2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Timu za kiboya kama Uzbekistan ndiyo ziliinyima nafasi Italia.
Afadhali hata Congo na timu nyingine za Afrika zina nafuu kuliko hizi za Ulaya mashariki
Timu boya kama Uzbekistan na Curacao sizipendi mimi za kuletea watu rekodi ionekane WC ni rahisi. Waweke vigezo vigumu na Asia na Caribbeans wawape timu chache. Asia wabaki kina Japan na Asia hawa wanywa uji wakacheze judo.
 
Oyaa Team Messi leo tutamkoma Scars😂😂😂😂
1000041949.jpg
 
Back
Top Bottom