britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Tanganyika Ilipata Uhuru Mwaka 1961 Japo 1964 Uhuru Kamili Wa Nchi Tanzania Ukapatikana,ingawa Tanzania Ilipata Mwanaume Mwanasiasa Mwenye Heri Julius Nyerere Mwaka 1958 Alivyochaguliwa Kuwa Waziri Mkuu,ambaye Alisimamia Haki Usawa Na Ukweli, Na Maono Ya Mbali, Kwa Kuchukia Rushwa, Uzembe, Ukanda, Ujinga, Tanzania Ilitambalia Katika Misingi Hyo Kwa Miaka Ya Uongozi Wake, Lakin Alipo Ng'atuka Mambo Yalikuwa Mabaya, Rushwa Ikashamili, Uzembe Na Ukabila Ukaanza, Kiongoz Aliyetegemea Kuyatokomeza Haya Alikuwa Benjamin Mkapa, Lakin aka face challenges,
Kikwete hatukutemea alete mabadiliko Maana Ndo Alizungukwa Na Mtandao mbaya, dalili zikaonesha wala rushwa Na Wabadhilifu Wa fedha wangeendelea kuwa Ikulu kama Edward Lowassa angepita,
Hapa Ndipo Mungu Akatengeneza Muujiza Juu ya Lowassa na Membe Wakatofautiana baraka zikalijia Taifa La Tanzania Kupitia CCM Kwa kuepuka kikombe cha Lowassa na Membe,
Tarehe 12.July.2015 Tukampata Magufuli John Pombe Joseph, ni tarehe ya uhuru wa pili Wa Tanzania
Namshauri Magufuli japo ataleta uhuru wa uchumi lakin asije akajidanganya uhuru wa watu akaunasibisha na madalali wa mabeberu kama Rostam Azizi, Nyalandu, na wengine wapinzani ambao watatumika kuhujumu nchi yetu,
Hapa najua yajayo yana ugumu kuyatekeleza lakin usidhani mtu Kama mbowe au Lissu au Msigwa, watafurahia uongozi makini wa Magufuli kuna watu ambao mnawaona wapinzani wa kweli kumbe wachumia tumbo, pia hata ndani ya CCM wapo si upinzani tu,
Najua ukishapitishwa na CCM we ndo rais ajaye ila kuwa makini na watu watano hawa si wazuri
A.Rostam Azizi
B.Tundu Lissu
C.Mbowe
D.Membe huyu kutopitishwa kwake si kwamba kusalimu amri hapana kaanza kazi ya chini chini utashtuka mbeleni sana
E.Lowassa huyu ana mizizi mingi hasa ndani ya Chama anasikilizwa sana na wachumia tumbo,
Kikwete hatukutemea alete mabadiliko Maana Ndo Alizungukwa Na Mtandao mbaya, dalili zikaonesha wala rushwa Na Wabadhilifu Wa fedha wangeendelea kuwa Ikulu kama Edward Lowassa angepita,
Hapa Ndipo Mungu Akatengeneza Muujiza Juu ya Lowassa na Membe Wakatofautiana baraka zikalijia Taifa La Tanzania Kupitia CCM Kwa kuepuka kikombe cha Lowassa na Membe,
Tarehe 12.July.2015 Tukampata Magufuli John Pombe Joseph, ni tarehe ya uhuru wa pili Wa Tanzania
Namshauri Magufuli japo ataleta uhuru wa uchumi lakin asije akajidanganya uhuru wa watu akaunasibisha na madalali wa mabeberu kama Rostam Azizi, Nyalandu, na wengine wapinzani ambao watatumika kuhujumu nchi yetu,
Hapa najua yajayo yana ugumu kuyatekeleza lakin usidhani mtu Kama mbowe au Lissu au Msigwa, watafurahia uongozi makini wa Magufuli kuna watu ambao mnawaona wapinzani wa kweli kumbe wachumia tumbo, pia hata ndani ya CCM wapo si upinzani tu,
Najua ukishapitishwa na CCM we ndo rais ajaye ila kuwa makini na watu watano hawa si wazuri
A.Rostam Azizi
B.Tundu Lissu
C.Mbowe
D.Membe huyu kutopitishwa kwake si kwamba kusalimu amri hapana kaanza kazi ya chini chini utashtuka mbeleni sana
E.Lowassa huyu ana mizizi mingi hasa ndani ya Chama anasikilizwa sana na wachumia tumbo,