Kwa Siasa za Tanzania Mbowe ni 'next level'. Aliwahi kukutana na Mandela baada ya kutoka jela, ana maarifa mengi!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,996
142,010
Nimeangalia orodha ya watu wanaomponda Mbowe kuanzia Wabunge, UVCCM hadi akina Hamad Rashid nikaona 95% ni chuki binafsi tu na wala siyo lile angalizo au tahadhari aliyotoa Freeman.

Mtu kama Kibajaj Tangu ahame CHADEMA na kujiunga CCM amekuwa na bifu na Mbowe. Hamad Rashid akiwa bungeni mara kwa mara alikuwa akimrefer Mbowe kama DJ katika namna ya kutaka kumdharau tu. UVCCM hawamjui Freeman kwa sababu bado ni watoto.

Mbowe ana uzoefu na Siasa za Tanzania na ni mtu mwenye Ushawishi, ndio sababu aliiweza kuwashawishi Mawaziri Wakuu Wastaafu wawili wajiunge CHADEMA, hilo siyo jambo dogo.

Kimsingi kitendo cha Mbowe kumchukua Lowassa ndio kilibadili kabisa mfumo wa Siasa za CCM, ambapo sasa kuna Mawaziri ambao ni zao la Mbowe; mfano Silinde na Katambi ambao Shujaa Magufuli aliwatamani.

Kana kwamba hiyo haitoshi shujaa ilibidi achukue nguvu kazi ya BAWACHA kwa lazima ndio hao akina Covid-19. Sisi tunaomjua Freeman kitambo 1970s tunaomjua ni mtu mwenye maarifa Mengi.

Nimewapeni haya machache Ili mpambane naye kwa hoja kwa sababu zaidi ya hoja mtajisumbua bure, ilimlazimu shujaa kuishushia kitu kizito Club Billicanas lakini mwamba bado anadunda tena kiuimara zaidi.

Halafu Amos ni mtu wa Jazz band enzi zile waliitwa Wakuja wakiishia Amana, DDC au Vijana Air Pambamoto kwa Hemed Maneti.

Mlale unono!
 
Kuhusu kufanana na MANDELA KUHUSU KUALIKWA IKULU BAADA TU YA KUTOKA JELA kunaweza kuwa sahihi....japo Mandela hakuwa mahabusu pale Robben Island.... Mbowe alikuwa mahabusu "segedanse".

Sisi vijana wa CCM tunaweza tusimjue Mbowe wa miaka hiyo ya 70....

Ila tunamjua vyema kama mtu "kinyonga" panapokuwa na maslahi yake binafsi.

1)Mbowe alilamba....alilambishwa kufikia uamuzi wa "kubadili gia angani", ushahidi upo bayana.

2)Si tu siasa dhidi ya CCM iliyosabisha yeye na mh.Tundu Lissu wafanye "lobbying" kwa wabunge wa CDU ujerumani kutaka "motion" bundestag kuishinikiza serikali ya Tanzania iachane na ujenzi wa BWAWA la kufua umeme Mwalimu Nyerere wenye kuzalisha megawati 2215....ikaja kufahamika kuwa matajiri wenye viwanda huko walikuwa wanapinga kuogopea biashara zao za "majenereta" kuanzia madogo mpaka yale makubwa ya viwandani....Mbowe alilambishwa haswaaa....

3)Mbowe hawapingi DP WORLD kisiasa tu....Kalamba....aisukume "ajenda" ya waarabu hao kufadhili "makundi ya kigaidi"...Msukumo huo unatoka kwa baadhi ya wachina na wafanyabiashara wa nchi za magharibi..na unashika kasi kwa kuwa tu mh.Rais SSH anatokea Zanzibar...Mbowe anashangaza sana.....anaingiza ubaguzi wa KIKABILA NA KIKANDA ambao ni haramu kwetu watanzania.....

Kama si mh.Rais SSH...mh.Mbowe angeshtakiwa ile kesi ya Ugaidi....hapa ndipo pangemfanya afanane na hayati Mandela

Hana shukran....
Hana shukran....

Amezoea siasa za "kusukumana" alizopitia utawala wa awamu ya 5.....

Kukosoa si kosa....ila kusema kuwa mh.Rais SSH anaiuza nchi huku vijana wa Mbowe wakisema kwa kuwa ni "mwarabu" ana wajomba Oman ni kosa la karne....mh.SSH na Oman wapi na wapi?!!!

Hivi Wamakunduchi anapotokea Rais wetu wameanza lini kuwa na "usuhuba" wa damu na waarabu ?!!!

Yaani wamakunduchi walioitwa WAHADIMU na waarabu leo wamegeuka waarabu?!

