wazo

  1. N'yadikwa

    Kuanzishwa kwa "Sports Infrastructure Management Agency (SIMA)" ni Wazo zuri, heko Msigwa na Team yako

    Msemaji Mkuu wa Serikali na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Bw. Gerson Msigwa, amebainisha kuwa Serikali ipo katika hatua za kuanzisha Sports Infrastructure Management Agency (SIMA). Akizungumza katika kipindi cha Morning Trumpet cha Azam TV leo, Bw. Msigwa...
  2. stakehigh

    African Internet Exchange System (AXIS) Project ilikua wazo bora sana, sjui kwann haliendelei

    Mwaka 2010, AU(African union) ilipitishiwa wazo bora sana kuanzisha miundo minu kwa ajili ya internet ya kiafrika, wazo hili lililenga afrika kujitoa kwenye makucha ya internet ya kikoloni, kwa wale ambao hawaelewi internet ya kiafrika namanisha ivi fikiria afrika ikaanzisha mtandao mpana wa...
  3. Daby

    Wazo: Fred na Emmanuel Ole Shangai jamii ya Maa itawapigia kura pasipo kujali chama.

    Moja ya sababu kubwa iliyofanya Ole Sendeka, Fred na Ole Shangai kupewa mgongo na kamati ni msimamo wao kuhusu suala la kuhamishwa kwa jamii ya Maa Ngorongoro. Mwaka 2015 wilaya ya Ngorongoro diwani mmoja alikatwa kwa ujinga huu huu alihamia ACT na alishinda asubuhi. Kama hawa wanasiasa...
  4. A

    Wazo la kukopa fedha benki

    Nina wazo la kununua gari ndogo ya kutembelea.Nataka kukopa benki ili nipate fedha za kununua gari hiyo.Natakiwa nikope kama milioni 22 .Hili wazo la kukopa fedha ili ninue gari toka japani mnalionaje ni zuri au baya.Mshahara wangu ni kama laki 600000 kwa mwezi
  5. Tanzaniavate

    Wazo la Kijana: Jinsi ya Kutajirika Kabla ya Miaka 40, Usikubali Kuitwa "Masikini"

    HAKUNA KIJANA WA MIAKA 20+ ANAYEITWA "MASIKINI"... LAKINI UKIFIKISHA MIAKA 40 BILA PESA, UTAITWA "MTU HUYU NI MASIKINI KWELI KWELI!" Hili linaweza kusikika kama kauli nzito, lakini ni ukweli. Kama kijana, fursa ya kujenga maisha yako ya kifedha ipo mikononi mwako. Ukikua huna pesa wala...
  6. youngkato

    Wafanyabiashara waliofanikiwa walianza na hili wazo

    Watu wengi hukosea kwa kuamini kuwa mtaji wa fedha ndio msingi wa kila biashara. Ukweli ni kwamba, biashara huanza na wazo bora, si pesa. Wazo sahihi lina uwezo wa kukuvutia wadau, kukuletea mitaji, na hata kuanza bila senti mkononi. Wengi wamekopa ili waanze biashara, lakini kwa kukosa...
  7. figganigga

    KUMBUKIZI: Samia Suluhu asema hana wazo la kuwania Urais 2025

    Katika kumbukumbu za Siasa za Tanzania, Rais Samia Suluhu aliwahi kusema kwamba hana wazo la kuwania Urais 2025. Habari hiyo ikachapishwa na Gazeti la CCM linaitwa Gazeti la Uhuru. Japo Gazeti watendaji wake walipata Misukosuko kwa kuandika nukuu ya kweli. Swali langu kwa Samia leo Tarehe 19...
  8. Mr Beach Boy

    Wazo zuri sana kwa jobless

    Tiba asili ndio mkombozi wa waafrica. Allah Yesu Ni matokeo ya ujio wa wageni. Hii hapa njia ya kupata connection au ajira direct. Mtalaamu anakuitia jini unaingia mkataba nalo likutafutie KAZI baada ya hapo unatoa kafara ya mnyama(ng'ombe) Baada ya hapo unakuwa tayari na KAZI Yako ya...
  9. ELI COHEN

    Uingereza: Ahangaika kuuza jumba lake kwa Tsh 1.75bn. Akapata wazo lingine la kulifanya jackpot kwa ticket ya Tsh 7k

    Wanunua tiketi kwa ajili ya kupataa nafasi ya kushinda jumba hili wakafika 500,000, Kumaanisha kuwa mwamba aliishia kutengeneza Tsh 3.5bn, mara mbili ya bei aliokuwa ametangaza mwanzoni.😨 Mshindi alipatikana na akaingia katika jumba hili kwa Tsh 7000 tu! Hii ndio maana halisi ya kufikiria...
  10. Knock life

    Nina shida ya watu wanomaofanya kazi katika Wizara inayohusika na mambo ya ajira, najitaji kuwapa wazo bora ambalo litasaidia kupunguza ajira

    Ikiwa wewe upo wizara husika naomba uje PM nikupe wazo bora . Wazo hili litawanufaisha Wasomi na ambao sio wasomi , naomba tuwasiliane haraka Njoo PM
  11. The Dictator

    Wazo la kumhusisha nyoka na uovu linatoka wapi?

