Young Africans Sports Club is a football club based in Jangwani, Dar es Salaam, Tanzania. Founded in 1935, the club play their home games at the Benjamin Mkapa Stadium and the Uhuru Stadium.
Nicknamed "Wananchi" (Citizens) or "Yanga" (Young Boys), Young Africans is one of the two biggest clubs in Tanzania, alongside cross-city rivals Simba. The club has won 22 league titles and four domestic cups, and have participated in multiple CAF Champions League editions. They are also one of the biggest clubs in East Africa, having won the CECAFA Club Championship five times.
The club was popular among Africans, and became a symbol of the anti-colonial movement. Young Africans became associated with nationalists and freedom fighters, and inspired the political party TANU to adopt yellow and green as their primary colours.
Yanga play like big European clubs
I donβt think Ronwen William will keep a clean sheet in this game ...Young Africans are unbeaten they play like big European clubs...it will be so hard for Masandawana - Mjagabani @mjagabani
Habari za Yanga,Afrika nzima wanazo ila makoloudad tu kujifanya na...
Timu ya Dar es salaam Young Africans Sports Club, au Yanga sc aka Wakimataifa ama wananchi kama wanavyotambulika kwa sasa. Ktk msimu huu wa 2023/2024 wamekuwa ktk ubora usiopimika wala kumithirika.
Yanga hii ya Gamond imekuwa timu tishio kiasi cha kuogopwa uwanjani na timu pinzani kila...
π°ππππ πππ°
π #NBCPremierLeague
β½οΈ Young Africans SCπIhefu FC
π 11.03.2024
π Azam Complex
π 12:00 Jioni
Kikosi kinachoanza dhidi ya Ihefu SC
Mpira umeanza
Dakika ya 5
Yanga SC 0-0 Ihefu SC
Dakika ya 10
GOAAAAAAL Pacomeeeee
Dakika ya 15
Yanga SC 1-0 Ihefu SC
Dakika ya 19
Yanga SC wanakosa...
Mwandishi wa huu Uzi Tukuka GENTAMYCINE ni mwana Yanga SC lia lia hata Wenzake akina Dada Nifah, Bishoo adriz, Rafiki yangu Bila bila na Popoma Takatifu Tate Mkuu wanajua hilo hadi na wana JamiiForums wote.
Ni imani yangu wana Yanga SC Wenzangu mtanijibu nwana Yanga SC Mwenzenu GENTAMYCINE...
Rais was Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ameipongeza Klabu ya Yanga kwa kufanya vizuri katika hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF) baada ya kuifunga CR Belouizdad bao nne kwa sifuri na kufanikiwa kufuzu hatua ya Robo Fainali, akisema mafanikio hayo yameandika...
Naam, hakuchi, hakuchi kumekucha..
Siku nyingine tena tumeamka tukiwa na furaha, baada ya mbugi kali baina yetu sisi mabingwa wa kutandaza soka la kisasa na la viwango hapa TZ na waarabu wa Aljeria kisha kuibuka na ushindi mnono uliotuhakikishia kuingia robo fainali ya kombe la klabu bingwa...
Ukiwa mtu wa Mpira na umecheza mpira na unaelewa mpira na unaenjoy mpira ni raha sana, leo nimefurahi, nimeshangilia, nimechambua, na raha nimeipata.
Hongera Yanga SC hongera wana Yanga SC football ni raha sana.
Mungu ibariki Tanzania
Ni hayo tu πππ
Wadiz
Hello Mashabiki wa Yanga, popote pale mulipo, kunjeni ngumi, pigeni kifuani kisha hewani huku mkitamka 'Wananchiiiiii...!!!'
Ahsante sana, mmeliheshimisha Taifa.
Yap.. kwa kila mwanayanga leo ni siku kubwa mno, siku ya kufurahi.. Aliyekutenda, na wewe mtende! Yanga kamtenda zaidi CR...
π°ππππ πππ°
π #CAFCL
β½οΈ Young Africans SCπCR Belouizdad
π 24.02.2024
π Benjamin Mkapa
π 1:00 Usiku
Kikosi kinachoanza dhidi ya CR Belouizdad
Mpira umeanza
Dakika ya 1
Dakika ya 5
0-0
Dakika ya 10
Musonda anakosa goli la wazi
Yanga SC wanapata Kona
Dakika ya 11
Lomalisa anapewa kadi ya...
