Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,974
- 35,341
Hapana duka lipo ila nilijichanganya nikaenda kusoma
Siku zote nilikuwa na shauku ya kusoma nikaanza QT 2008 elimu haikunitenga as 2011 nikajoin Mzumbe na Sasa ni mtumishi wa umma
Naamini ningejikita kwenye biashara ningefika mbali ila sio kesi


wat mnapenda utotoHahahaha mtoto halali na hela hii ID hunikumbusha mbali sana...Kumbe ndio maana hatutakiwi kubishana sana, maana wengine hata maziwa hayajakauka
Si bora mimi. Wee unaejidai umezaliwa 2006 ndio unapenda ukubwa ??wat mnapenda utoto
na mindevu yote ile eti uwe wa 2006 thubutu yake.Si bora mimi. Wee unaejidai umezaliwa 2006 ndio unapenda ukubwa ??na mindevu yote ile eti uwe wa 2006 thubutu yake.
Sent using Jamii Forums mobile app


sina ndevu mimi ndio kwaza nimetoka chunus juz tu acha kunizeesha Yah ni maisha maana napo si pabayaMuhimu umepata kile ulichokuwa unakitama kupata
sina ndevu mimi ndio kwaza nimetoka chunus juz tu acha kunizeesha
Mm type zangu vitoto vya shule sekondar uko ndio najipoozea unatak unibemende wewe
Mtu ambae hakujui ndio atakuamini. Kwenda zako.Yah ni maisha maana napo si pabaya


mbona unapenda kuniongeezea umr tu wwmbona unapenda kuniongeezea umr tu ww

asa kwani uongo? We mwenyewe unajua unatupiga kamba hapa.

hatamimi nilianza mwaka huo bado sijaoa wewe ushaolewa?😄Darasa la kwanza
Kei weweWazazi wangu walikuwa hata hawajuani.
Nilikuwa kwenye kende za mzee.



Nilikuwa na ..., I mean no malice to nobodyBado ww ujasema ulikuwa wapi mm ndio nazaliwa
Mimi nilikua chekecheaNilikuwa form2
Aha SawA sio mbayaMimi nilikua chekechea