^00^

Mhudumu analeta supu huku katia kidole ndani ya bakuli.MTEJA: mbona unaweka dole lako ndani ya supu yangu?MHUDUMU: dactari kaniambia kidonda kiwe na joto saa zote ndio kitapona.MTEJA(kwa hasira): si uwe unakichomeka matakoni kwako muda wote.MHUDUMU: ndio huwa nafanya hivyo nikiwa jikoni.
u always make happy
 
Hakyanani msee wangu,nimenyosha mikono juu,ishara ya kusarenda,unatisha kama Osama.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom