~~Ini ni kiungo kinafanya kazi kubwa sana mwilini ya kuchuja sumu na damu na kuondoa sumu kutoka kwenye mmeng’enyo wa chakula ili kiende mwilini kufanya kazi.
1️⃣.Ugonjwa wa ini unaotokana na Virusi kama hepatitis A, hepatitis B, na hepatitis C
2️⃣.Ugonjwa wa ini unaotokana na Madawa, Sumu...