Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,828
- 5,969
Huyu ameshanukuliwa akisema akiondoka yy hakuna wa kuendeleza miradi aliyoianzisha unadhan hii nchi ameanza kuijenga yy kuna viashiria vingi vya huyu kutaka kuongezewa muda
Umeelewa swali lakini?
Umeombwa kifungu cha katiba kinacho back up maelezo yako.
Ni kifungu gani?