Husninyo sanyku.......hujanipa sankx hata kwa siku moja leo ndo nimepata
Lol...Baada ya shughuli kitandani MWANAMKE alimwambia mwanaume, "Gitaa lako dogo" MWANAUME akajibu: Sawa lakini sikujua kama nitatumbuiza Uwanja wa Taifa!.
MUME: Mke wangu nimepata tatizo ofisini.MKE: Mume wangu unakosea kusema hivyo, sisi ni mwili mmoja, sema tumepata tatizo.MUME: Kweli mke wangu, TUMEZAA NA SECRETARI.
u always make happyMhudumu analeta supu huku katia kidole ndani ya bakuli.MTEJA: mbona unaweka dole lako ndani ya supu yangu?MHUDUMU: dactari kaniambia kidonda kiwe na joto saa zote ndio kitapona.MTEJA(kwa hasira): si uwe unakichomeka matakoni kwako muda wote.MHUDUMU: ndio huwa nafanya hivyo nikiwa jikoni.