Tahadhima kwenu wanabodi
Naomba kutumia sikukuu hii ya Mapinduzi kumpa ushauri usiolipiwa kwa kijana Waziri wa Habari, Vijana, Michezo na Utamaduni, Innocent Lugha Bashungwa kama anataka kuendelea kubaki kwenye ulingo wa siasa za Tanzania.
Wizara uliyopewa ni nyeti na "ngumu kumeza". Ni wizara...