2011 UDSM nilinusurika kukamatwa

Ndio maana watu wanalalamikia elimu yetu. Wewe umesoma mpaka chuo kikuu. Lakini unaandika paragraph nzima bila kituo. Msitari juu ya msitari.... Hata sielewi story ya Salum imeishia wapi na hiyo nyingine imeanzia wapi!
 
Ni kweli mkuu.COeT kwenye mgomo mara nyingi walikuwa si washirika wazuri
Dah Coet ndio imekua hivyo siku hizi wakati zamani FOE na baadae Coet ndio walikua waasisi wa kunji karibu zote
 
Mi nilikua maeneo ya mti mkubwa pale karib na nkurumah ,..kilipigwa ki ngola ki1 cha polis nkajishtukia niko kwenye lab ya chemistry department
 
Alishabib ni Mwanamke lakini alitisha sana kuliko wanaume kibao pale Udsm. Japokua na yeye alitimuliwa..
 
2011 nilikua 1 year,Muce Iringa na tukaandamana mpaka kwa Mkuu wa mkoa,Christina Ishengoma.Tukatoka pale tukazama town na Msigwa(mmbunge)akatuahidi baada ya siku 3 likatoka.
 
Kipindi hicho shule nyingi zilikuwa zinakabiliwa na baa la njaa, kama kumbukumbu ziko sawa kipindi hicho wazabuni waligoma kwa sababu serikali ilikuwa haijawalipa kwa muda mrefu, baadhi ya shule zilifikia hatua ya kufungwa kwa ukosefu wa chakula
Unakumbukumbu nzuri unanikumbusha kurudi home kisa shule advance hatukuwa na chakula
 
Kuna Mdau mmoja naye alikua mwanaharakati Anaitwa Baraka kijicho,Anadai alilia sana pale segerea gerezani Baada ya wale Askari kumtajia profile hadi kwao na Mama yake anavyomtegemea amtoe kwny umasikini.
 
Kwani amesoma bachelor of Kiswahili
Ndio maana watu wanalalamikia elimu yetu. Wewe umesoma mpaka chuo kikuu. Lakini unaandika paragraph nzima bila kituo. Msitari juu ya msitari.... Hata sielewi story ya Salum imeishia wapi na hiyo nyingine imeanzia wapi!
 
Nimesoma Engineering lakini nakumbuka shule ya msingi na sekondari nilifundishwa punctuation. Labda uniambie kuwa siku hizi mnakwenda chuo kikuu bila kupita sekondari na msingi. Tatizo ni kwamba "mavyuo" yamekuwa meeeengi, hata msiostahili mnakwenda na kumaliza. Vyuo vingine hata havina sifa za kuwa vyuo.
Kwani amesoma bachelor of Kiswahili
 
Bila shaka utakuwa ngosha.

Mavyuo ndo nini?
Kazi kukosoa wengine wakati sie tunapiga story tu na wala hatuandiki official barua
 
Hata haujui maana ya quotation marks. Swali langu ni lilelile - uliruka punctuation primary na sekondari? Unapiga stori ndio - lakini ina maana gani kuwasiliana na usieleke? Kama unawasiliana halafu haueleweki, unapoteza muda tu.
Bila shaka utakuwa ngosha.

Mavyuo ndo nini?
Kazi kukosoa wengine wakati sie tunapiga story tu na wala hatuandiki official barua
 
Daah alshabaab Mungu ambariki sana popote pale alipo
 
Ulisoma Panctuation na mwalimu nani aliyekufundsha "Labda" ufuata baada ya kituo kikubwa....Kakojoe ulalee
 
hahahaha yupo wapi bahati tweve!
 
Shukuru kuwa "mavyuo" yamekuwa mengi kuliko wanafunzi. Magufuli ana haki ya kufunga vyuo uchwara. Ungesoma enzi yangu, usingefika chuo kikuu. Umekaririshwa kuwa "because" haiwezi kuanza sentensi, siyo?
Ulisoma Panctuation na mwalimu nani aliyekufundsha "Labda" ufuata baada ya kituo kikubwa....Kakojoe ulalee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…