    Biblia pamoja na simulizi nyingi za kale kutoka sehemu mbalimbali za dunia zinaashiria uwezekano wa wanadamu wa zamani kuwa na mawasiliano na viumbe wa ajabu waliotoka mbali maarufu kama Ancient Aliens. :::(Rejea mada tuliyowaongelea ANUNNAKI). Simulizi la bustani ya Edeni katika kitabu cha...
  12. Sky Eclat

    Ni kilometre 14 tu kutoka Afrika mpaka Ulaya lakini hakuna wazo la kujenga daraja

    Ni kilometre 14 tu kutoka Afrika kwenda Ulaya lakini hakuna aliyependrkeza wazo la kujenga daraja. Wakati tunaelewa Ulaya inapata malighafi nyingi kutoka Afrika na pia inapata wafanyakazi vijana kwa ujira mdogo.
  13. K

    Ukumbi Maalum wa Watia Nia. Ni Wazo Tu

    Wakati huu kutakuwepo na watia nia wengi sana, toka kwa vyama vyote shiriki. Kwa maana hiyo huu Ukumbi wa Siasa utajazwa na hao watia nia na hizi mada nyingine za kisiasa zitabanwa. Kama kuna uwezekano, mafundi wa JF watengeneze mahala maalum pa hawa wenye nia ya kugombea nafasi mbalimbali za...
  14. Meneja Wa Makampuni

    Nauza Wazo la Kampeni Litakalokufanya Upendwe na Jimbo Lako Ndani ya Muda Mfupi!

    Najua wagombea wengi wa ubunge kwa sasa wanahaha kutafuta mbinu mpya za kuvutia wananchi na kupata upendo wa kweli katika majimbo yao. Usihangaike tena nina wazo la kipekee, la kisasa na la haraka litakalokuweka mbele ya wote! Unatafuta njia ya kugusa mioyo ya watu na kuwa gumzo kwenye jimbo...
  15. Valencia_UPV

    Bajeti ya Sherehe ya Kuaga Madiwani inatoka fungu gani la bajeti?

    Bajeti ya sherehe ya Kuwaaga Waheshimiwa Madiwani itakayofanyika kata ya WAZO inatoka fungu gani la bajeti?
  16. Fbn

    Wazo kwa wataalamu na serikali: Kwanini kusiwe na taasisi ambayo inatunza kumbukumbu za familia, koo na DNA

    Ni wazo na mwenye kuona lina mlipa sawa. Wenzetu USA wana taasisi za kutunza kumbukumbu za koo mpaka familia huku zikiambatanishwa na DNA. Ulazimishwi ila utakapo taka kuweka taarifa zako kwa msaada maana wafungua zipu na vifuniko vya asali wameongezeka. Kuna ndugu,watoto wanaotaka kujia koo...
  17. Fbn

    Wazo la JKt ni wazo la Uganda kipindi cha Amimi

    JKT imetengezwa kama livyo tengezwa uganda. Vita vya Kagera kuna vitabu vingi na mambo mengi ambayo yalifichwa sana. Ila Uganda kulibeba ukabira mpaka ukafikia sasa kudai udini. Mimi sio mzuri sana wa kuweka mambo mengi ila kisa cha Museveni na Sudani wa Al Bashuri ilikuwa ukabila na udini...
  18. Davidmmarista

    Wadau, App Gani Mpya Inahitajika Bongo au ni wazo gani la App umewahi kuwa nalo? Shusha Idea Yako Hapa!

    Ni app gani uliwahi kuwish iundwe hapa Bongo lakini bado haipo au haijafika kiwango cha kimataifa? Au kuna changamoto gani uliwahi kukutana nayo ukaona kabisa, "Duh, hapa app ingesaidia!" Huu uzi ni wa kila mtu kushare ideas iwe ni kwa biashara, elimu, afya, usafiri, au burudani. Pengine idea...
  19. Allen Kilewella

    Unaweza kumuua mtu lakini huwezi kuua wazo lake!

    Leo hii nani anawajuwa waliomuia Muamar Ghadafi? Ni wapi majina ya wauaji wa Che Guevara yameandikwa? Wapi kunaadhimishwa kumbukumbu ya wauaji wa Abeid Karume? Hivi Mwangosi na aliyempiga bomu la machozi nani kajengewa Mnara? Watu wasio na akili hudhani mateso ama mauaji huondoa wazo la mtu...
  20. Tech Max

    Nina wazo la biashara mlimani City natafuta muwekezaji, wazo zuri ninalo

    Nina wazo la biashara mlimani City natafuta muwekezaji, wazo zuri ninalo Naishi mkoa wa Dar es salaam -> mawasiliano: inbox
Back
Top Bottom