The Icebreaker
Platinum Member
- Apr 24, 2014
- 37,881
- 117,037
Thanks kwa updates guys
Nafuatilia huu uzi,
Kazi nzuri wakuu,
Big up sana.
Nafuatilia huu uzi,
Kazi nzuri wakuu,
Big up sana.
technolojia, tutakuwa tunaona wote lakiniJapo nina wasiwasi na huu mpira ingizo jipya la kisasa huu mpira unaweza kutumika kuhujumu baadhi ya magoli au kupotezwa uelekeo pindi unapopigwa
Wataiweza Portugal ya mwaka huu kweli?😅Timu France ✌️✌️✌️✌️
Endpo kama Portugal akiweza kumchakaza Spain basi anafika uko ila kuna hatihati Portugal au France kukutana na Spain kabla ya kufika uko fainalPORTUGAL & FRANCE wana vikosi vizuri sana...kuna uwezekano mojawapo ikatwaa Ubingwa.
England anaweza kuchuana na ufaransa ya sasa au Portugal na Spain?Endeleeni kuisahau England, hapa nisiongee sana. Muda utatuambia
I find peace in this squad
I don't, Tatizo la England miaka yote ni kutokuwa na Spirit ya kupambana mpaka tone ya mwisho hata kama wana wachezaji wazuri hawana Pumzi kubwa na wapo soft....Waislam wanaita JIHADDon't underate England tuna timu.
Spain ya mwaka huu sio ya kuifunga Portugal wala FranceEndpo kama Portugal akiweza kumchakaza Spain basi anafika uko ila kuna hatihati Portugal au France kukutana na Spain kabla ya kufika uko fainal
Sawa sawa.I don't, Tatizo la England miaka yote ni kutokuwa na Spirit ya kupambana mpaka tone ya mwisho hata kama wana wachezaji wazuri hawana Pumzi kubwa na wapo soft....Waislam wanaita JIHAD
Hata walivyopoteza kwa Italy that time, ni kwamba Italy walipambana deadly kuliko England
Tazama timu kama Uruguay au Argentina utanielewa 🤣
Wanachekesha sana Hawa ingekuwa kuleta kombe nyumbani ni kujitutumua kwenye masongi basi wangekuwa na makombe mengi 😁😁😁
Sawa nukuu maneno yako hayo bwashee kizuri wengi wa wachezaji wa France wametokea ligi ya spainSpain ya mwaka huu sio ya kuifunga Portugal wala France
Haya embu sema ukimtoa mvp wa bundersliga Henry kane pale mbele pekee unaweza kumtegemea bukayo saka afanye maajabu kule mbeleKabisa mkuu, wanachuana na wanawafunga, hapa siongei ushabiki 🙂
England mtoe weka bingwa mtetezi hapo alafu naona kama japan hamumuangalii kwa jicho la unafikiKati ya hizi timu, moja anachukua ubingwa
1. Netherland
2. Portgual
3. England
4. spain
5. France