Watumishi wapya wa Singida DC tunaomba ufafanuzi kuhusu posho ya kujikimu tuliyolipwa. Kiasi tulichopokea ni kidogo tofauti na tulivyotarajia kwa mujibu wa utaratibu unaofahamika, na hakuna maelezo yoyote yaliyotolewa kuhusu hilo wala kama kuna malipo mengine yatakayofuatia na lini.
Kumekuwa na...
Anonymous
Thread
kidogo
kuhusu
kujikimu
posho
singida
tofauti
tunahitaji
ufafanuzi
watumishiwatumishi wapya
Mimi ni mfanyakazi wa kada ya afya katika Halmashauri ya Simanjiro, mkoa wa Manyara. Tangu Januari 2026 hadi sasa tumekuwa tukikumbana na changamoto nyingi, lakini kila tunapojaribu kuzungumza au kuuliza, tunaondolewa kwenye makundi ya mawasiliano (groups) na hata “kuremove” kabisa.
Inafikia...
Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mwanamvua Mrindoko, Mei 20, 2026 amezindua rasmi Basi la Watumishi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Katavi.
Akizungumza mbele ya Watumishi, Mrindoko amesema Basi hilo litasaidia sana Watumishi kupunguza gharama za maisha kwa kuwarahisishia usafiri.
Pia soma ~ Milioni...
Mdau hapa. Leo ningependa kuzungumzia changamoto zinazowakumba baadhi ya watumishi wa kujitolea katika ofisi za serikali, hususan maeneo ya kusini mwa Tanzania. Sitapenda kutaja majina ya ofisi husika kwani wahusika wanajitambua wenyewe.
Kumekuwa na tabia ya baadhi ya watumishi wa kujitolea...
Anonymous
Thread
katika
kujitolea
kupata
ofisi
posho
serikali
stahiki
unyonyaji
uwepo
watumishi
Mtendaji Mkuu wa TEMESA, Bw. Kheri Mahimbali, amewataka watumishi wa taasisi hiyo kufanya kazi kwa weledi, uadilifu na kutenda mema katika utumishi wa umma, huku akisisitiza kuwa kutenda wema ni msingi wa kujenga mazingira bora ya kazi na kulipwa wema katika maisha na utumishi kwa ujumla...
Kwa level ya Taifa, ukimpa mwananchi umeme, barabara, huduma za afya, maji safi, elimu bora nk, unampa uwezo wa kukuhoji utendaji wa serikali, ila Ukimwacha na njaa, unakuwa umempa kazi moja tu, kupambana kesho ale asife.
Hii ina apply pia kwa maboss wetu maofisini. Wengi sana wanafanya maksudi...
Ni kweli hospital inakusanya mapato kwa wingi lakini sisi watumishi tunadai stahiki zetu kwa muda mrefu tu hatulipwi extra duty na call allowance tangu 2024, 2025 na 2026.
Ikitokea zimelipwa ni malipo ya mwenzi mmoja na mingine unayobakia hatulipwi, tukidai wanasema madeni yetu yapo wizarani...
VETA
Habari za wakati huu. Mimi ni mmoja wa watumishi wapya walioajiriwa na Veta tarehe 19/02. Baada ya kufika makao makuu Dodoma na kukamilisha zoezi la kusaini mikataba ya ajira, tuliombwa kusubiri maelekezo ya kupangiwa vituo vya kazi.
Hata hivyo, hadi sasa zimepita takribani miezi miwili...
Anonymous
Thread
bila
kazi
miezi
mshahara
njia
njia panda
veta
waajiriwa
watumishiwatumishi wapya
Dar es Salaam 14 Mei, 2026
YAH: KUVUNJWA KWA BODI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amevunja Bodi ya Wadhamini ya Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF).
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka...
Watumishi wa Afya Halmashauri ya Iramba, Hospitali ya Wilaya Kiomboi tuna miezi 9 hatujalipwa stahiki zetu za extra duty na uongozi upo kimya kila tukiuliza tunajibiwa majibu ambayo sio rafiki.
