Baada ya shughuli kitandani MWANAMKE alimwambia mwanaume, "Gitaa lako dogo" MWANAUME akajibu: Sawa lakini sikujua kama nitatumbuiza Uwanja wa Taifa!.
Hahahahahaha duhMKE-mume wangu bomba linavuja litengeneze! MUME-kwani mi fundi bomba? MKE-paa limetoboka la nyumba?MUME-kwani mo fundi ujenzi? Basi siku moja mume akakuta bomba limetengenezwa na paa limezibwa, MUME-umempa nini fundi? MKE-fundi alitaka nimpikie keki au nimpe penzi,MUME-ha ha haaa vizuri najua ulimpikia keki sindiyoo?MKE-nyoooo nimpikie keki mie mpishi?nimempa Game.
This has made my day, ndio maana napenda kutembelea hivi vituko duh! huyo dada lazima alikoma kuringa nyambaf! kitu uwanja wa taifa
umetishaMKE-mume wangu bomba linavuja litengeneze! MUME-kwani mi fundi bomba? MKE-paa limetoboka la nyumba?MUME-kwani mo fundi ujenzi? Basi siku moja mume akakuta bomba limetengenezwa na paa limezibwa, MUME-umempa nini fundi? MKE-fundi alitaka nimpikie keki au nimpe penzi,MUME-ha ha haaa vizuri najua ulimpikia keki sindiyoo?MKE-nyoooo nimpikie keki mie mpishi?nimempa Game.
Kulikuwa na harusi ilifanyika kanisani, wakati misa ya ndoa ikiendelea Mchungaji ikafika wakati wa kuuliza kama kuna mtu mwenye kipingamizi na ndoa, babu mmoja na mkongojo wake akajivuta taratibu mpaka mbele, bibi harusi alipomwona akapiga kelele "Mungu wangu" akaanguka na kuzimia, Mchungaji akamuuliza "Ehee babu tuambie una kizuizi gani?" Babu akajibu "kule nyuma spika mbovu nimeamua kuja mbele nisikie vyema".