herman joshua
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 2,303
- 3,987
Hata wao huko mbali hawakutakiCape Verde hawafiki mbali.
Hata wao huko mbali hawakutakiCape Verde hawafiki mbali.
Historia ya kufika 16 bora ni ya kijinga,?Hawana mpira wanaandika historia ya kijinga tu
Mpaka sasa aishawachomoa watatu kwa goal difference tuGoli 5 zitambeba sana
Hatariiiiiii ni mtifuano tuView attachment 3616656
Kivumbi Cha Mtoano
Jamaa mbaya sana huyu
Finally you're talking the truth 🔥🔥🔥🎯Mi ni shabiki wa Ronaldo lakini siku zote nitazungumza ukweli pale unapodhihirika.
Ingawa napenda sana namna Ronaldo anavyofunga, jinsi alivyokuwa ana dribble, anavyoji position, upigaji wake wa free kick, ufundi wa kupiga penati na mambo mengine anayofanya katika ubora.
Lakini kila mtu anajua ukweli halisi kwamba Messi ni bora kuliko Cristiano Romero.
View attachment 3616509
Finally you're talking the truth 🔥🔥🔥🎯
Hapa plwalichemka.
Anaruka ruka tu na kubadilisha jina mwisho lakini moyo wake unajua ukweli ni kwamba Messi he's above all playersSoma tena mzee.
Miwani ya ushabiki haioneshagi ukweli.
Aliamua kumtaja Cristiano Romero forward wa Argentina kwa makusudi au anacheza tu na maneno?....😃😃Anaruka ruka tu na kubadilisha jina mwisho lakini moyo wake unajua ukweli ni kwamba Messi he's above all players
Umeshindwa kuelewaFinally you're talking the truth 🔥🔥🔥🎯
Anacheza na maneno 😁Aliamua kumtaja Cristiano Romero forward wa Argentina kwa makusudi au anacheza tu na maneno?....😃😃
Cape Verde, Iran, South Africa