zambia

Zambia (), officially the Republic of Zambia, is a landlocked country in Southern-Central Africa (although some sources consider it part of East Africa). Its neighbors are the Democratic Republic of the Congo to the north, Tanzania to the north-east, Malawi to the east, Mozambique to the southeast, Zimbabwe and Botswana to the south, Namibia to the southwest, and Angola to the west. The capital city is Lusaka, located in the south-central part of Zambia. The population is concentrated mainly around Lusaka in the south and the Copperbelt Province to the northwest, the core economic hubs of the country.
Originally inhabited by Khoisan peoples, the region was affected by the Bantu expansion of the thirteenth century. Following European explorers in the eighteenth century, the British colonised the region into the British protectorates of Barotziland-North-Western Rhodesia and North-Eastern Rhodesia towards the end of the nineteenth century. These were merged in 1911 to form Northern Rhodesia. For most of the colonial period, Zambia was governed by an administration appointed from London with the advice of the British South Africa Company.
On 24 October 1964, Zambia became independent of the United Kingdom and prime minister Kenneth Kaunda became the inaugural president. Kaunda's socialist United National Independence Party (UNIP) maintained power from 1964 until 1991. Kaunda played a key role in regional diplomacy, cooperating closely with the United States in search of solutions to conflicts in Rhodesia (Zimbabwe), Angola, and Namibia. From 1972 to 1991 Zambia was a one-party state with the UNIP as the sole legal political party under the motto "One Zambia, One Nation". Kaunda was succeeded by Frederick Chiluba of the social-democratic Movement for Multi-Party Democracy in 1991, beginning a period of social-economic growth and government decentralisation. Levy Mwanawasa, Chiluba's chosen successor, presided over Zambia from January 2002 until his death in August 2008, and is credited with campaigns to reduce corruption and increase the standard of living. After Mwanawasa's death, Rupiah Banda presided as Acting President before being elected President in 2008. Holding office for only three years, Banda stepped down after his defeat in the 2011 elections by Patriotic Front party leader Michael Sata. Sata died on 28 October 2014, making him the second Zambian president to die in office. Guy Scott served briefly as interim president until new elections were held on 20 January 2015, in which Edgar Lungu was elected as the sixth President.
In 2010, the World Bank named Zambia one of the world's fastest economically reformed countries. The Common Market for Eastern and Southern Africa (COMESA) is headquartered in Lusaka.

View More On Wikipedia.org
  1. Jumlisha

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Uvushaji wa mbolea za ruzuku kwenda Zambia

    Tunduma Kuna uvushaji wa mbolea za ruzuku kupeleka Zambia kwa njia ya magendo. Hii kazi inasimamiwa na vijana wa CCM, wao wanajiita vijana wa chama chini ya mbunge wa sasa David Silinde na wao wanatoza kila mfuko wa mbolea 2000. Hizi mbolea zimetapaka sana Zambia licha ya kuwa ni za ruzuku kwa...
  2. R

    JamiiForums Tanzania Mahakama Afrika Kusini yakataa Rufaa ya familia ya Lungu, yaamuru azikwe Zambia

    Mahakama nchini Afrika Kusini imekataa ombi la familia ya aliyekuwa rais wa Zambia, Edgar Lungu, waliotaka kukata rufaa dhidi ya uamuzi uliomtaka azikwe nchini kwake. Lungu, aliyekuwa rais wa Zambia kuanzia mwaka 2015 hadi 2021, alifariki dunia mwezi Juni 2025 akiwa na umri wa miaka 68 katika...
  3. McLaren

    JamiiForums Tanzania GE2025 Samia: Tutazalisha umeme mwingi wa uhakika, unaobaki tutawauzia Zambia

    Wakuu, Samia akiwa anazungumza leo, huko Songwe kasema akichaguliwa atahakikisha umeme utakuwa mwingi na wa uhakika kiasi kwamba kutakuwa na umeme mwingine ambao watauuza kwenda huko Zambia
  4. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania POTOSHI Picha hii ni ya Betty Kaunda, mke wa Rais wa kwanza wa Zambia

    Wakuu ==== 'Picha imepigwa 1995 pale Zambia Mama Betty Kaunda alijua kupendeza kuliko uyo kibungo Wako' mwenye ukweli wa hizi taarifa naomba msaada.
  5. Jumlisha

    JamiiForums Tanzania Uhamiaji Zambia walitaka kunifunga kisa kuongeza siku

    Ila Zambia bhana, hawa migration wa Zambia ni habari nyingine linapokuja suala la raia wa kigeni. Watz wanaofanya biashara Zambia wanaelewa muziki wa migration wa Zambia. Jamaa wanakufata mpaka getto ulilopanga, na wakikukosa unafuatwa mpaka kwa restaurant. Nakumbuka wamewahi kutunasa toka...
  6. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Israel kuzindua ofisi ya Ubalozi huko Zambia!!!

