zanzibar

  1. chiembe

    Bandari ya Mangapwani Zanzibar au Bagamoyo Bara? Ipi itaitoa nchi yetu kiuchumi?

    Nimemuona Rais Mwinyi akiwa Uchina akipigia debe, pamoja na mambo mengine, Bandari ya Mangapwani. Katika hotuba zake kadhaa, Rais Mwinyi ameonyesha nia ya dhati kuifanya bandari hiyo iwe kubwa kabisa Afrika Mashariki. Upande wa pili, inaelezwa kwamba bandari ya Bagamoyo ikikamilika, itakuwa na...
  2. M

    PreGE2025 Wanawake viongozi wanavyoipa migongo mitandao ya kijamii, wapewe elimu upande huu ili wajikomboe

    Na -Nishan Khamis Zanzibar: Mitandao ya kijamii imeleta mapinduzi makubwa katika mawasiliano ya kisasa, ikitoa fursa za kipekee kwa viongozi, wakiwemo wanawake, kujitangaza, kujenga majukwaa ya kuwasiliana na jamii, na kushawishi sera za kisiasa. Hata hivyo, changamoto nyingi zinawakabili...
  3. Roving Journalist

    Mbio za Mtoto ni Mboni Yangu kufanyika Novemba 23, 2024, Zanzibar

    Kampeni ya Taifa ya Mtoto Ni MboniYangu inatarajiwa kuanza Novemba 23, 2024 Zanzibar chini ya Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, ikisimamiwa na Waziri Riziki Pembe Juma kwa kushirikiana na taasisi ya Ndoto Ajira Lengo la Kampeni hii ni kuwalinda watoto dhidi ya Ukatili...
  4. M

    SI KWELI Rais Biden wa Marekani kuhamia Zanzibar

    Video hii hapa chini inadai Rais wa Marekani atahamia Zanzibar. Ina ukweli? Video ya Rais Biden
  5. M

    PreGE2025 LGE2024 Rushwa ya Ngono Zanzibar inachangia kuwarudisha nyuma baadhi ya Wanawake kuwa Viongozi

    “Niliishiwa na nguvu wakati aliponiambia kama unaitaka hii nafasi basi lazima tukutane kimapenzi kwanza ndio uipate,” anasema Sharifa. Kitu pekee kilichomjia kichwani kwake ni kuliweka jambo hilo liwe siri, libaki milele kwenye shimo la nafsi yake, hakutaka mume wake ajuwe nini kilimkuta hata...
  6. Mwislam by choice

    Zanzibar

    Habari za kuamka wakuu Kiufupi mm sio muandishi mzuri lakin kuna kitu nataka kuwasilisha baada ya kuishi huku Zanzibar. Tokea nimehamishwa kikazi kutoka mkoa X kuhamia Zanzibar kuna mambo yananishangaza kuhusu wazanzibar na nchi yao! 1.Gharama za maisha Kama mnavyo jua zanzibar ni mji wa...
  7. Technophilic Pool

    Je, ni kweli kua Wairan waliungana na waafrika kuwaondoa waarabu Zanzibar kwa kuunda Afro-Shirazi Party (ASP)?

    Kwa wasiofahamu washiraz ni jamii ya ya watu huko iran kama kabila hivi. Achana na washirazi wa hapo unguja na mafia naongelea washiraz original. Hawa wanaweza kua ni kabila lililokua na mchanganyiko wa wairan hao wa zamani ndipo wakajiita washiraz Sasa twende basi, unakumbuka chama cha Afro...
  8. Waufukweni

    Tuzo za muziki 'Trace Music Awards' kufanyika Zanzibar Februari 2025

    Hii ni habari njema kwa Music Industry yetu kwani baada ya mwaka jana (21 October 2023) tuzo hizi kufanyika BK Arena huko Kigali, Rwanda, sasa ni zamu yetu. Tuzo za Muziki zinazoandaliwa na Trace Group, zitafanyika Zanzibar Februari 24-26 Zanzibar, Tanzania kwenye hoteli ya The Mora. "Sasa ni...
  9. J

    Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Riziki Pembe Juma atembelea JamiiForums

    DAR: Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, (Zanzibar) Riziki Pembe Juma ametembelea Ofisi za JamiiForums jijini Dar, leo Oktoba 28, 2024. Ziara yake ililenga kujenga mashirikiano katika maeneo anuai ikiwemo kuwalinda na kuwajengea uwezo Watoto na Wazazi wao hasa katika...
  10. Waufukweni

    PreGE2025 Rais Dkt. Mwinyi azindua Soko jipya la Jumbi, Zanzibar

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Mwinyi, jana tarehe 27 Oktoba 2024, amezindua soko jipya la Jumbi katika wilaya ya Magharibi B, mkoa wa Mjini Magharibi. Hafla hiyo pia imehudhuriwa na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi Tanzania...
  11. Waufukweni

    PreGE2025 Rais Dkt. Mwinyi achangia milioni 100 ukarabati wa Kanisa Katoliki Zanzibar

