yanga

Young Africans Sports Club (maarufu kama Yanga ni Timu ya Soka nchini Tanzania iliyoanzishwa mnamo mwaka 1935.

Jina la utani wanajulikana kama Timu ya Wananchi (Wananchi) au Wanajangwani.
  1. Mlaleo

    JamiiForums Tanzania Yanga yapata mbadala wa Aziz Ki

    Kifaa Kipya '' CHOUCHA'' kinatarajiwa kutua Jangwani.. hakijawahi kukosa penalty https://www.youtube.com/shorts/4Gg77a4WWxw?feature=share
  2. U

    JamiiForums Tanzania Msemaji Yanga kazidisha utani. Hebu tazama picha na maelezo

    Wadau hamjamboni nyote? Msemaji yanga kazidisha utani Soma alichoandika 𝟏.𝐖𝐚𝐬𝐢𝐧𝐠𝐞𝐩𝐢𝐠𝐰𝐚 𝟓 𝐰𝐚𝐧𝐠𝐞𝐬𝐞𝐦𝐚. "𝐘𝐚𝐧𝐠𝐚 𝐢𝐧𝐚𝐩𝐢𝐠𝐚 𝟓 𝐭𝐢𝐦𝐮 𝐦𝐛𝐨𝐯𝐮" 𝟐.𝐖𝐚𝐬𝐢𝐧𝐠𝐞𝐩𝐢𝐠𝐰𝐚 𝐧𝐣𝐞 & 𝐧𝐝𝐚𝐧𝐢 𝐰𝐚𝐧𝐠𝐞𝐬𝐞𝐦𝐚 "𝐘𝐚𝐧𝐠𝐚 𝐰𝐚𝐧𝐚𝐧𝐮𝐧𝐮𝐚 𝐦𝐞𝐜𝐡𝐢" 𝟑. 𝐘𝐚𝐧𝐠𝐚 𝐢𝐬𝐢𝐧𝐠𝐞𝐟𝐢𝐤𝐚 𝐫𝐨𝐛𝐨 𝐟𝐚𝐢𝐧𝐚𝐥𝐢 𝐂𝐀𝐅 𝐰𝐚𝐧𝐠𝐞𝐬𝐞𝐦𝐚 "𝐊𝐮𝐥𝐞 𝐂𝐀𝐅 𝐡𝐚𝐤𝐮𝐧𝐚 𝐤𝐮𝐛𝐞𝐛𝐚𝐧𝐚" 𝟒. 𝐖𝐚𝐬𝐢𝐧𝐠𝐞𝐩𝐞𝐰𝐚 𝐩𝐞𝐧𝐚𝐭𝐢 𝟖...
  3. Full charge

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nahitaji kadi ya shabiki/mwanachama ya Yanga

    Habari wakuu, mimi ni shabiki mpya kabisa wa Yanga,nahitaji msaada namna ya kupata kadi ya shabiki au mwanachama ya NMB. Naomba kueleweshwa utofauti wa kadi hizi mbili pamoja na gharama zake na gharama za ada ya mwezi/mwaka. Natanguliza shukurani kwa wote mtakaonisaidia maana nahitaji...
  4. Suley2019

    JamiiForums Tanzania Nani mchezaji wako bora wa Yanga (MVP) kwa msimu huu wa 2023/24

    Naaaje wazee! Kwa Sisi wadau wa soka la nyumbani uhondo wetu unafikia mwishoni. Mpaka sasa Wananchiiiii wamesepa na kikombe Chao huku watani zao wakiendelea kujitafuta kupambania nafasi ya pili na dhidi ya wana lambalamba. Tukirudi kwenye mada, msimu huu ni miongoni mwa misimu Bora kwa Young...
  5. Rule L

