yanga sc

Young Africans Sports Club is a football club based in Jangwani, Dar es Salaam, Tanzania. Founded in 1935, the club play their home games at the Benjamin Mkapa Stadium and the Uhuru Stadium.
Nicknamed "Wananchi" (Citizens) or "Yanga" (Young Boys), Young Africans is one of the two biggest clubs in Tanzania, alongside cross-city rivals Simba. The club has won 22 league titles and four domestic cups, and have participated in multiple CAF Champions League editions. They are also one of the biggest clubs in East Africa, having won the CECAFA Club Championship five times.
The club was popular among Africans, and became a symbol of the anti-colonial movement. Young Africans became associated with nationalists and freedom fighters, and inspired the political party TANU to adopt yellow and green as their primary colours.

View More On Wikipedia.org
  1. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Kwa Ushahidi huu hakika nakubaliana na Uongozi wa Yanga SC kusema kuwa Yanga SC haijachangia Hela yoyote ile katika Harambee ya CCM na Inasingiziwa tu

    Yanga SC kupitia Msemaji wao wamekanusha vikali kuwa hawajachangia Shilingi Milioni 100 kwa CCM na kusema kuwa aliyechangia ni GSM na wala siyo Yanga SC. Lala salama Ruge Mutahaba kwani ile Kauli yako uliyosema kuwa hapa duniani tuogope sana Vitu viwili Mungu na Teknolojia inaishi na itaishi...
  2. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Oscar Oscar leo ndiyo umeanza kujua kuwa Msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe ana Matatizo na Sifa zimemlevya vibaya na Siku zake Yanga SC zinahesabika?

    Nafikiri Ally Kamwe anapaswa kumuomba radhi Yasmni Razack kwasababu yule sio winga yule ni msimamizi wa wachezaji na kasimamia wachezaji wengi ambao wamecheza Yanga na wengine bado wanacheza Yanga,kumuita winga ni kumkosea heshima kitu ambacho sio sawa ,anapaswa kumuomba radhi kwasababu...
  3. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Kwa Mapokezi ambayo Rayon Sports iliipa Yanga SC juzi, wenye Akili Kubwa tulijua tu kuwa katika Mechi yao ya Leo ataiachia tu Yanga SC ishinde

    Rayon Sports inaacha Kukaza ili kujipima na kuona Uwezo kitimu wao walichokifanya Wao ni Kukubali Kufungwa Kiurafiki.
  4. Life2

    JamiiForums Tanzania WanaYanga Shusheni mapanga yenu chini

    Siku kadhaa zilizopita kulitokea sintofahamu baada ya chama la Yanga kuchangia kwenye harambee ya CCM Tsh milion 100 ni mengi sana yaliibuka na yanaendelea kuibuka. Kuna wale wanaoichukia Yanga kuanzia utoto wao, kuna wachambuzi uchwara, kuna mashabiki wa Simba na wao pia wamepata pa kutolea...
  5. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Naona tayari Laana ya wana Yanga SC kwa Timu yao Kuichangia CCM Milioni 100 imeshaanza Kulipa huko Kigali Rwanda

    Jifanyeni tu mpaka sasa bado hamna Matokeo wakati mapema tu tayari Kipa Mjibinuaji Onyesha Boksa keshawekwa 1...!
  6. Zanzibar-ASP

    JamiiForums Tanzania Wanayanga haraka anzeni mchakato wa kumfukuza Engineer Hersi, anahisiwa kuitumia klabu ya Yanga kisiasa na kutakatishia pesa za GSM

    Dalili zote zilianza mapema sana kufanywa na GSM kupitia Engineer Hersi kuitumia klabu ya Yanga kama kichaka cha kufanikiwa kisiasa na kutakatishia pesa. Hitimisho likawa juzi kwenye harambee ya CCM pale ambapo rais wa klabu ya Yanga kutangaza kuwa Yanga itatoa milioni 100 ili kuchangia kampeni...
  7. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Nawapongeza sana Yanga kuchangia CCM, mmesaidia sana kupaza sauti kuwa CCM si chama cha wananchi, ni wakoloni weusi wanaoendesha nchi kwa mabavu

    Unapozungumzia Simba na Yanga, unagusa maisha ya watu zaidi ya milioni 40 Tanzania. Kila kona ya nchi kuna shabiki wa timu hizi, MPIRA NI DINI YA PILI TANZANIA. Baada ya Yanga kuchangia harambee ya CCM, hali haikubaki kimya. Wananchi wameonyesha hisia zao waziwazi, sio kwa chuki, bali kwa...
  8. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Yanga wasema mchango wa Milioni 100 kwa CCM ulitolewa na GSM Foundation, Sio Fedha za Klabu

    Uongozi wa Young Africans Sports Club unapenda kutoa ufafanuzi kwa Umma, kuhusu mchango wa Shilingi milioni 100 uliotolewa kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), siku ya tarehe 12/08/2025. Mchango ule ulitolewa na Taasisi ya GSM Foundation iliyo chini ya mdhamini na Mfadhili wa Klabu yetu, Ghalib Said...
  9. Labani og

    JamiiForums Tanzania Kama huitaki CCM hama Yanga, wanaotukana Yanga kuichangia CCM ni wanasimba

