wazee

Wazee Lake is a lake east of Black River Falls, Wisconsin, in the town of Brockway, Jackson County, Wisconsin, United States. The name "Wazee" means "tall pine" in the Ho-Chunk language. The artificial lake is the deepest lake within the state of Wisconsin, with a maximum depth of approximately 355 feet (108 m). The man-made lake was formed after the site was used as a quarry for taconite mining between the mid-1960s through April 1983. The quarry produced about 850,000 tons of taconite pellets each year. The mine closed in 1983 as a result of a crash of the domestic steel markets in the United States. When the mine was in operation, pumps removed about 800 US gallons (3,000 L; 670 imp gal) of water per minute from the quarry. Once these pumps were shut down, the quarry began filling with water.
The lake is now part of a county park known as Wazee Lake Recreation Area. The lake is a prime scuba diving destination because of its deep, clear water. Visibility averages between 30 feet (9.1 m) and 40 feet (12 m) during the summer months. There are also visible remains of mining operations underwater, such as roadways used for hauling equipment. Some features have been added to the lake, such as underwater platforms for training divers and fish cribs to improve habitat for the fish. Fish species within the lake include rainbow, brook, and brown trout, bluegills, suckers, catfish, walleye, warmouth, and smallmouth bass.

View More On Wikipedia.org
  1. William Mshumbusi

    JamiiForums Tanzania Mgunda achana na wazee na kupeana fadhila. Mohamed Quattara ni mzima na Yuko kwenye kiwango kizuri. Acheze nafasi ya Kanute

    Mgunda anahitaji shinikizo kwenye kupanga kikosi. Akina Mkude, Boko hawaoneshi uhai Tena simba. Asiwakingie kifua. Ukweli utambwaga chini. Nyeupe haiwezi kuwa nyeusi. Ampe nafasi leo Quatara ingawa yeye Ni beki lkn ana kila kitu kinachoweza kumfanya acheze Kama kiungo mkabaji. Akina Mkude umri...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Wazee tunaotumia Infinix tupeane likes kwa kugonga January na mgao wake hatusumbui kabisa

    Hizi ni simu za wazee wa kazi. Hazimalizi chaji hovyo January hata kama aweke mgao mwaka mzima ni kubofya tu kama tunapushi walevi.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini iwe wao tu wakishika hatamu ndio wanatutesa na sakata la umeme? Ina maana wao hawana huruma? Wazee wa madili

    Yaani mkulu wa Bagams alipokuwa madarakani tuliteseka sana na umeme. Nchi ikawa gizani. Makelele ya jenereta yakawa komoni. Sasa najiuliza mbona ule upande mwingine wa akina Mpina uliposhika hatamu haya ya mgao wa umeme yalipotea? Ina maana hawa jamaa hawana huruma na sisi?
  4. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Tumeingia Tunisia na Wazee wetu Watatu. Hawa ni wazee wapya wa Kamati ya Ushindi. Watunisia wamelala kwao....

    Babaaake..... Watunisia wamelala kwao... Wazee wetu watatu ndo wanatuongoza. Watunisia wamejaribu kutuma majini yao yametulizwa. Mpaka sasa hawajielewi. Tumeshakwepa mitego yao yote mbwa hawa. Huku Dar mikia mliwatonya... Kule sasa wanaenda kukalia moto. Tunawachabanga kiroho mbaya...
  5. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Tuisila Kisinda amesemwa sana. Wazee wamesikia wameamua kumsaidia

    Sasa Tuisila Kisinda TM Master. Tayari atakuwa ameiva. Wazee waliambiwa na viongozi kumfanyia kazi kama ambavyo huwa tunawafanyia wachezaji ambao wanakuwa tayari kusaidiwa. Aziz Ki mmoja wapo na Mayele pia. Wameenda wamempika. Sasa zile kebehi zenu nyie wala mihogo na maji ya pakti...
  6. 2019

