Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 74,196
- 183,025
Kila la kheri FranceFrance timu yangu ya pili.
Lakini leo nasimama na Vikings...Rooo Roooo roooo
Amen
Kila la kheri FranceFrance timu yangu ya pili.
Lakini leo nasimama na Vikings...Rooo Roooo roooo
Ni utashi binafsi wa watu tuTimu iliyokuwa inapewa nafasi kubwa kuchukua ubingwa ni Spain
Hapa ndio hata mimi nilishangaa yani Spain anapewaje nafasi ya juu kumzidi France?
View attachment 3616440
R.I.P23 years ago today, Marc-Vivien Foé tragically passed away whilst playing an international match for Cameroon. RIP, Foé. 🇨🇲🙏View attachment 3616420
Asante sana.Greatest Of All Time & uran
Ingekua inawezekana ningewaombea mpewe Platinum Membership, hua mwajitahidi sana kuleta Updates kwenye nyuzi zinazohitaji Updates.
Salute kwenu🫡
Asante sana.
This time tumekuwa wengi sana....
Wewe mwenyewe....na kina Scars
100 others , Mahondaw , Seran , Mtaachana, Palac Rabbon Nyani Ngabu , comrade_kipepe Depal , mzabzab
Na wengine kibao...
Mmefanya hapa pawe pachangamfu sana
Inaumiza sana!😞🤣🤣🤣🤣
Messi was selected 🤣🤣
Mi ni shabiki wa Ronaldo lakini siku zote nitazungumza ukweli pale unapodhihirika.Asante sana.
This time tumekuwa wengi sana....
Wewe mwenyewe....na kina Scars
100 others , Mahondaw , Seran , Mtaachana, Palac Rabbon Nyani Ngabu , comrade_kipepe Depal , mzabzab
Na wengine kibao...
Mmefanya hapa pawe pachangamfu sana
Kaona hivi
Sawa, namimi naruhusiwa kumuacha kwasababu ipi?Wala usiumie! Usifanye comparison kwa vitu visivyoendana
Muda utatoa jibu 😃😃Kaona hiviView attachment 3616511