    WEWE KAMA HUITAKI CCM HAMA TIMU HARAKA Huwezi kufurahia matunada matamu ya mti ila ukauchukia mti unaozalisha matunda hayo. Sisi kama YANGA tuna historia yetu wewe ukijiona tu unaumia YANGA kuichangia CCM basi ujuwe wewe ulipaswa Kushabikia upande mwengine . Tutaendelea kuichangia CCM kwa...
  10. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Steven Nyerere: Mwanachama namba moja wa Yanga Sc alikuwa ni mwanasiasa

    Msanii wa Filamu Nchini ambaye pia ni mkurugenzi wa taasisi ya Mama ongea na Mwanao maarufu kama Steve Mengele anasema kuwa Mwanachama namba moja wa Yanga Sc alikuwa ni mwanasiasa kwahiyo watu wasishangae kwanini Wananchi wameamua kuchangia kwenye harambee ya CCM.
  11. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Kuwananga / Kuwasema vibaya Yanga SC kwakuwa tu wamechangia CCM si tu ni Ushamba bali pia ni Upumbavu na Unafiki uliovuka mipaka

    Leo Yanga SC wameichangia CCM ambayo ndiyo inatengeneza Serikali Wapumbavu, Washamba na Wanafiki wote mmekasirika mbona hiyo hiyo Serikali inayoundwa na CCM ikiipa Yanga SC msaada wa Ndege kwenda Kucheza Mechi zake za Kimataifa huwa hamchukii tena huwa mnafurahi na kukenua hovyo na kila Kona...
  12. kavulata

    JamiiForums Tanzania Jezi za Yanga ziwe na hadhi ya kubeba thamani ya wadhamini wake

    Wadhamini wanaongeza madau yao ya kuidhamini Yanga, ongezeko hilo lionekane pia kwenye ubora wa jezi zinazobeba wajina ya wadhamini.
  13. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Mwinyi Zahera: Yanga walitaka kumpeleka Clement Mzize Singida kwa Mkopo, Mimi nikamshauri Nabi

    Mwinyi Zahera, kocha wa zamani wa Yanga, amesema Yanga walikuwa tayari kumpeleka Clement Mzize Singida kwa mkopo, lakini yeye alimshauri kocha Nabi asikubali. Ameongeza kwamba walitaka kumtoa Mzize wakati hajaanza hata mazoezi na timu kubwa, na hata baada ya barua kutoka Marseille, bado msimamo...
  14. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Yanga yasaini Dili Nono la Bilioni 21.7 na SportPesa

    Klabu ya Yanga imeingia mkataba wa miaka mitatu (3) na Kampuni ya kubashiri SportPesa, mkataba wenye thamani ya Shilingi Bilioni 21.7 ndani ya miaka mitatu. "Baada ya sisi kuingia Yanga, tuliwapa nguvu ya kiuchumi. Yanga imekuwa na misuli ya kumsajili mchezaji kutoka klabu yoyote. Hii imefanya...
  15. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Yanga, Simba na Azam: Timu ipi ina safu kali ya ushambuliaji kuelekea msimu wa 2025/26?

    Timu bado zinaendelea kujiimarisha kuelekea msimu ujao kwa kusajili na kuwaongezea mikataba wachezaji muhimu kwenye vikosi vyao. Timu ipi ina safu hatari ya ushambuliaji kuelekea msimu ujao wa 2025/26? Yanga SC Clement Mzize Pacôme Zouzoua Lassine Kouma Maxi Mpia Nzengeli Simba SC Elie...
  16. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Juzi Tshabalala alipofunga mlisema Yanga SC imefunga je, na baada ya huu Muwa wa Kapombe nasi leo tuseme Simba SC imefunga?

    Huu Muwa wa Kapombe hakuna Kipa wa kuweza Kudaka na akithubutu tu kutaka Kudaka kutafuta Sifa anaishia ICU Muhimbili.
  17. Beira Boy

    JamiiForums Tanzania Yanga kipindi hiki cha kusajili anasajili wachezaji Simba wao wanasajili rain hatutaki lawama badae

    Aman iwe nanyi watumishi Nimemaliza Kuwa hatutaki lawama hapo badae LONDON BOY
  18. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Mchambuzi Uchwara na mwana Yanga SC lia lia Hans Rafael uliwaaminisha Watu kuwa Elie Mpanzu iwe isiwe anaenda Yanga SC, mbona yuko Simba SC bado?

    Yaani kununuliwa tu hiyo Laptop na Rais wa Yanga Injinia Hersi Said ndiyo umeamua sasa kuwa Mnazi na Mtu wa Hovyo hapo Crown FM?
  19. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Baada ya kuachana rasmi na Yanga SC sasa Mchezaji Clatous Chota Chama huenda Akili zake nzuri zikawa zimemrejea kwa kusema huu Ukweli

    Kiungo nyota wa kimataifa kutoka Zambia, Clatous Chama, amesema kuwa klabu ya Simba SC inapendwa na kuheshimiwa zaidi nchini kwao Zambia ikilinganishwa na Yanga SC. : Chama ambaye ameachana na Yanga, amesema kuwa staili ya mpira ya klabu ya Simba, historia yake barani Afrika, pamoja na uwepo...
  20. U

    JamiiForums Tanzania Rais wa FIFA amewapongeza Yanga SC kwa kutwaa vikombe vyote

    Rais wa FIFA amewapongeza yanga sc kwa kutwaa vikombe vyote 💛💚💪 Pia amewapongeza mashabiki na wanachama kwa kuiyunga mkono timu yao japo ilianza kwa kusuasua Asante Raisa wa FIFA 💪💚💛
Back
Top Bottom