    JamiiForums Tanzania Niliyoyaona Jana kwenye mechi ya Yanga

    Hii ni makala ambayo nitaelezea kidogo yaliyokuepo Jana. Baada ya shamrashamra za kujiandaa kupokea ubingwa ilibidi lipigwe kabumbu Moja matata sana,, kabumbu ambalo lilianza kwa furaha kedekede. Lakini kipindi mchezo unaendelea nyuso za wapenda soka walioipenda young African's zilikosa...
  6. ngara23

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa Yanga mwacheni Azizi Ki aende tu

    Nawashauri viongozi wa Yanga, msiwe na pressure kutoka Kwa mashabiki wasiojua mpira mkaingia kwenye mtego wa kumpa Aziz ki pesa ndefu takriban 1.3 billion, mtakuwa mmejichanganya. Azizi ki Kwa Sasa ana miaka 29 kwenye mpira umri huo jua limezama, unaweza kumbakiza kumbe ndo amefika kwenye peak/...
  7. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Leo sasa ni Paredi la Ubingwa wa Yanga upo mitaa ipi kuliona Paredi la Mabingwa

    Leo sasa ni Paredi la Ubingwa wa Yanga upo mitaa ipi kuliona Paredi la Mabingwa
  8. S

    JamiiForums Tanzania Aucho: Natamani kucheza na Chama Yanga Sc

    "Nafikiri ndiye mchezaji pekee ambaye hayupo yanga, natamani kucheza nae sababu napenda watu wanafanya mchezo kuwa rahisi. Kama akija sawa na asipokuja pia sawa. Namfahamu nilianza kumtazama Chama tangu nikiwa misri." Aucho aliongea hayo akijibu swali la mwandishi juu ya tetesi za chama...
  9. S

    JamiiForums Tanzania Aziz Ki: Siondoki Yanga Mpaka Tubebe Ubingwa Wa Africa

    Mpaka sasa Mimi ni Mchezaji wa Yanga na nafasi kubwa zaidi nawapa Yanga, namwamini Rais wa Yanga @caamil_88 yeye ndie amenileta hapa, tuna makubaliano yetu mimi na yeye kuwa Yanga inapaswa kucheza fainali ya Afrika na tutwae kikombe, hiyo ndio ndoto yangu na ikitokea tumecheza fainali na kubeba...
  10. BUSH BIN LADEN

    JamiiForums Tanzania Hongera Yanga na Hongera Eng. Hersi Ila leo umezingua

    Huwezi kutuvalia mtisheti wako wa Brazil siku tunakabidhiwa kombe bana. Ni kwamba ulikosa tshet maalumu inayoendana na tukio la leo au ulikosa kabisa jezi ya Yanga? Ulitaka kuonekana tofauti? Ili iweje sasa? Nimekumind big time.
  11. mwarabu feki

    JamiiForums Tanzania Yanga SC 3-0 Tabora United | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | 25.05.2024

    Leo ndio ile siku ya mabingwa wa nchi Yanga Afrika kukabidhiwa kombe la ubingwa wa ligi ya Nbc. Ikumbukwe huu ni ubingwa wa 30 kwa Yanga Afrika. Kuwa nami paka mwisho ili kujua kile kinachojili kuanzia shamrashamra za kulitembeza kombe kwenye viunga mbalimbali vya jiji la DareSalaam paka hapo...
  12. mwarabu feki

    JamiiForums Tanzania Afande Muliro: Ukivuruga paredi la Yanga tutakushughulikia

    Safari hii makolo mmeingia cha kike, yaani tukikuona tu unazurula na jezi lako la Mo Xtra kwenye paredi la ubingwa wa Yanga tutakushughulikia ipasavyo maana utakuwa unahatarisha furaha ya wananchii. Ubuntu botho😂😂😂
  13. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Yanga kesho kufanya balaa kukabidhiwa kombe lao la 3 la NBCPL

    Klabu ya Yanga sc kesho ya mei 25 2024 watakabidhiwa kombe lao la Ligi kuu ya NBCPL ikiwa ni mara ya 3 mfululizo na timu pekee ambayo imelibeba kombe hilo tangu bank ya NBC kuwa wa dhamini wa Ligi kuu ya Tanzania. Kombe hilo linatalajiwa kushuka na helikopta kwenye uwanja wa Benjamini Mkapa...
  14. D

    JamiiForums Tanzania Hivi kila shabiki wa Yanga akachanga Tsh. 1,000 tu, timu haipati Tsh. Bilioni 1 na ushee?

