herman joshua
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 2,303
- 3,987
Ufaransa ni wazuri ila hawatutishiiiKuhusu Ufaransa tukisema muwe mnaelewa
Ufaransa ni wazuri ila hawatutishiiiKuhusu Ufaransa tukisema muwe mnaelewa
Yaani hamtishiki ' nyi ni nani?Ufaransa ni wazuri ila hawatutishiii
😄😄😄rudia hapo kuhusu portugalMkuu hata Mimi kiukweli naona France wako vizuri na wanaweza kuchukua World Cup hii, ila ukweli ni kwamba hawajapata changamoto kucheza na timu ngumu... Sasa hawa Sweden hata ukiwakabidhi Colombia si wanakula nyingi.. Hata wakikutana na Morocco wanapasuka vizuri tu...
France sana sana wako vizuri pale Mbele yaani Mbappe, Dembele, Olise na hao Madogo akina Doue na Barcola... Ila beki yao akija kukutana na moto wa wanaume tutakuja kuongea lugha moja, Siku wamekutana na Messi ameamka na mashetani yake hao akina Kounde, Upamecano eti Digne watabondeka vibaya.
Kuhusu Portugal wanaangushwa na Ronaldo anazurura tu uwanjani na pia hamna kocha pale..
Argenfifa😄😄Yaani hamtishiki ' nyi ni nani?
Ureno wanatimu nzuri, yaani wanaviungo watatu bora ulaya Neves,Vitinha, Bruno bado kuna Bernado, Leao,Cancelo,Conceicao ,kocha nae anawaangusha. Kwa kifupi upande wa Middle, Ureno wapo vizuri ila kocha kichaa.Mkuu hata Mimi kiukweli naona France wako vizuri na wanaweza kuchukua World Cup hii, ila ukweli ni kwamba hawajapata changamoto kucheza na timu ngumu... Sasa hawa Sweden hata ukiwakabidhi Colombia si wanakula nyingi.. Hata wakikutana na Morocco wanapasuka vizuri tu...
France sana sana wako vizuri pale Mbele yaani Mbappe, Dembele, Olise na hao Madogo akina Doue na Barcola... Ila beki yao akija kukutana na moto wa wanaume tutakuja kuongea lugha moja, Siku wamekutana na Messi ameamka na mashetani yake hao akina Kounde, Upamecano eti Digne watabondeka vibaya.
Kuhusu Portugal wanaangushwa na Ronaldo anazurura tu uwanjani na pia hamna kocha pale..
Ni FIFA Princess sio FIFA boy.Unatuogopa sana kijana ndo maana kila mala unatafuta pakuj8fichiaView attachment 3619527
Kwanini wasitumie uwezo binafsi? kocha anatoa maelekezo ndio, lakini kuna maxingira unatakiwa kama mchrzaji bora uonyeshe kitu tofauti, wale jamaa wapiga pasi nyingi zisizo na faida , yaani pasi zisizo na madhara kwa mpinzaniUreno wanatimu nzuri, yaani wanaviungo watatu bora ulaya Neves,Vitinha, Bruno bado kuna Bernado, Leao,Canselo Conceicao ,kocha nae anawaangusha. Kwa kifupi upande wa Middle, Ureno wapo vizuri ila kocha kichaa.
Roho inakutuma wapi? Gusa hapohapo😁Khani tunaishije leo..ni kama nimteketeze ENGLAND😀😀
😁😁😁acha dharau
Kabisa unaweka under 5.5?
Umenena vema, mi nadhani kocha wa Ureno anatakiwa kumpunguzia dakika za kuwepo uwanjani C Ronaldo ili kuiweka tmu kwenye uimara wake.Kuhusu Portugal wanaangushwa na Ronaldo anazurura tu uwanjani na pia hamna kocha pale..
😁😁😁hii mechi conner uhakika, na hawawezi fungana zaidi ya goal 5, tena hata 3+ ni kipengeleKabisa unaweka under 5.5?
Kona za jana zilikutamanisha eeh?
Subiri mechi ianze utafurahi. Na betbuilder hainaga cashout.