Zitto Zuberi Ruyagwa Kabwe, maarufu kama Zitto Kabwe, ni mwanasiasa kutoka Tanzania kutoka chama cha ACT-Wazalendo. Zitto aliwahi kuwa mwanachama wa Chama Demokrasia na Mendeleo (CHADEMA) toka mwaka 1992 mpaka 2015 alipoachana na chama hicho.
Zitto ameshika nafasi ya Kiongozi wa Chama ACT-Wazalendo kwa miaka 9, mpaka March 2024 ambapo nafasi hiyo imechukuliwa na Dorothy Semu. Amewahi kuwa Mbunge wa Tanzania kwa vipindi viwili kuanzia 2005 mpaka 2015 akiwakilisha Jimbo la Kigoma Kaskazini.
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kigoma Mjini kupitia Chama cha ACT- Wazalendo Zitto Zuberi Kabwe amewaambia wanakigoma wakimchagua kuwa Mbunge atashusha bei ya Simenti ambayo inazalishwa katika Mkoa huo kutokana na bidhaa hiyo kuuzwa bei sawa na Simenti inayotoka Dar es salaam.
Zitto Kabwe amesema...
Mgombea Ubunge Jimbo la Kigoma Mjini kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Zitto Kabwe akiomba kura wakati wa kampeni yake ya nyumba kwa nyumba iliyofanyika kwenye kata ya Businde jimboni hapo, mkoani Kigoma, Septemba 23, 2025. Zitto aliambatana na viongozi na wanachama wa chama hicho katika zoezi hilo...
Mgombea ubunge Kwa tiketi ya chama Cha ACT Wazalendo Jimbo la Kigoma Mjini Zitto Kabwe ameahidi Kutatua changamoto ya ardhi inayowakabili wananchi wengi iwapo atachaguliwa.
Soma Pia: GE2025 - Zitto azindua Kampeni Kigoma Mjini aahidi kupigania haki za kiraia
"Chama chetu mnamo Agosti 06, kiliteua mgombea Urais na Mgombea Mwenza ndugu Luhaga Mpina na Mama Farma Ferej lakini Kwa sababu wanamuogopa sana mgombea wetu wakaanza kuweka vizingiti kumzuia mgombea wetu"
Hayo yamesemwa leo Septemba 22, 2025 na Zitto Kabwe Kiongozi mstaafu wa ACT Wazalendo...
Mgombea ubunge wa Jimbo la Kigoma Mjini kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe ameahidi kutokuwa tayari kufanya vitendo vya kujipendekeza 'uchawa' bungeni ili apendelewe, badala yake ataendelea kupigania haki za wananchi wake kwa nguvu zote, ikibidi hata kwa kufoka.
Amesema hayo Septemba...
Haya unayayasema Bw Zitto yakawe kweli pindi utakapo chaguliwa. Lakini hiyo bilioni 1 mpaka utafute misaada mhhh! mbona naona zoezi hili litaishia njiani?
==========================
"Ili kuepuka mikopo ya ‘kausha damu’ lazima kuwe na mbadala, na mbadala huo ni kuanzisha mfuko maalumu ambao...
Bora huyu mwanamama kasema ukweli mtupu! Maana hawa wanasiasa mida hii wanajua kuzisaka kura kweli kwa njia ila wakizipata wanatokemea kabisa hadi miaka 5 ipite.
================
"sisi hatupendi wawe karibu yetu wanapokuja kuomba kura hata wanapokuwa huko tuwaone tunahitaji mkiwa huko mtuone sio...
Kausha damu inalea sana watu wengi mtaani, sasa Bw Zitto kusema utaiondoa naona ni kama ni uongo mtupu!
================
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kigoma Mjini kupitia ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema atakomesha mikopo ya kausha damu jimboni humo pindi akichaguliwa.
Katika kuzisaka kura za Ubunge wa Jimbo la Kigoma Mjini, leo septemba 17, 2025 kiongozi mstaafu wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe ametembela nyumba moja baada ya nyingine kuomba wananchi kura hizo katika Kata ya Kagera.
Soma pia: Zitto ambwaga Nondo kura za maoni ubunge Kigoma Mjini...
Kutoka vyanzo vya kuaminika kwa asilimia 99.99 ni kwamba Ndani ya ACT Wazalendo ni watu wawili tu walio ahidiwa kubewa ubunge au kupewa ubunge nao ni Zitto Kabwe na Ado Shaibu katibu mkuu wa ACT Wazalendo. Hawa wana baraka kutoka Ikulu kwa Mamana pia hata kwa Mgombea mwenza wa CCN Nduhmgu...
Mgombea Urais kupitia CCM Samia Suluhu Hassan amesema kwa Jimbo la Kigoma Mjini Wagombea Ubunge wa mwaka huu wa CCM Clayton Revocatus Chipando maarufu kama Babalevo na Zitto Zubeir Kabwe wa Chama cha ACT Wazalendo wote ni wanae na wananchi ndio watakaoamua nani awaongoze.
Dkt. Samia ameyasema...
Sitii neno.
Naleta kama ilivyo.
Najua Zitto Kabwa yumo humu.
Huenda atatuelezea dhamira na nia yake ni nini.
Je, namna hii hajawa bonge la kupe tena la kujipeleka?
Je, imekuwaje akamuacha Mpina na kumpigia kampeni mama yake?
Je, amelishwa kitu?
Namna hii, ACT Wazenguaji itashindwa kuwa...
Kiongozi mstaafu wa ACT- Wazalendo, Zitto Kabwe amesema mgombea urais wa Zanzibar, Othman Masoud Othman kwa tiketi ya chama hicho ndiye anayefaa kuongoza kisiwa hicho kutokana na kuwa mstari wa mbele wa kupigania masilahi ya Wazanzibari.
Zitto ameeleza hayo leo Jumamosi Septemba 13, 2025 wakati...
Ameandika Zitto Zuberi Ruyagwa Kabwe
"Sasa unaweza kusema kuna Uchaguzi. Wananchi watakuwa na chaguo la wazi kati ya CCM ile ile iliyoshindwa kuendesha nchi kwa miaka 60, gharama za maisha juu, huduma duni za Afya na watu 14M kudumbukia kwenye umasikini katika miaka 5 iliyopita ama ACTwazalendo...
Kiongozi Mstaafu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema mara baada ya Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dodoma kuamuru kuwa Luhaga Mpina ana haki ya kurejesha fomu ya kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, safari ya kusaka kura inaanza rasmi.
Akizungumza leo Septemba 11...
Watanzania msikubali kurubuniwa na huyo anayetoka kanda ya magharibi mwa ziwa Tanganyika tambueni kuwa huyo siyo mpinzani bali ni mradi halali wa chama tawala( CCM).
Wapinzani halisi ni chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) ambao wanadai reform zifanyike ndio washiriki uchaguzi...
https://www.youtube.com/watch?v=vjOkard2ik0
Mwanasiasa mkongwe Zitto Z. Kabwe ameanza mchakato wa kampeni za kuwania Ubunge, leo Jumamosi tarehe 6 mwezi wa 9, 2025 anazindua kampeni Mkoani Kigoma.
Chawa wa Mama aliyediliki kusema kama mnamoenda sana Magufuli basi nendeni mkazikwe nae,je yeye amezikwa na Mama yake aliyekuwa anampenda,hili lilikuwa tusi kubwa sana kwa Watanzania,baada ya hapo
Hajawahi kumuongelea vibaya Mama Samia hata kidogo licha ya Ufisadi kukithiri zaidi ya awamu zote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.