Hahaha tunisia hawatoboi hata point moja hawaondoki nayoMlima wa Tunisia sasa unazidi kilele cha Evarest
Kwani hawa Tunisia si tulitoa nao draw Afcon tena ilibidi tuwafungeHalafu hawa Tunisia ni wachovu sana ila cha ajabu kwenye game za kufuvu World Cup wanakomaa kinoma ila wakija world cup ni ujinga tu... Hata ligi ya Tunisia ni tia maji sana, Angalia last season wale Esperance wamecheza na Simba champions league but wanakata viuno tu uwanjani... Mi nilikua nakaa nawaangalia, yaani hawa ni Mabingwa wa Tunisia seriously?
Sasa kwenye hicho kikosi cha Tunisia kina machezaji mpaka ya Esperance na mengine ya kutoka timu zingine za ligi ya Tunisia..
Wavimba macho nao wamepata mnyonge wao wakujipigia.FT
Tunisia 0
Japan 4
Umenikumbusha mkuu 😅🤣😂Kwani hawa Tunisia si tulitoa nao draw Afcon tena ilibidi tuwafunge
Nilianza kuwashangaa kwenye ile afcon yaani wanachokifanya sasahivi hata siwashangai tena maan najua ni wabovuUmenikumbusha mkuu 😅🤣😂
Tulitoa nao draw, tena ile game tulikua tunawagonga kabisa pamoja na kwamba refarii pia aliwabeba.
Bwana weee timu nayotoa draw na taifa stars hamna kitu hiyoKwani hawa Tunisia si tulitoa nao draw Afcon tena ilibidi tuwafunge
Kwahiyo tusiwashangae kabisa haki Yao kutudhalilisha waafrika kwenye World CupBwana weee timu nayotoa draw na taifa stars hamna kitu hiyo
Hawa toka afcon uliona hawana timu...yule dogo hannibal aliongea ukweli watu waka mind...alisema tunisia tupo nyuma miaka 10 kwenye mpira. Sasa wewe mechi mbili goli 9 conceded ukizingatia wewe una experience ya worldcup mara saba unafungwaje goli zote hizoKwahiyo tusiwashangae kabisa haki Yao kutudhalilisha waafrika kwenye World Cup
Huyo kocha nahisi ni mpya yule aliyefungwa mechi ya kwanza alifukuzwa mudaWakuu ndo kuamka hapa kuiendeleza wekeend
Huyu kocha ya Tunisia akimaliza mashindano yapaswa afungiwe kabisa anaharibu haiba ya kikosi cha Tunisia inamaana mbinu zote ameshindwa kupata goli 1 walau
Raphinha imekuaje?
Inashangaza sana, tunisia ilikua sio ya kupigwa hivyoWakuu ndo kuamka hapa kuiendeleza wekeend
Huyu kocha ya Tunisia akimaliza mashindano yapaswa afungiwe kabisa anaharibu haiba ya kikosi cha Tunisia inamaana mbinu zote ameshindwa kupata goli 1 walau