Mtu yeyote anayoshirikiana na dhalimu hawezi kufanikiwa. Lilikuwa kosa kubwa sana la kimkakati katika ulimwengu wa haki. Mwaka huu ni mwaka wa neema kwa wenye haki.
Yanga, kwa kujifungamanisha na wadhalimu, haitafanikiwa.
Narudia tena, Oktoba 25 haitatoboa.
Mwaka huu ni mwaka wa mwenye haki.