SGRIle speed ya beki mbili haikuwa ya mchezo
Hehehee na leo tumeanza mapema….Kujiweka ni changamoto sana
1-0
Dogo amezingua nini, nlikua bize leo sijaweza kuingia mtandaoniMashabiki wa Ronaldo wamechafukwa huko insta. Wamevamia account ya joao neves na kumporomoshea matusi. Hawakuishia hapo wameemda hadi kwenye account ya demu wa Joao Neves na kumtukana kama vile yeye alikua anacheza pia. Nayeye hajawalazia damu😂😂😂
View attachment 3611386
Kwa mechi 2Jonathan David kaja kazima mjadala wa GOATView attachment 3610999
Hiki ndo alichosema dogo.. post yake ina kama comment laki na nusu afu matusi matupu.Dogo amezingua nini, nlikua bize leo sijaweza kuingia mtandaoni
Huyu kajichanganya. Hayo maneno angesema tu kwa mke wake chumbani.Hiki ndo alichosema dogo.. post yake ina kama comment laki na nusu afu matusi matupu.
View attachment 3611413
Mbona sioni kama ni ya kukwaza au nna wenge la usingiziHuyu kajichanganya. Hayo maneno angesema tu kwa mke wake chumbani.