Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na wenye ulemavu, Mhe. Ridhiwani Kikwete (Mb) leo Mei, 31, 2025 amewaongoza mamia ya Watumishi wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI), JKCI, MNH, MUHAS na waombolezaji wengine kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa marehemu...