^00^

^00^

MWALIMU-We zuzu hesabu Hivi kwa haraka,one,two,three,four,five,six,...ZUZU-Watu'tulivo'vaasoksi!
 
Mpemba mmoja alikuwa ana mfundisha mwanae kusoma.
Akaanza a,e,i,o,u
mara akaunganisha
ba,be,bi,bo,bu
mara
mba, mbe, mbi,.... Mbu.
Binti akauliza baba mbna ku'nruka mboo!
Baba: hiyo utaenda kuijulia kwa mmeo.

Do hiiiii kali,
 
MUME: Mke wangu nimepata tatizo ofisini.MKE: Mume wangu unakosea kusema hivyo, sisi ni mwili mmoja, sema tumepata tatizo.MUME: Kweli mke wangu, TUMEZAA NA SECRETARI.

hahahahahahahahah, sante.
 
Mkuu hiyo ya Supu nimecheka mpaka machozi yamenitoka.
 
duuu....excellent joke posts of the day. sasa naweza kwenda kulala, sihitaji larger tena
kwani ubrain wangu umerefresh kinouuuma. thanx excellent...keep it up.
 
duuu....excellent joke posts of the day. sasa naweza kwenda kulala, sihitaji larger tena
kwani ubrain wangu umerefresh kinouuuma. thanx excellent...keep it up.
Ur welcome na bado
 
Back
Top Bottom