Vijana wa Mbowe hawajui historia....watupu kabisa...watuulize sisi makomredi vijana makini wa CCM...tutawafundisha historia ya mataifa haya ya JMT na watu wake.

#SiempreJMT

#MamaAnaupigaMwingi

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Kuhusu kufanana na MANDELA KUHUSU KUALIKWA IKULU BAADA TU YA KUTOKA JELA kunaweza kuwa sahihi....japo Mandela hakuwa mahabusu pale Robben Island.... Mbowe alikuwa mahabusu "segedanse"....

Sisi vijana wa CCM tunaweza tusimjue Mbowe wa miaka hiyo ya 70....
Umeelezea vyema sana.
 
Mbowe kukutana na Mandela sio habari ya kushangaza kwasababu baba yake alikuwa bilionea na pia mtu wa karibu wa Mwalimu Nyerere. Enzi za mwalimu tayari Mbowe alikuwa ana uwezo wa kununua benz. Kitu pekee ninachokubaliana nawe ni kimoja tu... MBOWE ANA UTU NA UBINADAMU. Binafsi nilimshuhudia LIVE kule Machame mwaka 1998 kabla hajawa mbunge akimsaidia mama mmoja Tsh 70,000/= mwanae alikuwa kachaguliwa shule form one huku akiwa hana pesa. Mbowe alikuwa anaendesha gari ila mwananchi alivyopunga akasimamisha na kumsikiliza kisha kuchomoa wallet na kumsaidia. Pia sifa nyingine nzuri ya Mbowe ni kukuza vipaji vya siasa. Zitto, Mdee, Lissu na vijana wengine wengi ni kazi ya Mbowe. Mwaka 2005 Mbowe aliteka sana hisia za vijana. Ninadhani pia ni mtu anayeipenda nchi yake maana mara nyingi kawatuliza wafuasi wake na kutaka njia za kidiplomasia zitumike.

Pamoja na hizo sifa nzuri ila pia upande wake wa pili ulianza kuonekana kuanzia 2015 alipocheza kamari ya kuachana na Dr Slaa aliyekibeba chama mabegani kwa miaka mingi na kumkaribisha hadi chumbani mtu alitekuwa na kashfa ya ufisadi. Ule ulikuwa mwanzo wa kifo cha CHADEMA. Hii hali tunayoiona ya CHADEMA kukosa mwelekeo ni matokeo ya uamuzi wa hovyo wa Mbowe mwaka 2015. Pia kwenye mambo ya viti maalum Mbowe amekua na kashfa ya kupeleka hawara zake bungeni huku wanachama wenye sifa wakiachwa. Pia kuitumia CHADEMA kwa maslahi yake binafsi ya kifedha ni jambo ambalo linamchafua sana Mbowe. Wakati chama kikiwa hakina ofisi tayari Mbowe anashusha ghorofa lake la kuishi. Kimsingi kwenye mambo ya pesa MBOWE NI DHAIFU. Hafai kukabidhiwa hazina ya nchi.
 
Mbowe kukutana na Mandela sio habari ya kushangaza kwasababu baba yake alikuwa bilionea na pia mtu wa karibu wa Mwalimu Nyerere. Enzi za mwalimu tayari Mbowe alikuwa ana uwezo wa kununua benz. Kitu pekee ninachokubaliana nawe ni kimoja tu... MBOWE ANA UTU NA UBINADAMU. Binafsi nilimshuhudia LIVE kule Machame mwaka 1998 kabla hajawa mbunge akimsaidia mama mmoja Tsh 70,000/= mwanae alikuwa kachaguliwa shule form one huku akiwa hana pesa. Mbowe alikuwa anaendesha gari ila mwananchi alivyopunga akasimamisha na kumsikiliza kisha kuchomoa wallet na kumsaidia. Pia sifa nyingine nzuri ya Mbowe ni kukuza vipaji vya siasa. Zitto, Mdee, Lissu na vijana wengine wengi ni kazi ya Mbowe. Mwaka 2005 Mbowe aliteka sana hisia za vijana. Ninadhani pia ni mtu anayeipenda nchi yake maana mara nyingi kawatuliza wafuasi wake na kutaka njia za kidiplomasia zitumike.