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali itaendelea kuimarisha Uhuru wa Kuabudu na kuziagiza Taasisi za Kidini kuendelea kuiombea Nchi amani na umoja. Rais Dk, Mwinyi amefahamisha kuwa Taasisi za kidini zina wajibu mkubwa wa kushirikiana na...
  12. OMOYOGWANE

    Naipongeza Singida Black Stars kwa kuipa presha Yanga na Simba, Zanzibar ni sehemu sahihi kuichinja Yanga au Simba

    Najua wengi mnatawaliwa na ushabiki mandazi lakini hamuwezi kuona kile ambacho mastermind wa SBS anakiona. Niliwahi kuanzisha huu uzi Hesabu za mmiliki wa SFG ni kali sana, wengi hamzioni ila mtaziona msimu ujao 2024/2025 kupitia IHEFU (Singida Black Stars) na kilichotokea ni hicho hicho...
  13. L

    Kama Singida Black Stars wameamua kuipeleka Yanga Zanzibar basi wapeni kombe lao tena Yanga, kinachoendelea sasa hivi ni kiinimacho

    Uwanja wa Liti ni mgumu sana na kwa aina ya wachezaji wa Singida, Yanga hakuwa na uhakika wa kutoboa mechi hiyo, Singida wametoa sare moja t na JKT na wote aliokutana nao amewaua, wana wachezaji wenye uwezo wa kupambana na klabu yoyote ile nchini, hivyo gemu ingechezwa Liti kule kwao mkubwa...
  14. uhurumoja

    Singida Black Stars kupeleka mechi Zanzibar ni dhulma kubwa sana kwa Wanasingida.

    Naangalia hapa mechi ya mvuto na Raha wanayoangalia wanachuga na nakumbuka kuwa hizi Raha wanasingida watazikosa due to unwise decision made by their leaders. Imagine wao wataishia kuziona team ndogo tu ambapo watakosa mapato mengi sana kama mkoa
  15. Roving Journalist

    Waziri Riziki Pembe: Lengo la Kampeni ya MTOTO NI MBONI YANGU ni kutokomeza ukatili na unyanyasaji Wanawake na Watoto

    “Tumezindua rasmi kampeni hii ya Mtoto ni Mboni yangu ambayo itafanyika mwezi Novemba katika Mikoa yote mitano ya Zanzibar kwa maana ya Unguja na Pemba na lengo la Kampeni hii ni kutokomeza matukio yote ya ukatili na unyanyasaji kwa wakina mama na watoto kwani hilo ndio janga kubwa linaloharibu...
  16. L

    Rais Samia akiingia katika kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu ndogo Tunguu Zanzibar

    Ndugu zangu Watanzania, Ukimuangalia Rais Samia Unagundua ya kuwa Muda wote amejaa ari,nguvu na hamasa kubwa sana ya kufanya kazi. Unaona muda wote akiwa na morali na utayari wa kuwatumikia watanzania.unaona muda wote mawazo,akili,fikira na kiu yake ni kuwatumikia na kuwawazia watanzania...
  17. Stephano Mgendanyi

    MIF Dedicated to Eradicate Poverty in Zanzibar

    MWANAMKE INITIATIVE FOUNDATION (MIF) DEDICATED TO ERADICATE POVERTY IN ZANZIBAR Mwanamke Initiatives Foundation (MIF) under Chairperson, Hon. Wanu Hafidh Ameir in partnership with East PAC International LLC, conducted a humanitarian mission in Ngonjoni village. MIF and East PAC International...
  18. Mtoa Taarifa

    Idris Elba asema anaweza kuishi Zanzibar akihamia Afrika ndani ya miaka 10 ijayo

    Mwigizaji nyota wa Filamu, Idris Elba amesema anatarajia kuhamia Afrika katika kipindi cha miaka 10 ijayo na huenda akaishi katika miji ya Zanzibar, Accra nchini Ghana au Freetown huko Sierra Leone na lengo kukuza tasnia ya Filamu. Elba ambaye Januari 2023 alikutana na kufanya mazungumzo na...
  19. kasanga70

    Tetesi: Simba Sports Club kuhamia ligi ya Zanzibar mwakani: Move imeanza

    Za ndani saana, utaribu wa mageuzi makubwa ya kimpira utaanza baada ya dirisha dogo January. Club kubwa barani afrika inameanza hatua mahsusi za kuweka base kubwa ya kimpira visiwani Zanzibar. Kandarasi hii na maamuzi haya yanakuja baada ya kubaini kuwa kuna wahuni wanaharibu mpira bara na...
  20. T

    Watoto wa kike wapewe uhuru wa kushiriki michezo yote Zanzibar

    Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe Anna Atanas Paul ameitaka jamii kuelewa kuwa mtoto wa kike ana haki za kushiriki michezo yote bila ya kudhalilishwa. Ameyama hayo katika kilele cha maadhimisho ya siku ya kimataifa ya mtoto wa kike duniani, yalifanywa na wadau wa...
Back
Top Bottom