Duh...poti weee.....Its not true, sii kweli hawa wote sii wazuri, so far, Rostam, aka "the king maker" is the best!.
ameipa CCM TV yake ya Channel Ten, tena nadhani ameitoa bure kwa sababu CCM ninayoiona mimi, haina the capacity kununua kitu cha pesa ndefu kama Channel Ten, CCM ingekuwa na uwezo huo, siku nyingi ingeimarisha Uhuru na Redio Uhuru.
Soon wema wake atauendeleza kwa kuipa CCM magazeti ya Mtanzania, Rai na Dimba.
Hivyo watu wengi, japo kwa nje wanaweza kuonekana kama wabaya, lakini kwa ndani ndio wema halisi wenyewe, halafu kuna watu wanaoonekana kama wema au wazuri kwa nje, lakini kwa ndani ndio mashetani wakubwa!.
Mkijua aliyepanga kumuua Lissu, huwezi kuamini kuwa ndiye yeye!, watu waone hivi hivi, umdhaniye ndiye, siye!.
P.