Pamoja na hizo sifa nzuri ila pia upande wake wa pili ulianza kuonekana kuanzia 2015 alipocheza kamari ya kuachana na Dr Slaa aliyekibeba chama mabegani kwa miaka mingi na kumkaribisha hadi chumbani mtu alitekuwa na kashfa ya ufisadi. Ule ulikuwa mwanzo wa kifo cha CHADEMA. Hii hali tunayoiona ya CHADEMA kukosa mwelekeo ni matokeo ya uamuzi wa hovyo wa Mbowe mwaka 2015. Pia kwenye mambo ya viti maalum Mbowe amekua na kashfa ya kupeleka hawara zake bungeni huku wanachama wenye sifa wakiachwa. Pia kuitumia CHADEMA kwa maslahi yake binafsi ya kifedha ni jambo ambalo linamchafua sana Mbowe. Wakati chama kikiwa hakina ofisi tayari Mbowe anashusha ghorofa lake la kuishi. Kimsingi kwenye mambo ya pesa MBOWE NI DHAIFU. Hafai kukabidhiwa hazina ya nchi.


Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Mbowe kukutana na Mandela sio habari ya kushangaza kwasababu baba yake alikuwa bilionea na pia mtu wa karibu wa Mwalimu Nyerere. Enzi za mwalimu tayari Mbowe alikuwa ana uwezo wa kununua benz. Kitu pekee ninachokubaliana nawe ni kimoja tu... MBOWE ANA UTU NA UBINADAMU. Binafsi nilimshuhudia LIVE kule Machame mwaka 1998 kabla hajawa mbunge akimsaidia mama mmoja Tsh 70,000/= mwanae alikuwa kachaguliwa shule form one huku akiwa hana pesa. Mbowe alikuwa anaendesha gari ila mwananchi alivyopunga akasimamisha na kumsikiliza kisha kuchomoa wallet na kumsaidia. Pia sifa nyingine nzuri ya Mbowe ni kukuza vipaji vya siasa. Zitto, Mdee, Lissu na vijana wengine wengi ni kazi ya Mbowe. Mwaka 2005 Mbowe aliteka sana hisia za vijana. Ninadhani pia ni mtu anayeipenda nchi yake maana mara nyingi kawatuliza wafuasi wake na kutaka njia za kidiplomasia zitumike.

Pamoja na hizo sifa nzuri ila pia upande wake wa pili ulianza kuonekana kuanzia 2015 alipocheza kamari ya kuachana na Dr Slaa aliyekibeba chama mabegani kwa miaka mingi na kumkaribisha hadi chumbani mtu alitekuwa na kashfa ya ufisadi. Ule ulikuwa mwanzo wa kifo cha CHADEMA. Hii hali tunayoiona ya CHADEMA kukosa mwelekeo ni matokeo ya uamuzi wa hovyo wa Mbowe mwaka 2015. Pia kwenye mambo ya viti maalum Mbowe amekua na kashfa ya kupeleka hawara zake bungeni huku wanachama wenye sifa wakiachwa. Pia kuitumia CHADEMA kwa maslahi yake binafsi ya kifedha ni jambo ambalo linamchafua sana Mbowe. Wakati chama kikiwa hakina ofisi tayari Mbowe anashusha ghorofa lake la kuishi. Kimsingi kwenye mambo ya pesa MBOWE NI DHAIFU. Hafai kukabidhiwa hazina ya nchi.
waTanzania tunajichelewesha wenyewe.
Laiti tungekuwa tunawatumia watu wenye uwezo na dhamira ya dhati kuisambaratisha ccm!
Hilo lidude linazidi kujibadilisha kuwa hatari hata kwa lenyewe!
 
Kuhusu kufanana na MANDELA KUHUSU KUALIKWA IKULU BAADA TU YA KUTOKA JELA kunaweza kuwa sahihi....japo Mandela hakuwa mahabusu pale Robben Island.... Mbowe alikuwa mahabusu "segedanse"....

Sisi vijana wa CCM tunaweza tusimjue Mbowe wa miaka hiyo ya 70....

Ila tunamjua vyema kama mtu "kinyonga" panapokuwa na maslahi yake binafsi....

1)Mbowe alilamba....alilambishwa kufikia uamuzi wa "kubadili gia angani" ..ushahidi upo bayana....

2)Si tu siasa dhidi ya CCM iliyosabisha yeye na mh.Tundu Lissu wafanye "lobbying" kwa wabunge wa CDU ujerumani kutaka "motion" bundestag kuishinikiza serikali ya Tanzania iachane na ujenzi wa BWAWA la kufua umeme Mwalimu Nyerere wenye kuzalisha megawati 2215....ikaja kufahamika kuwa matajiri wenye viwanda huko walikuwa wanapinga kuogopea biashara zao za "majenereta" kuanzia madogo mpaka yale makubwa ya viwandani....Mbowe alilambishwa haswaaa....

