watanzania

There are currently over 50,000 people of Indian origin in Tanzania. Many of them are traders and they control a sizeable portion of the Tanzanian economy. Indians have a long history in Tanzania starting with the arrival of Gujarati traders in the 19th century. They came to gradually control the trade in Zanzibar. Many of the buildings constructed then still remain in Stone Town, the focal trading point on the island.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    Ujumbe wangu kwa Watanzania.

    Ndugu zangu Watanzania, siyo kwamba Tundu Lissu, John Heche, John Mnyika, TEC, Sheikh Ponda, Ask. Mwamakula, Ask. Mwanamapinduzi, Ask. Mwamalanga, Ask. Bagonza, Ask. Shoo na wengineo wengi walio mstari wa mbele katika mapambano ya kupigania HAKI wana dhiki sana, hapana. Wangeweza kubaki na...
  2. Kusini pride

    WaTanzania ni watu waoga na waporojo sana

    …naona wote mpo busy na msiba wa Papa, lakini hamjui kinachoendelea Tunisia 🇹🇳… Tunisia 🇹🇳 kuna Rais mwendawazimu anayeitwa Kaïs Saïd, Dikteta zaidi ya Kambare… Huyu jamaa anamiliki serikali, Bunge na Mahakama zote nchini humo… Juzi, kawahukumu viongozi wa upinzani, mawakili wao...
  3. Genius Man

    Watanzania maskini mnapaswa kufunga na kuomba kuiombea nchi yenu

    Watanzania mnapaswa kusali sana na kuomba kuiombea nchi yenu amani lakini amani hiyo iwe ya haki sio amani ya kuwauwa wadai haki na kuwasingizia kesi za uongo na kuwalisha maneno ya uongo midomoni ambayo hakuyafanya. Watanzania mnapaswa kusali sana ili upendo uongezeke nchini sisi kwa sisi...
  4. mshale21

    Tuelimishane, Mipaka yetu ya kutoa maoni ni ipi ndugu watanzania ?

    Happy Muungano Day! Ndugu zangu Watanzania, kumekuwa na lugha inayotusisitiza kutoa maoni bila kuvuka mipaka ya nchi yetu , na hasa ikitolewa na viongozi wa ngazi za juu serikalini. Ni muhimu kama watanzania tukaelimishana au kuelimishwa, ni maoni gani hayo kisheria ambayo tukiyatoa tutakuwa...
  5. K

    Watanzania tumesha gawanyika huo ndiyo ukweli!

    Watanzania tayari hatuko pamoja. Kuna kundi mmoja la watu wanaona mambo na nchi yetu iendelee hivi lakini kuna kundi kubwa sana ambalo lipo kwa sasa pamoja na mimi binafsi ambao tumechoshwa sana na uonevu wa haki za binadamu unao endelea Tanzania. Mara ya mwisho Watanzania tulikuwa wamoja ni...
  6. Tabutupu

    Naona RC Chalamila alicho kuwa anatamani kitokee kimetokea na amefurahi kabisa?

    Naona RC chalamila alicho kuwa anatamani kitokee kimetokea na amefurahi kabisa. Anafurahia kuona watanzania wasio na hatia wala silaha wanakamatwa, wanateswa , wanavunjwa miguu na kutupwa porini. Nchi hii kuwa na viongozi kama hawa tumefikia pabaya sana, ni heri tungekuwa na bucha za nyama za...
  7. Genius Man

    Nashauri Watanzania tujifunze na kuwafundisha watoto wetu kuacha tamaa za madaraka

    Tamaa za madaraka hazina maana yoyote, ndio kiini cha mauwaji na machafuko kwenye nchi. mnaweza kujifunza kwa mataifa mengine hapa Africa yaliyokuwa na watu wa namna hii. Mtu unauwa ili kupata madaraka, kumbuka uhai ni kitu cha msingi kuliko madaraka ndio maana ili uwe na madaraka lazima uwe...
  8. H

    Watanzania wameamua kutumia njia za amani kudai haki zao, lakini watawala wanatumia Maguvu kuharibu Amani

    Mpaka sasa, hakuna mwananchi hata mmoja, hakuna chama cha siasa chochote cha upinzani hata kimoja, wala hakuna taasisi hata moja, imetumia nguvu kudai haki za kikatiba zinazogandamizwa nchini. Jambo la kusikitisha ni kuwa madai hayo ya haki za msingi za kikafiba za wananchi, yanayofaiwa kwa...
  9. R

    John Heche, John Mnyika, Boni Yai, Godbless Lema na wengineo, msikate tamaa, siku hadi siku Watanzania tutazidi kujengeka na UJasiri wa kupinga UONEVU

