Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,467
- 65,791
- Thread starter
- #501
Sasa hivi tunatengeneza walk of shame.
Usinisahau katika ufalme wako
Sasa hivi tunatengeneza walk of shame.
😀😀😀😀heka heka za mtu mweusi tu.Oh ulienda kutembea au kusambaza sembe la mbeyajokes tu
Cape Town,
heka heka za mtu mweusi tu.


embu tuambie maish yalikuwaj uko maana story za vijiweni bhnaKwenye kuzaliwa hapo! Mmmh! Kumbe kuna vimtu viduchu sana humu...2006 ulikuwa wapi?
Mimi nilikuwa ndio nazaliwa wewe je? 😂😂😂
Mwaka wa2 chuo2006 ulikuwa wapi?
Mimi nilikuwa ndio nazaliwa wewe je? 😂😂😂
Kitambo sanaDuh kumbe muhenga kidog
Kwenye kuzaliwa hapo! Mmmh! Kumbe kuna vimtu viduchu sana humu...
Ndio nilihitumu kidato cha sita kipindi hicho...
Mwaka wa2 chuo


ongera mzee uliwai sana mm natamanig ningewai kuzaliwaNa vilivyo na makelele na ujuaji khaa!!Kwenye kuzaliwa hapo! Mmmh! Kumbe kuna vimtu viduchu sana humu...
Ndio nilihitumu kidato cha sita kipindi hicho...
Na vilivyo na makelele na ujuaji khaa!!


tuacheni msitupangie maisha30's nowIla umekula chumvi si inakutosha sasaiv![]()
Ukonga Mombasa na ndio mwaka niliofungua duka langu binafsi baada ya kujimake
We acha tu! Bonge la Jina lkn kamtu sisimizi jina tembo 😂😂😂Na vilivyo na makelele na ujuaji khaa!!
We acha tu! Bonge la Jina lkn kamtu sisimizi jina tembo![]()


ilo ndio muhimu kakaHapana duka lipo ila nilijichanganya nikaenda kusomaOngera sana kwa mapamban makali now najua una maduka makubwa sana