3)Mbowe hawapingi DP WORLD kisiasa tu....Kalamba....aisukume "ajenda" ya waarabu hao kufadhili "makundi ya kigaidi"...Msukumo huo unatoka kwa baadhi ya wachina na wafanyabiashara wa nchi za magharibi..na unashika kasi kwa kuwa tu mh.Rais SSH anatokea Zanzibar...Mbowe anashangaza sana.....anaingiza ubaguzi wa KIKABILA NA KIKANDA ambao ni haramu kwetu watanzania.....

Kama si mh.Rais SSH...mh.Mbowe angeshtakiwa ile kesi ya Ugaidi....hapa ndipo pangemfanya afanane na hayati Mandela

Hana shukran....
Hana shukran....

Amezoea siasa za "kusukumana" alizopitia utawala wa awamu ya 5.....

Kukosoa si kosa....ila kusema kuwa mh.Rais SSH anaiuza nchi huku vijana wa Mbowe wakisema kwa kuwa ni "mwarabu" ana wajomba Oman ni kosa la karne....mh.SSH na Oman wapi na wapi?!!!

Hivi Wamakunduchi anapotokea Rais wetu wameanza lini kuwa na "usuhuba" wa damu na waarabu ?!!!

Yaani wamakunduchi walioitwa WAHADIMU na waarabu leo wamegeuka waarabu ?!!!

Vijana wa Mbowe hawajui historia....watupu kabisa...watuulize sisi makomredi vijana makini wa CCM...tutawafundisha historia ya mataifa haya ya JMT na watu wake.....

#SiempreJMT

#MamaAnaupigaMwingi

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kwa kukusaidia hiyo DP World ipo tu mbele kama shati ila nyuma yake yupo Marekan. Anataka kuchukua hili lango la Bahar kumuwahi mchina ili amiliki nchi nane zinazotuzunguka. DP World wakishakubaliwa waamerica wanaingia nao mkataba. Ndio maana wameweka kituo Kigali. Walikuwa wanasubiria tuwekeze trillion moja bandarin tujenge hii reli mpya then umeme wa Magufuli so akichukua reli amemaliza. Watakuwa na uhakika wa bandari reli na umeme. Hapo Target ni madini ya congo Zambia nk. Waafrika tumekuwa maamuma kubaki kuangalia vitu vidogo ilhali hawajamaa tangu tumeanza ujenz wa reli wanatulia timing. Wakaenda kuwah kuanzisha dry Port Kigali. Na ndicho kilichomleta Kagame hapa Dar juz Kati. Sasa wewe kwasababu hufikir unatuletea udini cjui uarabu. Fikir nje ya box Mzee tunaliwa mchana kweupe. Na huo ni mkataba mmoja Kati ya 17 aliyosain mama pale Dubai.
 
Nimeangalia orodha ya watu wanaomponda Mbowe kuanzia Wabunge, UVCCM hadi akina Hamad Rashid nikaona 95% ni chuki binafsi tu na wala siyo lile angalizo au tahadhari aliyotoa Freeman.

Mtu kama Kibajaj Tangu ahame CHADEMA na kujiunga CCM amekuwa na bifu na Mbowe. Hamad Rashid akiwa bungeni mara kwa mara alikuwa akimrefer Mbowe kama DJ katika namna ya kutaka kumdharau tu. UVCCM hawamjui Freeman kwa sababu bado ni watoto.

Mbowe ana uzoefu na Siasa za Tanzania na ni mtu mwenye Ushawishi, ndio sababu aliiweza kuwashawishi Mawaziri Wakuu Wastaafu wawili wajiunge CHADEMA, hilo siyo jambo dogo.

Kimsingi kitendo cha Mbowe kumchukua Lowassa ndio kilibadili kabisa mfumo wa Siasa za CCM, ambapo sasa kuna Mawaziri ambao ni zao la Mbowe; mfano Silinde na Katambi ambao Shujaa Magufuli aliwatamani.

Kana kwamba hiyo haitoshi shujaa ilibidi achukue nguvu kazi ya BAWACHA kwa lazima ndio hao akina Covid-19. Sisi tunaomjua Freeman kitambo 1970s tunaomjua ni mtu mwenye maarifa Mengi.

Nimewapeni haya machache Ili mpambane naye kwa hoja kwa sababu zaidi ya hoja mtajisumbua bure, ilimlazimu shujaa kuishushia kitu kizito Club Billicanas lakini mwamba bado anadunda tena kiuimara zaidi.

Halafu Amos ni mtu wa Jazz band enzi zile waliitwa Wakuja wakiishia Amana, DDC au Vijana Air Pambamoto kwa Hemed Maneti.

