Yaani huwezi kuwa Mzalendo na kubaki kwenye CCM hiii. Waliopo ni walaji , mafisadi na wale wanaofikiri watanufaika. Hakuna watanzania wengi ambao wapo CCM bila manufaa binafsi kwa sasa. Ndiyo maana mnaona hakuna kelele za
Utekaji, ufisadi , kukiuka katiba wala rushwa.
Tushukuru Mungu sana tuna...