π°πππππππππ°
π ASFC
β½οΈ Young Africans SCπPolisi TZ
π 20.02.2024
π Azam Complex
π 1:00 Usiku
Kikosi kinachoanza dhidi ya Polisi Tanzania
Mpira umeanza
Dakika ya 13
Goaaaaaaaal Guedeeeee
Dakika 45+1
Chuma cha piliii Farid Mussaβ½οΈππΌ
Dakika ya 45 niongeza 2
Gwedeeee goli la tatu dakika ya 46...
NBCPremierLeague
οΈ KMC SC Vs Yanga SC
17.02.2024
Jamhuri Morogoro
10:00 jioni
Kikosi kinachoanza dhidi ya KMC FC
Mpira umeanza
dakika ya 1
Mudathir anaipatia Yanga SC goli la kwanza
Goli la mapema zaidi, limefungwa na Mudathir Yahya akiitanguliza Yanga
KMC 0-1 Yanga
Dakika ya 10...
"Sisi Yanga SC siyo Timu ya Kulialia na Kudekadeka kama Wengine kuomba Mechi zao za Ligi zisimamishwe wakidhani hivyo Viporo vyao watavila wakati Yanga SC tumejiandaa kuhakikisha Viporo vyao vyote Vinachacha na Vitachacha. Yanga SC tutaendelea kucheza Ligi na kucheza Mechi za Kimataifa ili...
Fiston Mayele yuko sahihi kwa 100% kwani Waganga Wawili Wakubwa wa Yanga SC mmoja akitokea Kisiwani Zanzibar na mwingine akitokea Kusini ( Mtwara na Lindi ) ni tatizo na sababu ya Kinachomkuta.
Taarifa za uhakika ambazo GENTAMYCINE nimepewa na Mmoja wa Wachezaji wa Ndani ( Mzawa ) wa Yanga SC...
Katika hali ya kushangaza kabla ya yanga sc imemtegenezea mchezaji wake mask huku wakitumia materials za mabox na sruu.
Haki hii imewapelekea wadau mbalimbali wa michezo nchini kushikwa na butwaa.πππ
β½οΈ Young Africans SC Vs Dodoma Jiji
05.02.2024
π Azam Complex
π 1:00 Usiku.
Mpira umeanza
Dakika ya 5
0-0
Dakika ya 9
Yanga SC wanapata Kona ya kwanza
Dakika ya 15
Bado ni 0-0
Dakika ya 20
Yanga SC wanakosa goli la wazi
Dakika ya 25
Pacome anakosa nafasi ya wazi
Dakika ya 27
Mchezaji wa...
Klabu yoyote Bora kokote pale duniani ni ile ambayo pia hata Mchezaji wake Mmoja anayechezea Timu ya Taifa anaipeleka hiyo Timu yake katika hatua muhimu za Mashindano makubwa yanayotambulika na yenye Heshima kama ya AFCON kuanzia hatua za Nusu Fainali.
Hongereni sana Simba Sports Club na hakika...
Kama kichwa kinavyo sema hapo juu ,ukiangalia mpira wetu utaona kuwa yanga imekuwa bora kwa miaka 3 sasa ila unajua kwanini bado kuingia makundi inakuwa ngumu basi sababu ni RANKING Simba ilijikusanyia rank nyingi na siku zote wenye rank nyingi upangiwa na timu ndogo ,hata kama timu ndogo nazo...
β½οΈ Kagera Sugar Vs Young Africans SC
π 02.02.2024
π Kaitaba
π 10:00 Jioni
Mungu ibariki Yanga SC
Kikosi cha Yanga SC
Dakika ya 1
Kagera Sugar 0-0 Yanga.
Dakika ya 17
Kagera Sugar 0-0 Yanga.
Dakika ya 31
Kagera Sugar 0-0 Yanga.
ππππ ππππβ±οΈ| #NBCPremierLeague
Kagera Sugar 0-0 Young...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.