2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Panama alipigwa na england 6-1 na awamu hii pia anakutana nae apo kumbuka england kwa Croatia tegemea sare ila kwa panama na ghana watakubari KANE anaanza kuhesabu magoli yule
Mwanetu unaichukuliaje Ghana?
Hawa wanaenda hadi 16 bora, tunza hii risit.
Panama anapigwa na Ghana, Ghana ana droo na England, anamfunga Croatia
 
Back
Top Bottom