Taasisi nyingi za Serikali zinatoa huduma kwa kudai dola ya Marekani kama malipo. CRB, ERB zote zinadai Dola za Kimarekani.
Wizara ya afya inapima Corona na malipo ni ya Dola. Suala la aibu na fedhea kwa mlalahoi kupimwa kwa dola.
Nashindwa kuelewa, hii matumizi ya dola inahalalishwa na Serikali au ni wahuni wachache? Kwanini Dola itumike wakati ukipatikana na dola hata kidogo unapigwa money laundering na uhujumu uchumi?
Mikoani kusikokuwa na dola wananchi watafanyaje?
This is shameful
Wizara ya afya inapima Corona na malipo ni ya Dola. Suala la aibu na fedhea kwa mlalahoi kupimwa kwa dola.
Nashindwa kuelewa, hii matumizi ya dola inahalalishwa na Serikali au ni wahuni wachache? Kwanini Dola itumike wakati ukipatikana na dola hata kidogo unapigwa money laundering na uhujumu uchumi?
Mikoani kusikokuwa na dola wananchi watafanyaje?
This is shameful