Mlale unono!
Jiunge tu na CHADEMA maana sio kwa kuhangaika huku.. Umeiponda wee lakini wapi, kile roho inachokulazimisha uandike lakini nafsi yako haiko radhi ndio umeanza kukiandika sasa!
Umeshiriki kwa nguvu kubwa mno kui down grade CHADEMA ya huyo unayejaribu kumsifia sasa lakini ukashindwa vibaya mno
Umeipa CHADEMA na viongozi na wanachama wake kila aina ya jina baya, umebeza, umekejeli umetunga kila aina ya uongo lakini CHADEMA imeendelea kuwa imara zaidi
Yote hayo yameshindwa kabisa kuponya maumivu yako! Pole Jo.. Lakini wewe ni BONGE LA MNAFIKI!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jiunge tu na CHADEMA maana sio kwa kuhangaika huku.. Umeiponda wee lakini wapi, kile roho inachokulazimisha uandike lakini nafsi yako haiko radhi ndio umeanza kukiandika sasa!
Umeshiriki kwa nguvu kubwa mno kui down grade CHADEMA ya huyo unayejaribu kumsifia sasa lakini ukashindwa vibaya mno
Umeipa CHADEMA na viongozi na wanachama wake kila aina ya jina baya, umebeza, umekejeli umetunga kila aina ya uongo lakini CHADEMA imeendelea kuwa imara zaidi
Yote hayo yameshindwa kabisa kuponya maumivu yako! Pole Jo.. Lakini wewe ni BONGE LA MNAFIKI!

Sent using Jamii Forums mobile app

Sisi tunamtetea mbowe kwenye la bandari kwani kuna uadui, mtu akikumbuka toka magomeni ulipokua mzizi wa chadema, hadi ikahamia kino, sio kila siku tufanye siasa kwenye ukweli hua tunaeleza tu
 
Kuhusu kufanana na MANDELA KUHUSU KUALIKWA IKULU BAADA TU YA KUTOKA JELA kunaweza kuwa sahihi....japo Mandela hakuwa mahabusu pale Robben Island.... Mbowe alikuwa mahabusu "segedanse"....

Sisi vijana wa CCM tunaweza tusimjue Mbowe wa miaka hiyo ya 70....

Ila tunamjua vyema kama mtu "kinyonga" panapokuwa na maslahi yake binafsi....

1)Mbowe alilamba....alilambishwa kufikia uamuzi wa "kubadili gia angani" ..ushahidi upo bayana....

2)Si tu siasa dhidi ya CCM iliyosabisha yeye na mh.Tundu Lissu wafanye "lobbying" kwa wabunge wa CDU ujerumani kutaka "motion" bundestag kuishinikiza serikali ya Tanzania iachane na ujenzi wa BWAWA la kufua umeme Mwalimu Nyerere wenye kuzalisha megawati 2215....ikaja kufahamika kuwa matajiri wenye viwanda huko walikuwa wanapinga kuogopea biashara zao za "majenereta" kuanzia madogo mpaka yale makubwa ya viwandani....Mbowe alilambishwa haswaaa....

3)Mbowe hawapingi DP WORLD kisiasa tu....Kalamba....aisukume "ajenda" ya waarabu hao kufadhili "makundi ya kigaidi"...Msukumo huo unatoka kwa baadhi ya wachina na wafanyabiashara wa nchi za magharibi..na unashika kasi kwa kuwa tu mh.Rais SSH anatokea Zanzibar...Mbowe anashangaza sana.....anaingiza ubaguzi wa KIKABILA NA KIKANDA ambao ni haramu kwetu watanzania.....

Kama si mh.Rais SSH...mh.Mbowe angeshtakiwa ile kesi ya Ugaidi....hapa ndipo pangemfanya afanane na hayati Mandela

Hana shukran....
Hana shukran....

Amezoea siasa za "kusukumana" alizopitia utawala wa awamu ya 5.....

Kukosoa si kosa....ila kusema kuwa mh.Rais SSH anaiuza nchi huku vijana wa Mbowe wakisema kwa kuwa ni "mwarabu" ana wajomba Oman ni kosa la karne....mh.SSH na Oman wapi na wapi?!!!

Hivi Wamakunduchi anapotokea Rais wetu wameanza lini kuwa na "usuhuba" wa damu na waarabu ?!!!

Yaani wamakunduchi walioitwa WAHADIMU na waarabu leo wamegeuka waarabu ?!!!

Vijana wa Mbowe hawajui historia....watupu kabisa...watuulize sisi makomredi vijana makini wa CCM...tutawafundisha historia ya mataifa haya ya JMT na watu wake.....