    Yanga yenye kauli mbiu ya Daima mbele, Kurudi nyuma mwiko, Why tushindwe kuichangia Klabu yetu isajili wachezaji bora?
  15. Vincenzo Jr

    JamiiForums Tanzania Kwanini TFF mnaipeleka fainali Zanzibar?

    Acheni siasa mnaharibu soka letu mechi ya bara mnapeleka visiwani ili mgundue nini? TFF mnaipeleka Fainali Zanzibar, sehemu ya nje ya utawala wa FA husika? Lini mmewahi kuona FA ya Uingereza imepeleka fainali Ireland, au Scotland? Lini mmewahi kuona FA ya Ujerumani imepeleka fainali zao...
  16. Majok majok

    JamiiForums Tanzania Simba kuamisha mechi yenu na KMC Tarehe 25 na kuipeleka arusha mnakwepa shamra shamra za ubingwa wa Yanga siku iyo?

    Nimepata taarifa za Simba kuomba mechi yake na KMC ikapigwe Arusha badala ya uwanja wa awali uliotakiwa ipigwe mechi husika wa meja isamuyo kule mbweni! Ninachokiona hapa kina jaribu tena wameona mashabiki watakuwa wachache na ikichochewa na jambo la yanga inayotegemea kufanya sherehe zake za...
  17. G

    JamiiForums Tanzania Yanga kutumia helikopta na basi la kisasa zaidi kwenye Parade

    “Helikopta ya parade la ubingwa itaanza safari yake majira ya saa nne asubuhi ikiwa imebeba kombe, itapita maeneo mbalimbali jiji la Dar Es Salaam. Tumempa Rubani maelekezo kuna maeneo akifika pale Kariakoo, aishushe chini kidogo ili kila mtu ashuhudie parade la angani. Baadae mchana Helikopta...
  18. sinza pazuri

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Aziz Ki anaondoka Yanga

    Aziz Ki hatimaye amemalizana na Yanga na sasa anaenda kucheza South Africa. Bado sijapata uhakika ni timu gani ila kati ya Kaizer Chiefs au Orlando. Yanga wameshindwa mpa ofa anayotaka. Sad part Aziz anaondoka kama mchezaji huru. Its over, ila mbadala wake Yanga wanakaribia kumalizana nae...
  19. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Aziz Ki anataka Dola laki tano kubaki Yanga

    Kiuongo Mshambuliaji wa Yanga Aziz Ki amewambia viongozi wake kama wanamuhitaji kuendelea kusalia klabu hapo basi wanapaswa kumpa mkataba wenye thamani wa Dola laki 5. Ofa ya Yanga kwa Aziz Ki ni dola laki tatu na nusu pekee. Vipi sasa wadau na mashabiki wa Yanga, Aziz Ki abaki au asepe tu?
  20. M

    JamiiForums Tanzania TFF hakikisheni Simba inakuwa ya pili ili iungane na Yanga kuiletea nchi heshima. Sio Azam

    Kwa manufaa na heshima ya nchi ni vema TFF ikahakikisha Simba inaungana na Yanga kwenye Ligi ya Mabingwa. Nasema hivi kwasababu ndizo timu pekee zilizo serious na mpira wa miguu. Azam ni timu ya ubabaishaji sana na inaelekea ni timu ambayo lengo lake sio ushingani. NAFASI YA PILI KWA SIMBA...
Back
Top Bottom