    JamiiForums Tanzania RC dhoofu: Jumuiya zimebaki na kina mama tu tena wazee

    Kwa sasa nyumba nyingi za ibada zinakimbiwa na waumini, hii unatokana waumini kuchoshwa na mienendo ya kanisa ambayo ni tofauti na lilichoachwa na mitume. Jumuia inabaki na wabibi tena wachache sana hata kupita mtaani kupeleka msalaba nyumba nyingine wanaona aibu. MAMBO YANAYOCHOSHA Nipokuwa...
  7. Mia saba

    JamiiForums Tanzania Wazee wa jamvi - mkeka ; pesa (boom🤑) uliyomla muhindi-kanji ulifanyia nini Cha kujivunia? Njoo tutoe ushuhuda

    Ni kweli watu hushinda hadi mamilioni ya pesa Ila asilimia kubwa ya pesa hurudi kwa muhindi. Binafsi naweza kujivunia kwa kukumbuka niliwahi mla muhindi laki tatu (premier bet), Nikanunua simu mwaka 2013. Hadi leo nikipigo na kujifariji ligi haijachangamka huku kuliwa kuliwa kikubwa mno.
  8. Expensive life

    JamiiForums Tanzania Wazee wenzangu wa kuweka mizigo (betting) hembu njoeni tuzijadili hizi point alizopewa Yanga sc dhidi ya Geita Gold leo hii.

    Mazee hapa kuna kamtego nini nikitia kamilioni nikimpa yanga si nitanemeka, alafu kama kuna kitu kinaniambia acha ujinga 😂😂
  9. DR HAYA LAND

    JamiiForums Tanzania Nchi inaenda vizuri, wazee wa kulalamika siku zote wapo tu hawakosi

    To be honest Huu uongozi ni Sahihi kwa ustawi wa Taifa . Nipo DSM naona miradi ya kuchagiza uchumi ikianzishwa , simaanishi madaraja no hapa nazungumzia Mambo muhimu tu. Vijana wanapambana life goes on Vitu vimepanda Bei Sana lakini hela ukijituma unapata and you can afford to pay bili zako...
  10. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Hivi nanyi Wazee wa zamani mliopo hapa JF nanyi enzi zenu huu Upuuzi 'unaokera' ulikuwepo?

    Je, Wazee ( akina Baba ) wa zamani hapa JamiiForums hivi nanyi Enzi zenu hii tabia tuliyonayo Wanaume / Vijana wa Siku hizi ya Kuchafuana ( Kuuana kwa Mademu ) tunaowawinda 'Kuwangono' mlikuwa nayo au Wenzetu mlistaarabika zaidi? Nimeshasema kuwa GENTAMYCINE sikatai Kumtongoza Demu wangu na...
  11. CAPO DELGADO

    JamiiForums Tanzania Wazee wa usiku

    Habari wakuu. Nimeamua kumaliza UJANA wangu kwa kufanya starehe/kula Bata ndani ya Mwaka Huu mmoja 2022. Kuna uwezekano mkubwa sana nikapata mwenza wa Maisha Mke Mwaka 2023/24. Mipango ya Mungu ikitimia. Swali Naulizia sehemu nzuri ya kula bata? Napenda nimalizie kula mziki. Maua mengi, ila...
  12. M

    JamiiForums Tanzania UJIJI: Wazee wa UJIJI -KIGOMA wasema hawajawahi kuona Kiongozi aliyeujaza Uwanjani wa Lake Tanganyika kama Rais Samia

    KIGOMA WAMPA MAPOKEZI YA KIHISTORIA RAIS SAMIA SULUHU, ANATAJWA KUWA NDIO KIONGOZI ALIYEVUTA WATU WENGI ZAIDI LAKE TANGANYIKA Wananchi wa mkoa wa Kigoma wampa mapokezi makubwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan uwanja wa CCM Lake Tangayika. Mapenzi haya...
  13. L

    JamiiForums Tanzania Wazee wafurahia huduma ya chakula mjini Hefei, China

    Kampeni ya kutoa huduma ya chakula kwa wazee wanaokumbwa na tatizo la maisha imefanyika katika eneo la Luyang mjini Hefei, China. Migahawa 36 imefunguliwa katika eneo hilo, na kila mzee anaweza kupata ruzuku yuan 100 hadi 200 (sawa na dola 14 hadi 28 za kimarekani) kwa mwezi kulingana na hali...
  14. Equation x

    JamiiForums Tanzania Vijana, kwanini hamuwatunzi wazee wenu?