#SiempreJMT

#MamaAnaupigaMwingi

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ukomredi siyo jina Zuzu wewe. Una ukomredi gani hata sifa za Mtu kuitwa Comrade huzijui? Muuzaji mkubwa wa jenereta ndogo Tanzania ni Ujerumani? Umezoea kutumia vibatari huko Sigimbi unajifanya unajua Biashara ya jenereta? Muulize Heri James atakwambia jenereta ndogo nchi hii zinatoka wapi Kwa wingi Acha porojo.
 
Kuhusu kufanana na MANDELA KUHUSU KUALIKWA IKULU BAADA TU YA KUTOKA JELA kunaweza kuwa sahihi....japo Mandela hakuwa mahabusu pale Robben Island.... Mbowe alikuwa mahabusu "segedanse"....

Sisi vijana wa CCM tunaweza tusimjue Mbowe wa miaka hiyo ya 70....

Ila tunamjua vyema kama mtu "kinyonga" panapokuwa na maslahi yake binafsi....

1)Mbowe alilamba....alilambishwa kufikia uamuzi wa "kubadili gia angani" ..ushahidi upo bayana....

2)Si tu siasa dhidi ya CCM iliyosabisha yeye na mh.Tundu Lissu wafanye "lobbying" kwa wabunge wa CDU ujerumani kutaka "motion" bundestag kuishinikiza serikali ya Tanzania iachane na ujenzi wa BWAWA la kufua umeme Mwalimu Nyerere wenye kuzalisha megawati 2215....ikaja kufahamika kuwa matajiri wenye viwanda huko walikuwa wanapinga kuogopea biashara zao za "majenereta" kuanzia madogo mpaka yale makubwa ya viwandani....Mbowe alilambishwa haswaaa....

3)Mbowe hawapingi DP WORLD kisiasa tu....Kalamba....aisukume "ajenda" ya waarabu hao kufadhili "makundi ya kigaidi"...Msukumo huo unatoka kwa baadhi ya wachina na wafanyabiashara wa nchi za magharibi..na unashika kasi kwa kuwa tu mh.Rais SSH anatokea Zanzibar...Mbowe anashangaza sana.....anaingiza ubaguzi wa KIKABILA NA KIKANDA ambao ni haramu kwetu watanzania.....

Kama si mh.Rais SSH...mh.Mbowe angeshtakiwa ile kesi ya Ugaidi....hapa ndipo pangemfanya afanane na hayati Mandela

Hana shukran....
Hana shukran....

Amezoea siasa za "kusukumana" alizopitia utawala wa awamu ya 5.....

Kukosoa si kosa....ila kusema kuwa mh.Rais SSH anaiuza nchi huku vijana wa Mbowe wakisema kwa kuwa ni "mwarabu" ana wajomba Oman ni kosa la karne....mh.SSH na Oman wapi na wapi?!!!

Hivi Wamakunduchi anapotokea Rais wetu wameanza lini kuwa na "usuhuba" wa damu na waarabu ?!!!

Yaani wamakunduchi walioitwa WAHADIMU na waarabu leo wamegeuka waarabu ?!!!

Vijana wa Mbowe hawajui historia....watupu kabisa...watuulize sisi makomredi vijana makini wa CCM...tutawafundisha historia ya mataifa haya ya JMT na watu wake.....

#SiempreJMT

#MamaAnaupigaMwingi

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Unapoandika vitu, fanya utafiti mdogo ili ujiridhishe. Unaweza kuandika mambo mengi ya msingi, lakini ukaweka moja tu ka uwongo, post yako yote ikaonekana ni uwongo.

Wewe umatoa sababu zako nyingine kuliko kuingia huko kwenye mambo ya uarabu. Sijui ulikuwa wapi!! Ni ujweli ukio wazi kuwa Rais Samia ana ndugu zake Uarabuni. Mjomba wake wa damu, anaishi Oman. Na mara baada ya kuchukua kiti cha Urais, Rais alifanya ziara ya kikazi nchini Oman. Na kule kati ya watu muhimu aliokutana nao ni pamoja na huyo mjomba wake, na picha zile ziliobeshwa na vyombo mbalimbali vya habari Duniani.

Lakini Rais Samia kuwa na ndugu zake huko Oman, siyo disqualificatuon ya kuwa kiongozi. Obama alikuwa Rais Marekani, baba yake alikuwa Mkenya. Na hilo halikumpunguzia hakibya kuwa Rais wa USA.

Akina Musukuma, Maulid Kitenge na wabunge wengine waliokula rushwa ya DP ili wawe mstari wa mbele katika uporaji wa bandari, hawana ndugu Uarabuni, lakini hulka yao ya uovu imewafanya wafanye uchafu walioufanya. Utawala wa Mwinyi uliuza Loliondo kwa waarabu, lakini Mwinyi hana ndugu Uarabuni.

