Wala hakuna haja ya kutaka kusumbuka na hili lililojitokeza, waliosababisha haya wanajulikana sema sasahivi wamekaa kimya kama hawapo na zaidi wamewaruka watanzania kimanga kua hawakuambiwa warekebishe pitch. Matokeo watanzania maelfu kwa maelfu wamenyimwa fursa ya dhahabu ya kushuhudia tukio la...