    Waziri wa Mambo ya Nje Gideon Sa’ar ataondoka leo (Jumanne) kwa ziara ya kidiplomasia barani Afrika, ambapo atazindua Ubalozi wa Israel nchini Zambia. Akiwa nchini Zambia, Waziri Sa’ar atakutana na Rais Hakainde Hichilema, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mulambo Haimbe, na...
  7. 05CUBA

    JamiiForums Tanzania Code:Sukari hamna wameagiza nje (Zambia) kwa kodi zetu?

    Gari nyingi saa zimeputa last week, Kimsingi nchi haiko mikononi mwake ila wana mtandao.... Kwa sasa dola inajitahidi kuzuia uhalisia wa mambo mabaya hata kwa kutumia kodi za wananchi ambazo zilipaswa kufanya kazi nyingine za maana ... Now Suvari ilipaswa kuwa 4000 kwa kilo. Mpaka tunapita...
  8. Taasisi ya Mifupa-MOI

    JamiiForums Tanzania Tanzania yang'ara Maonesho ya 97 ya Kilimo na Biashara Zambia

    Tanzania imeibuka mshindi wa pili katika maonesho ya kimataifa ya 97 ya kilimo na biashara yaliyofanyika Lusaka, Zambia kuanzia tarehe 29 Julai hadi 4 Agosti 2025. Tanzania imetangazwa kuwa mshindi wa pili kati ya nchi 25 zilizoshiriki maonesho hayo ikitanguliwa na Zimbabwe iliyoshika nafasi ya...
  9. R

    JamiiForums Tanzania Mahakama ya Afrika Kusini imetoa maamuzi ya Serikali ya Zambia kusimamia mazishi ya Edgar Lungu

    Mahakama ya Afrika Kusini imeamua kuwa Serikali ya Zambia ina haki ya kuusafirisha mwili wa aliyekuwa Rais wa nchi hiyo, Edgar Lungu, na kumzika kwa heshima za kitaifa, licha ya pingamizi kutoka kwa familia yake Mahakama Kuu ya Pretoria imetoa uamuzi huo kwa upande wa Serikali ya Zambia, ambayo...
  10. Harvey Specter

    JamiiForums Tanzania Marekani kutoza rai wa Malawi na Zambia takriban dola 5,000 hadi 15,000 kuingia Marekani

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imetangaza kwamba raia wa Zambia na Malawi watatakiwa kulipia dhamana ya dola za Kimarekani 5000 hadi 15,000 (USD5,000 - 15,000) ili kuruhusiwa kuingia nchini Marekani kwa vibali (VISA) vya biashara au utalii. Utekelezaji wa Uamuzi huo utaanza rasmi Agosti 20...
  11. Taasisi ya Mifupa-MOI

    JamiiForums Tanzania Rais wa Zambia aipongeza Tanzania kushiriki Maonesho ya 97 ya Kilimo na Boashara Zambia.

    Rais wa Jamhuri ya Zambia Mhe. Hakainde Hichilema ameipongeza Tanzania kwa kushiriki katika maonesho ya 97 ya Kilimo na Biashara ya Zambia ambayo yametumika kama jukwaa la kuimarisha ushirikiano wa kiafya na usafirishaji baina ya nchi hizo mbili. Pongezi hizo amezitoa leo Agosti 02, 2025 jijini...
  12. N

    JamiiForums Tanzania GE2025 Afrika ukifanyika uchaguzi wa uhuru ni Marais wachache watabaki kwenye viti vyao kina Ibrahim Traoré wa Burkina Faso na Hichilema wa Zambia

    Hali ya demokrasia imekuwa ni mbaya kupitiliza kila kukicha Viongozi sio chaguo la wananchi na wanafanya kila namna kuhodhi madaraka kwa dola na yeyote anaekuwa tishio kwenye nafasi zao hushughulikiwa
  13. Benson Mramba

    JamiiForums Tanzania Yanayoendelea Zambia juu ya mazishi ya Rais Mstaafu Edgar C Lungu yatufundishe kwenye siasa zetu