Chongolo aliyewashinikiza wabunge kuwa ni kazima wabunge wa CCM waupitishe mkataba wa uporaji wa bandari ya Tanganyika, hana ndugu Uarabuni, au Mbarawa aliyeweka sahihi ya mkataba ule wa kishenzi wa kumgawua mwarabu bandari yetu, sudhani kama ana ndugu Uarabuni.

Lakini ni ukweli kuwa kuna mambo ya hovyo kabisa kuhusiana na mkataba wa bandari. Mnasema bandari siyo suala la mwungano. Kama hilo ni kweli kwa nini kiongozi mkuu wa bandari na uongozi wote wa wizara ambako bandari inaangukia wamewekwa Wazanzibari, kwenye kitu kisicho cha mwungano?
 
Unapoandika vitu, fanya utafiti mdogo ili ujiridhishe. Unaweza kuandika mambo mengi ya msingi, lakini ukaweka moja tu ka uwongo, post yako yote ikaonekana ni uwongo.

Wewe umatoa sababu zako nyingine kuliko kuingia huko kwenye mambo ya uarabu. Sijui ulikuwa wapi!! Ni ujweli ukio wazi kuwa Rais Samia ana ndugu zake Uarabuni. Mjomba wake wa damu, anaishi Oman. Na mara baada ya kuchukua kiti cha Urais, Rais alifanya ziara ya kikazi nchini Oman. Na kule kati ya watu muhimu aliokutana nao ni pamoja na huyo mjomba wake, na picha zile ziliobeshwa na vyombo mbalimbali vya habari Duniani.

Lakini Rais Samia kuwa na ndugu zake huko Oman, siyo disqualificatuon ya kuwa kiongozi. Obama alikuwa Rais Marekani, baba yake alikuwa Mkenya. Na hilo halikumpunguzia hakibya kuwa Rais wa USA.

Akina Musukuma, Maulid Kitenge na wabunge wengine waliokula rushwa ya DP ili wawe mstari wa mbele katika uporaji wa bandari, hawana ndugu Uarabuni, lakini hulka yao ya uovu imewafanya wafanye uchafu walioufanya. Utawala wa Mwinyi uliuza Loliondo kwa waarabu, lakini Mwinyi hana ndugu Uarabuni.

Chongolo aliyewashinikiza wabunge kuwa ni kazima wabunge wa CCM waupitishe mkataba wa uporaji wa bandari ya Tanganyika, hana ndugu Uarabuni, au Mbarawa aliyeweka sahihi ya mkataba ule wa kishenzi wa kumgawua mwarabu bandari yetu, sudhani kama ana ndugu Uarabuni.

Lakini ni ukweli kuwa kuna mambo ya hovyo kabisa kuhusiana na mkataba wa bandari. Mnasema bandari siyo suala la mwungano. Kama hilo ni kweli kwa nini kiongozi mkuu wa bandari na uongozi wote wa wizara ambako bandari inaangukia wamewekwa Wazanzibari, kwenye kitu kisicho cha mwungano?
Bams narudia tena....

Mh.Rais SSH si mwarabu....hana damu ya kiarabu iliyotokea Oman.....

Ni "mhadimu"...waarabu waliwaita watu weusi wa Makunduchi kuwa ni wahadimu....

Oman ni nchi hata wewe unaweza ukawa na ndugu zako wanaofanya maisha huko....

Hoja ya OMAN wapingaji uwekezaji huu wameishikilia kama luba..."purposely for the aiming of tarnishing her image"...it's a political game.....

Bado wewe mwenyewe unaendeleza UBAGUZI....

Ni kwamba hujakuwa "MTANZANIA HASWA"?!!

Ni kwamba bado hulielewi taifa lako na tunu zake ukichagizwa na "bigotry"?!!!

Mathalani...kusema kuwa kwa kuwa WAZIRI ni mzanzibari basi amechagiza "uuzwaji wa bandari"?!!!

Hapa una nia gani ?!!!

Hii si "bigotry"?!!

UBAGUZI wako huo unataka umee na kuota matawi yake ya kulipasua hili taifa ?!!!

Usilifanye hilo kuwa ni DOGO....huweza kuzaa UKANDA na UKABILA....

Hekima kuntu za mwalimu Nyerere zilipelekea kuunda muungano huu wa kipekee na kuturai dhidi ya UZANZIBARI NA UZANZIBARA...alijua wako wapuliza "filimbi" hizo na bila ya kukumbushana Tanganyika itarudi.....na Tanganyika ikirudi haitokuwa moja....watu watadai MAKABILA YAO ,KANDA ZAO....kwani tumefinyangwa kuwa hivi tulivyo "kuepusha nakama hiyo".....

