2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Greatest Of All Time & uran
Ingekua inawezekana ningewaombea mpewe Platinum Membership, hua mwajitahidi sana kuleta Updates kwenye nyuzi zinazohitaji Updates.

Salute kwenu🫡
Asante sana.
This time tumekuwa wengi sana....
Wewe mwenyewe....na kina Scars
100 others , Mahondaw , Seran ,Vien Al-mukheef Mtaachana, Palac Proved Rabbon Nyani Ngabu , comrade_kipepe Depal , mzabzab
herman joshua
The Icebreaker Funny boe
Na wengine kibao...
Mmefanya hapa pawe pachangamfu sana
 
Asante sana.
This time tumekuwa wengi sana....
Wewe mwenyewe....na kina Scars
100 others , Mahondaw , Seran , Mtaachana, Palac Rabbon Nyani Ngabu , comrade_kipepe Depal , mzabzab
Na wengine kibao...
Mmefanya hapa pawe pachangamfu sana
1ECB1447-FE07-4FCB-AAB5-B7DC1F4F1BF7.jpeg
 
Asante sana.
This time tumekuwa wengi sana....
Wewe mwenyewe....na kina Scars
100 others , Mahondaw , Seran , Mtaachana, Palac Rabbon Nyani Ngabu , comrade_kipepe Depal , mzabzab
Na wengine kibao...
Mmefanya hapa pawe pachangamfu sana
Mi ni shabiki wa Ronaldo lakini siku zote nitazungumza ukweli pale unapodhihirika.

Ingawa napenda sana namna Ronaldo anavyofunga, jinsi alivyokuwa ana dribble, anavyoji position, upigaji wake wa free kick, ufundi wa kupiga penati na mambo mengine anayofanya katika ubora.

Lakini kila mtu anajua ukweli halisi kwamba Messi ni bora kuliko Cristiano Romero.
FB_IMG_1782211576934.jpg
 
Back
Top Bottom