Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 59,145
- 138,272
Vijana wangu wameniambia kwamba Yanga wamelipiwa. Nafikiri wamelipiwa na mwarabu GSM. Hili swala litaendelea mpaka lini, hamuoni aibu watu wazima kulipiwa na mwarabu. Sasa inatofauti gani na ladies free?!
Kwa sisi Simba viingilia ni kama inavyoonekana