Nje ya Muungano watanganyika si WAMOJA SI WAMOJA SI WAMOJA.....

Nje ya Muungano wazanzibari si WAMOJA SI WAMOJA SI WAMOJA....

Kukosekana utulivu "Tanganyika" na Zanzibar kutapelekea UASI ,MAJESHI KUPINDUANA ,UGAIDI WA KISIASA ,UGAIDI WA KIKOMUNISTI ,UGAIDI WA KIDINI....

Ndipo hapo utakapoanza kuona nchi zenye fedha na maguvu duniani zikiwekeza katika vikundi vya Ugaidi.....Zanzibar haitokuwa salama na "Kariakoo pia haitokuwa salama"....

Umenishangaza sana sana sana....kwa hiyo WAZIRI WA MUUNGANO akiwa ni kutoa huku kwetu BARA na akafanya maamuzi ambayo yataonekana "yako mbali na maslahi ya Zanzibar" basi wazanzibari waseme wanaonewa kwa kuwa aliyefanya maamuzi hayo ni wa huku BARA?!!!

#SayNoToRacism
#SayNoToBigotry
#MamaAnaupigaMwingi

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Ukomredi siyo jina Zuzu wewe. Una ukomredi gani hata sifa za Mtu kuitwa Comrade huzijui? Muuzaji mkubwa wa jenereta ndogo Tanzania ni Ujerumani? Umezoea kutumia vibatari huko Sigimbi unajifanya unajua Biashara ya jenereta? Muulize Heri James atakwambia jenereta ndogo nchi hii zinatoka wapi Kwa wingi Acha porojo.
Argumentum ad hominem...

Ninaitwa komredi toka sekondari....sijajiita...walaumu wanaoniita

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Kuhusu kufanana na MANDELA KUHUSU KUALIKWA IKULU BAADA TU YA KUTOKA JELA kunaweza kuwa sahihi....japo Mandela hakuwa mahabusu pale Robben Island.... Mbowe alikuwa mahabusu "segedanse"....

Sisi vijana wa CCM tunaweza tusimjue Mbowe wa miaka hiyo ya 70....

Ila tunamjua vyema kama mtu "kinyonga" panapokuwa na maslahi yake binafsi....

1)Mbowe alilamba....alilambishwa kufikia uamuzi wa "kubadili gia angani" ..ushahidi upo bayana....

2)Si tu siasa dhidi ya CCM iliyosabisha yeye na mh.Tundu Lissu wafanye "lobbying" kwa wabunge wa CDU ujerumani kutaka "motion" bundestag kuishinikiza serikali ya Tanzania iachane na ujenzi wa BWAWA la kufua umeme Mwalimu Nyerere wenye kuzalisha megawati 2215....ikaja kufahamika kuwa matajiri wenye viwanda huko walikuwa wanapinga kuogopea biashara zao za "majenereta" kuanzia madogo mpaka yale makubwa ya viwandani....Mbowe alilambishwa haswaaa....

3)Mbowe hawapingi DP WORLD kisiasa tu....Kalamba....aisukume "ajenda" ya waarabu hao kufadhili "makundi ya kigaidi"...Msukumo huo unatoka kwa baadhi ya wachina na wafanyabiashara wa nchi za magharibi..na unashika kasi kwa kuwa tu mh.Rais SSH anatokea Zanzibar...Mbowe anashangaza sana.....anaingiza ubaguzi wa KIKABILA NA KIKANDA ambao ni haramu kwetu watanzania.....

Kama si mh.Rais SSH...mh.Mbowe angeshtakiwa ile kesi ya Ugaidi....hapa ndipo pangemfanya afanane na hayati Mandela

Hana shukran....
Hana shukran....

Amezoea siasa za "kusukumana" alizopitia utawala wa awamu ya 5.....

Kukosoa si kosa....ila kusema kuwa mh.Rais SSH anaiuza nchi huku vijana wa Mbowe wakisema kwa kuwa ni "mwarabu" ana wajomba Oman ni kosa la karne....mh.SSH na Oman wapi na wapi?!!!

Hivi Wamakunduchi anapotokea Rais wetu wameanza lini kuwa na "usuhuba" wa damu na waarabu ?!!!

Yaani wamakunduchi walioitwa WAHADIMU na waarabu leo wamegeuka waarabu ?!!!

Vijana wa Mbowe hawajui historia....watupu kabisa...watuulize sisi makomredi vijana makini wa CCM...tutawafundisha historia ya mataifa haya ya JMT na watu wake.....

#SiempreJMT

#MamaAnaupigaMwingi

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Upunguze kuandika pumba ndefu.
 
Back
Top Bottom