondeka vibaya.

Kuhusu Portugal wanaangushwa na Ronaldo anazurura tu uwanjani na pia hamna kocha pale..
Ureno wanatimu nzuri, yaani wanaviungo watatu bora ulaya Neves,Vitinha, Bruno bado kuna Bernado, Leao,Cancelo,Conceicao ,kocha nae anawaangusha. Kwa kifupi upande wa Middle, Ureno wapo vizuri ila kocha kichaa.
 
Ureno wanatimu nzuri, yaani wanaviungo watatu bora ulaya Neves,Vitinha, Bruno bado kuna Bernado, Leao,Canselo Conceicao ,kocha nae anawaangusha. Kwa kifupi upande wa Middle, Ureno wapo vizuri ila kocha kichaa.
Kwanini wasitumie uwezo binafsi? kocha anatoa maelekezo ndio, lakini kuna maxingira unatakiwa kama mchrzaji bora uonyeshe kitu tofauti, wale jamaa wapiga pasi nyingi zisizo na faida , yaani pasi zisizo na madhara kwa mpinzani
 
Messi fans wanadai huyu jamaa hapa chini ni playmaker.

Playmaker ana goli 6 bila assist, how?


FB_IMG_1782916491832.jpg


Vipi na huyu jamaa hapa chini mwenye assist 5 na bao 1 huyu tumuite nani?

FB_IMG_1782916494192.jpg
 
Back
Top Bottom