Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,926
- 6,575
Kupitia bajeti ya Wizara ya Afya Zanzibar iliyowasilishwa Mei 19, 2026 inaonyesha idadi ya maambukizi ya VVU inaongozwa wanawake. Watu waliopimwa ni 129, 741 wanaume 57, 615 na wanawake 72, 126 ambapo walipatiwa huduma ya ushauri nasaha na upimaji wa VVU na kati ya hao watu 827 ambao wanaume ni 289 na wanawake 538 walingudulika na maambukizi ya VVU sawa na Asilimia 0.6