Kuna watumishi tumemaliza mwaka hatujalipwa fedha za kujikimu. Kuna baadhi wamekuja na hawana mda mrefu wameshalipwa kwani wanalipana kwa kujuana.
Kuna wanaotakiwa kulipwa Tsh 150,000/= na Tsh 130,000/= per day lakini wanakatwa na kulipwa Tsh 80,000/= hiyo nyingine inaenda wapi? Kama sio kuiba...
Waziri wa Katiba na Sheria ambaye pia ni mbunge wa Jimbo la Namtumbo, Dkt. Juma Zuberi Homera amemuagiza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo kuwahamisha watumishi wawili wa kata ya Lusewa ambayo ipo katika wilaya ya Namtumbo kufuatia hali ya utendaji kazi mbovu.
Maagizo...
Ninaandika ujumbe huu nikiwa mtumishi wa umma niliyeajiriwa ajira mpya mwezi wa saba (Julai) mwaka 2025 katika Halmashauri ya Bunda Mji.
Kwa masikitiko makubwa, hadi leo hii bado hatujalipwa fedha za kujikimu kama ilivyoelekezwa kisheria. Aidha, baadhi yetu bado hatujalipwa hata mshahara wa...
Anonymous
Thread
bado
bunda
fedha
fedha za kujikimu
halmashauri
hawajalipwa
julai
kujikimu
kwanza
mji
mshahara
watumishi
Habari zenu wana JF...!!
Nahitaji msaada wa kupata Mawasiliano ya mtu anae husika na Baraza hilo tajwa hapo juu, kama nitampata Muhusika moja kwa Moja kutokea hapa nitashukuru pia.
Mawasiliano yangu: 0653717447
Ahsante
Habari wana bodies,napenda kujua Juu ya Sheria na miongozo juu ya watumishi wa umma wanaofanya kazi hadi siku za mapumziko ya sikukuu za umma,je wanastahili kupata stahiki gani kwa mujibu wa sheria?
Jiandae kuwa mjasiria mapema kabla ya kustaafu.
Manyanyaso na majungu ya watumishi wenzako iwe chachu ya wewe kujiandaa kustaafu ili uweze kuwa huru.
Sina la nyongeza. Ila Walimu zingatieni huu ujumbe.
Zamani mtumishi wa Mungu akiongea unaona kabisa Mungu ameongea🤣
Ila sahz mtumishi wa Mungu anaongea unaona kabisa ni uongo na anapingwa kwa hoja na unaona kabisa hoja zinazompinga mtumishi wa Mungu zinamashiko hii ni aibu nikushusha chini utume wa Mungu, lakini yote hayo ni kwasababu ya...
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba amewaonya watendaji na watumishi wa umma waache tabia ya kuzoea matatizo hasa katika sehemu zinazotoa huduma kwa wananchi.
Ametoa onyo hilo jana (Jumapili, Desemba 21, 2025) wakati akizungumza na wagonjwa na watumishi wa Hospitali ya Wilaya ya Nachingwea mkoani...
Habari ndugu watumishi wa sasa na wale watarajiwa
Serikali huwa inatenga kiasi cha pesa kwa ajili ya kuwakopesha watumishi wake. Mikopo hii haina riba kabisa (ukiacha gharama kidogo sana za kuprocess). Lengo la mikopo hii ni kuwasaidia watumishi kupata fedha za kujenga nyumba, kununua usafiri...
Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro imeendelea kuwajengea uwezo Watumishi wake kwa kuwapa mafunzo ya namna bora ya kusimamia masuala ya Itifaki na kuhudumia wageni mbalimbali wanaotembelea hifadhi hiyo.
Kaimu Meneja Uhusiano kwa Umma wa Mamlaka hiyo, Hamis Dambaya amesema kuwa kufanyika kwa...
😄 Hivi mkuu wa kikosi kazi wa kujilimbikizia mali unataka kuwajibisha wanao jilimbikizia mali.
Wote mnafaidi sasa ulitaka nani kutofaidi hii keki.
Waziri mkuu hapa umechemka kama kuku wa kwenu kupikia mchemsho.
Mpaka sasa dini ya haki imeshajulikana ni ipi neno HAKI ni neno hatari sana kwa watawala wanyonyaji, wauaji, wanyanganyi, wezi wa kura...nk
Hawataki kusikia msamiati haki ukitamkwa mbele za watu, mbele za watanganyika wapenda haki.
Kwa Tanganyika yetu ya leo ukijaribu kutetea haki wewe ni adui...
Watumishi wa TAMISEMI mmefikiwa huku
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), Reuben Kwagilwa amewataka watumishi wote waliopo chini ya Tamisemi nchi nzima kuzingatia muda wa kuripoti na kudumu kazini kulingana na kanuni za kudumu za utumishi wa umma.
Amesema watumishi wanapaswa kufika...
Habarini
Naomba huu uzi uwe ni daraja la kuwatumbua wote wenye elimu za kuunga unga ili iwe kama tahadhari kwa wanaowateua na kuwapa nafasi.
Hapa zitawekwa CV zao na itakua kama database ya wenye elimu za hapa na pale wote Tanzania nzima
Karibu
Mara tu baada ya uhuru, serikali ya Tanganyika ikafanya mapitio juu ya mishahara ya watumishi. Ikaja na uamuzi kuwa kima cha chini cha mshahara kitakuwa Tsh 150 kwa wakazi wa Dar na Tanga. 125 kwa wakazi wa miji kama Mwanza, Moro, Arusha, Dodoma, Iringa, Mtwara, Mbeya nk. Kwa miji midogo na...
Watumishi wa hii kada ni kama wana laana vile hasa hapa Tanzania, watumishi wake karibia 95% wanategemea mshahara tu kwa 100% ajira hazijawasaidia kabsa kuanzisha miradi ya pemben yenye tija.
Tatizo bado sijajua ni nini haswa lakn hii kada ndo inaongoza kwa vilaza, yan watu ambao hawajui lolote...
Mtumishi wa Umma Anayetaka kuhamia mkoa wa pwani kutoka mikoa yote Tanzania kasoro kigoma, katavi na shinyanga ila hususani Tanga, fani ni mechanical engineer karibu tubadilishane
Mimi ni mdau wa JamiiForums.com nina kero ambayo naomba ujumbe ufike kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Rorya pamoja na ofisini yake kwa jumla.
Sisi Watumishi katika ngazi Elimu Msingi hatujalipwa fedha yetu ya likizo tangu Desemba 2024, licha ya kuwa tulijaza fomu ya malipo...
Anonymous (7e77)
Thread
elimu
elimu msingi
likizo
malipo
mawakili
rorya
watumishi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.