Nafikiri INategemea na hali ya opponent. Hukuona walivokiwasha kwa brazilHuu mpira wa Morocco hawafiki mbali. Wanacheza show game. Pasi fupifupi pamoja na back passes za nini?
Nafikiri INategemea na hali ya opponent. Hukuona walivokiwasha kwa brazilHuu mpira wa Morocco hawafiki mbali. Wanacheza show game. Pasi fupifupi pamoja na back passes za nini?
Maybe. Morocco ni kama washapenya group stageNafikiri INategemea na hali ya opponent. Hukuona walivokiwasha kwa brazil
MmhhFT
Scotland 0
Morocco 1.
Hapa Scotland afanye juhudi kwa Brazil
Kikosi chao kinaogopesha kwa majina ila mambo yao uwanjani!!Nimejiunga na wewe tena.
Uturuki wamekuwa Utopolo sasa.
Naona makundi hawatoboi hawa turkeyNimejiunga na wewe tena.
Uturuki wamekuwa Utopolo sasa.
Acha udini wewe sio Muislamu, Visungura visikupelekeshe huu sio uzi wa dini , huoni aibu peke yako kwenye Uzi huu kila siku uanketa mambo ya kidini ?Ndio, Mimi muislamu najivunia moroko, hata wao walivyofika nusu Fainali walisema ushindi ule ni kwa ajili ya sisi Ulimwengu wa waislamu
Hapana iwe red hivohivo kwasababu kuna watu wanawatukana matusi makubwa wenzaoAdhabu ya kuziba mdomo ingekuwa yellow card. Red ni ukatili sana.
Adhabu haendani na kosa. Ukimpiga njano hakuna wa kurudia. Kwanza hapa sidhani kama hili kosa litajirudia tena.Hapana iwe red hivohivo kwasababu kuna watu wanawatukana matusi makubwa wenzao