2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Hawa hawatoboi nafasi nyingi hawana.meno wangekutana na england tu hapa wangeisha tatz scot nae hana wafungaji
Huu mpira wa pasi milioni waliuweza Brazil tu miaka ya nyuma na uzuri wa Brazil walikua na pure talented footballers katika kila kombe la dunia. Lakini style ya ujerumani na Ufarasa ndiyo inayotamba kwa sasa. Wajiangalie
 
1000811867.jpg
 
Back
Top Bottom