2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Mkuu unaelewa unachokijadili lakini?

Umesema Curacao kapigwa goli 7-1 na ujerumani coz ni underdog,
Ndio maana nikakuuliza kua,kwa hiyo Brazil nae alipopigwa na Ujerumani goli 7-1 kwenye semi final,nae alikua underdog?
Germany dhidi ya curacao ni matokeo yaliyokua yakitarajiwa hasa ukilinganisha ubora wa mchezaji mmoja mmoja kwa kila timu

Germany na Brazil kisoka na ubora wa mchezaji viko sawa vinapishana kidogo tu hivyo
 
Germany dhidi ya curacao ni matokeo yaliyokua yakitarajiwa hasa ukilinganisha ubora wa mchezaji mmoja mmoja kwa kila timu

Germany na Brazil kisoka na ubora wa mchezaji viko sawa vinapishana kidogo tu hivyo
Hawa Brazil wa sasa wakikutana na German bado watachapika sana
 
Yaani kisiwa cha Curacao chenye idadi ya watu 156,000 kimefuzu kushiriki kwenye fainali za kombe la dunia 2026!! Mmmhhh, hii ndiyo kusema "wingi wa makamasi siyo ukubwa wa pua"> kwahiyo cha kujivunia ni quality and not quantity. Na sisi tutakapokuwa bora tutafuzu.

Sasa hapa ndipo ninapomkumbuka mshabiki mmoja wa AFC almaarufu Gunners katika moja ya mechi alisema maneno haya "...amazing story only football can tell"- Jubilate Muro
 
Back
Top Bottom