    Mpaka leo Mwili Rais Mstaafu Edgar Lungu haujazikwa kisa ni mgogoro kati ya familia ya Rais Mstaafu Lungu na serikali ya Rais Haikainde Hichelema. Familia inasema marehemu Rais mstaafu aliacha wosia kuwa siku akifa Rais wa sasa asisogelee jeneza lake.Siku za maombolezo zimeisha bado utata upo...
  14. R

    JamiiForums Tanzania Mazishi ya Faragha ya Edgar Lungu yasitishwa na Mahakama Kuu Afrika Kusini, baada ya Serikali ya Zambia kupeleka zuio mahakamani

    Mgogoro kuhusu mahali atakapozikwa Rais wa zamani wa Zambia, Edgar Lungu, umechukua sura mpya baada ya Mahakama Kuu ya Afrika Kusini kusitisha mazishi yaliyokuwa yamepangwa kufanyika jana, Jumatano Familia ya Lungu, ambayo imepinga ushiriki wa Rais wa sasa wa Zambia, Hakainde Hichilema, katika...
  15. R

    JamiiForums Tanzania Watawala, particularly dictators in Africa, sikilizeni kisa hiki kutoka Zambia Edgar Lungu akilalamika

    Hebu nikueleze kuhusu simulizi ya kusikitisha lakini yenye nguvu kubwa inayotokea sasa nchini Zambia – simulizi ambayo kila dikteta wa Afrika anapaswa kuitafakari kwa makini. Mwaka 2017, Edgar Lungu alikuwa Rais wa Zambia. Wakati huo, mpinzani wake mkubwa, Hakainde Hichilema, alikuwa tu...
  16. D

    JamiiForums Tanzania Reli ya SGR ifike Zambia

    Nchi ya Zambia ni moja ya mtumiaji mkubwa sana wa bandari ya Tz mwaka huu pekee amepitisha zaid ya ton 2M kweny bandar yetu ya Dar na hii ni pamoja na changamoto zote za bandari na umbali kutoka Dar hadi tunduma kwanjia ya barabara Ningependa kuona tunampango wa kupeleka sgr uko sababu mizigo...
  17. D

    JamiiForums Tanzania Uadui wa kisiasa. Zambia yawa Nchi ya kwanza kwa Raisi wake mstaafu kuzikwa Nchi nyingine

    "Siku nikifa mpinzani wangu Hichilema, asishiriki maziko yangu Wala kuukaribia mwili wangu" Familia ya Rais wa Zamani wa Zambia Edgar Lungu Yatangaza Atazikwa Afrika Kusini Baada ya Mvutano na Serikali Familia ya rais wa zamani wa Zambia, Edgar Lungu, imetangaza kuwa atazikwa nchini Afrika...
  18. MamaSamia2025

    JamiiForums Tanzania Dereva mtanzania ajiua nchini Zambia baada ya kukamatwa akiiba mafuta

    Imeripotiwa na CHETE FM. Madereva wa tenki za mafuta kuweni waaminifu. Habari nzima hapo chini. ____________________________ A Tanzanian truck driver working for ANAMOL Transport Company in Dar es Salaam has died after allegedly taking his own lífe by ingèsting an unknown substance moments...
  19. R

    JamiiForums Tanzania Mazishi ya Rais wa zamani wa Zambia Edgar Lungu kuleta utata baada ya serikali kusitisha maombolezo

    Rais wa Zambia, Hakainde Hichilema, ametangaza kusitisha ghafla kipindi cha maombolezo ya kitaifa kwa aliyekuwa Rais wa nchi hiyo, Edgar Lungu, kufuatia mvutano unaoendelea kati ya serikali na familia ya marehemu kuhusu mipango ya mazishi yake Akihutubia taifa Alhamisi usiku, Rais Hichilema...
  20. R

    JamiiForums Tanzania Familia na Serikali zakubaliana Lungu kuzikwa Juni 22 Lusaka, Zambia

    Baada ya tamko la Familia ya aliyekuwa Rais wa Zambia Edgar Lungu ambalo yalikuwa ni maagizo yake ya kwamba mpinzani wake wa kisiasa na Rais wa sasa Hakainde Hichilema hapaswi kufika popote karibu na mwili wake familia imefikia makubaliano na serikali juu ya mazishi ya Kiongozi Huyo na mpango wa...
Back
Top Bottom