Tupo katika Jimbo la Waziri Mkuu tunaomba tatizo letu lishughulikiwe, vilevile tunadai pesa za huduma...
Anonymous
Thread
afya
hospitali
hospitali ya wilaya
iramba
malipo
singida
upande
watumishi
wilaya
Miezi mitatu imepita watumishi hawajalipwa posho zao na hakuna taarifa yeyote juu yao, zaidi kuna matumizi mabaya ya makusanyo ya fedha mbalimbali zinazosababisha watumishi wasilipwe posho zao ikiwemo posho ya usafiri na kodi ya nyumba.
Vile vile wanashindwa hata kutoa chai kwenye ofisi husika...
UFAFANUZI KUHUSU WATUMISHI WA MKATABA KUTOTENDEWA HAKI
Dar es Salaam, 10 Mei 2026
Shirika la Viwango Tanzania linapenda kutoa ufafanuzi kwa umma juu ya upotoshaji uliochapishwa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu watumishi wanaodaiwa kutokutendewa haki.
Hoja ya awali ~ TBS haijatutendea haki...
Imeelezwa kuwa Mikutano ya Mabaraza ya Wafanyakazi ni majukwaa muhimu ya kuwashirikisha watumishi moja kwa moja katika mipango ya Serikali ili kupata mawazo mapya na umiliki wa pamoja wa mipango hiyo kwa lengo la kutekelezwa kwa ufanisi na bila manung’uniko.
Hayo...
Kero yetu ni kutolipwa fedha ya kujikimu, sisi ni Walimu Ajira Mpya mwaka 2025 katika Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea, tukifuatilia tunapewa majibu ya kukatisha tamaa, na vitisho pia!!
Serikali itusaidie, maana hatuna pa kwenda!! Ajira mpya ya 2026, wamekuja, ndani ya wiki moja tu wakalipwa...
Anonymous
Thread
halmashauri
nachingwea
stahiki
uchunguzi
vitisho
walimu
watumishi
wilaya
Hapa kwetu Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya (Mbeya DC), Mkurugenzi Mtendaji wetu, Erica Yegella ana changamoto kadhaa kuhusu matumizi ya ofisi yake:
1. Hakufanya kikao na Baraza la Wafanyakazi kabla ya Bajeti
Kila mwanzoni mwa mwaka kunatakiwa kufanyike Baraza la Wafanyakazi kwaajili ya kupitisha...
Kuna kozi za education zinatutesa sana. Kozi hizi nyingi zinatolewa UDOM.
Mfano bachelor of education in psychology, education in administration and management, education in policy planning, adult education and community development.
Zote hizi na nyingine zinatolewa kwenye vyuo vikuu lakini...
Katika kituo cha Ilala-Iboma amabacho ndo cha mwisho kwa 'Route' ya Mbagala-Ilala BOma kumekuwa hakuna utararibu mzur wa kuwapanga abiria kwenye foleni ili kusubiri kupannda magari, hali hiyo imekuwa ukisababisha vurugu wakati wa kupanda kwani kila abiria anataka kuwahi kukakaa kwenye siti hii...
Watumishi wa Halmashauri ya Itilima (Walimu) hatujalipwa hela ya likizo ya nauli ya Desemba 2025
Mimi ni Mtumishi wa Umma kutoka Halmashauri ya Itilima, kero yangu ni kwamba hatujalipwa hela ya likizo ya nauli ya Desemba 2025 mpaka leo hii Mei 2026, kitu ambacho kinashangaza kwasababu...
Kwanini Watumishi tunaungwa katika Vyama vya Wafanyakazi, Chama Cha Wafanyakazi Wa Serikali Na Afya Tanzania (TUGHE)na Chama cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa Tanzania (TALGWU) bila kuchagua?
Kuna hivi vyama vya Wafanyakazi TUGHE na TALGWU wanakuunga kilazima bila mfanyakazi kujua, hawakupi...
Anonymous
Thread
bila
katika
kuchagua
talgwu
tughe
vyama
vyama vya wafanyakazi
wafanyakazi
watumishi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.