2017-2018 CAG alibaini TTCL inaidai Wizara ya Ujenzi Bilion 20.63, Imekuwaje Ripoti ya 2021 waseme hawamjui wanaemdai?

Mpinzire

JF-Expert Member
Jan 18, 2013
7,225
12,948
Ripoti ya CAG mwaka 2017- 2018 ilibaini kuwa TTCL ikiidai Wizara ya Ujenzi, Uchukuz na Mawasiliano rakribani Bilion 20.63 kama marejesho ya gharama za ujenzi wa mkongo wa Taifa.

2021 CAG Report inasema TTCL inadai Tsh Billion 21 ila haijui inaemdai! Imekuwaje tena hapa?
Screenshot_2023-04-11-09-05-33-94_f541918c7893c52dbd1ee5d319333948.jpg
FtI9yB_WYAkI3-t.jpg
 
Back
Top Bottom