    Katika kusherehekea siku ya wazee duniani, nimefanikiwa kuwaona baadhi yao wananyuso za furaha, na wengine wana nyuso za huzuni; ikiashiria vijana wameshindwa kufanya nyuso za wazee wao kuwa na furaha. Unakuta mzee bado anapambana kutafuta mkate wa kila siku, na wengine bado wanalea wajukuu...
  15. The Sheriff

    JamiiForums Tanzania Wazee Wana Haki na Wanastahili Kuwezeshwa Kutumia Fursa za Kidigitali

    Leo hii vijana wengi wana-enjoy urahisi wa maisha unaoletwa na teknolojia ya digitali kama vile kufanya manunuzi mtandaoni, malipo ya kidigitali na ufikiaji wa taarifa kwa urahisi mtandaoni. Lakini wazee wengi wasio na ujuzi wa digitali wameachwa nyuma. Hata hivyo, kuna umuhimu wa wazee...
  16. isajorsergio

    JamiiForums Tanzania Siku ya Wazee: Wazee wana mchango gani kwa taifa?

    Habari 👋 Ikiwa ni siku ya wazee na siku muhimu ya kutambua mchango wao katika mataifa mbalimbali, ningependa kufahamu mchango wa wazee katika Taifa–Tanzania. Maana ni rahisi kufahamu na kutambua mchango wa wazee kwa mataifa kama Malaysia, Indonesia, Qatar, Pakistan, India na mengineyo Miaka...
  17. The Sheriff

    JamiiForums Tanzania Ni Jukumu Letu Sote Kuhakikisha Wazee Wetu Wanaishi Maisha ya Furaha

    Kuzaliwa, utoto, ujana, utu uzima na uzee ni hatua za kawaida katika maisha ya mwanadamu. Hatua hizi zote zina raha na shida zake. Kila hatua fulani inapopita nguvu za kimwili hupungua na vilevile utulivu wa akili huzorota. Kwa kuwa umri unasonga, masuala mbalimbali ya kiafya hutokea. Baadhi ya...
  18. N

    JamiiForums Tanzania Sakho alirogwa hapa kati, akarudi kwao kukarabatiwa na wazee

    Hii tetesi kwangu naikubali asilimia 100, hapa kati jamaa aligeuka kero anafanya vitu hadi unajiuliza jamaa vipi tena, amekuwaje? Basi kila la heri POS maana kesharejea jana, I hope wazee wa Senegal wako vizuri na kama aliyemchezea uchawi yuko hapo klabuni basi akipewa namba afanye la maana...
  19. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Ruvuma: Wazee wadai kunyimwa dawa Hospitali ya Wilaya

    Umoja wa wazee Wilaya ya Mbinga Mkoa wa Ruvuma, umewasilisha malalamiko yao kwa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Laban Thomas wakiwatuhumu wahudumu wa Hospitali ya Wilaya hiyo kwa kuwanyima dawa, licha ya kutengewa dirisha lao katika hospitali hiyo. Mkuu wa Mkoa Laban Thomas ametoa agizo kwa Mkuu wa...
  20. Planet FSD

    JamiiForums Tanzania Msaada wazee wa mikeka: kulink VISA card na online betting companies

    Wakuu msaada, nimekuwa nahangaika kulink card yangu ya VISA Debit kutoka Equity Bank. Nilipowauliza wakasema ni BOT wamezuia online transactions kutoka/kwenda kwenye online gambling sites na forex. Nilipewa pia jibu hilo hilo nilipowapigia BancABC. Kwa wale wanaofanya online betting kupitia...
Back
Top Bottom