    Makamanda Msikate tamaa, tuwaunge mkono kwa TONE TONE waweze kuwa na nyenzo angalau ya pesa kufanya haya ya haki wanayoyafanya! Mushkov nimenakili sentensi yako please Erythrocyte
  10. BLACK MOVEMENT

    Watanzania ni wanafiki sana kutwa nzima kulia lia kwenye mitandao, ikija kutake action ni negative zero

    Watanzania ni Machampion wa Dunia linapo kuja swala la kulia lia kwenye mitandao, Wajinga sisi tunazania kutype daily kuna mtishia nyau? Hakuna anaye kosa usingizi kisi kuna watu wanakesha waki type kwenye mitandao. Ipo siku hawa wanao tupigania watachoka na hapo ndio CCM itashikisha watu ukuta...
  11. technically

    Watanzania Chukueni hatua wenyewe acheni kutegemea chama kuwakomboa

    Nawaambia Chukueni hatua Anzeni na watu mnaoishi nao mtaani Chukueni hatua za kimya kimya baada ya miezi 3 mbele wahuni wataelewa Kama Kuna biashara ya muhuni msinunie Acheni kupanda hayo mabasi ya mafisadi Kama ni mwalimu mtoto wa polisi muache afeli Kama ni doctor akija fyeka
  12. Magufuli 05

    Siku moja watanzania watasahau kabisa kama kulikuwa na CCM

    Watatuua Leo ,watatutesa Leo watatukandamiza Leo lakini mungu Huwa hachelewi wala hawahi Bali hujibu kwa wakati. Watanzania saa ya ukombozi haipo mbali sana. Hauwezi ukaua watu hivyo ukabaki salama
  13. ngara23

    Watanzania wako busy na story za Yanga na Simba na udaku wa Mwijaku lakini hawana muda na mambo ya msingi

    Watanzania wanaofika zaidi ya million 60, wamekuwa makondoo na kukubali kutawaliwa na unyonywa jasho lao na kikundi cha watu wachache kutoka Chama chakavu Watanzania wako busy na story za Yanga na Simba na udaku wa Mwijaku lakini hawana muda na mambo ya msingi Vijana wa Kenya walikiwasha hadi...
  14. Gilbert A Massawe

    Watanzania wamewapuuza Chadema

    Siku ya Leo Chadema walitangaza kuonyesha dunia wao ni nguvu ya Umma na waliripoti wanachama zaidi ya 10,00 kusafiri kutoka mikoa mbali mbali kuja mahakamani Kisutu Cha Kushangaza wale tuliombiwa walijaza Hotel za Kariakoo, Posta awakuonekana Kisutu Niendelee kutoa Rai Chadema endeleeni...
  15. balibabambonahi

    Ukiona serikali inatisha Raia ,inapiga wake,ujue imepoteza uhalali wa uwepo wake

    Kwanini serikali inaogopa kukosolewa? Ukiona serikali inatisha RAIA,inapiga na kuua RAIA wake,ujue imepoteza uhalali wa uwepo wake. Mwanafalsafa John Locke anasema,serikali hiyo yafaa iondolewe madarakani.Serikali imegeuka haini dhidi ya RAIA wake. Serikali isiyojua wajibu wake,kazi makelele tu...
  16. GENTAMYCINE

    Hizi nyasi kubwa katika Uwanja wa JNIA zina faida gani kwa Utalii na Taswira ya Tanzania na Watanzania?

    Tafadhali naomba Uongozi wa TAA uzikate ziwe ndogo ili Kuupendezesha kwani kwa jinsi zilivyo sasa zinatia Aibu hasa Kimandhari. Nikirejea tena Likizo fupi Tanzania naomba nisizikute kwani haziwaaibishi tu TAA bali hata Watanzania wote kuwa ni Wachafu na Watu tusiojali. Asanteni wana Dar es...
  17. Lord Denning

    Hivi ndo namna Watanzania tunavyowaona Matapeli wa Kisiasa kwa sasa.

    Wakati wa Mungu ukifika hakuna anayeweza kuuzuia. Huu ni wakati wa Mungu kuikomboa Tanzania na Watanzania dhidi ya siasa za kitapeli, kuhuni na kifisadi ambazo zimefanywa na Chama cha Mapinduzi kwa miaka mingi sasa na kuwafanya Watanzania wazidi kuwa masikini bila maendeleo ya uhakika kwa...
  18. N

    Watanzania zaidi ya 5500 live mtandaoni mda huu kufuatilia chama makini Tanzania (CHADEMA)

    Habarini za mchana wana jamvi.... CDM inaonekana kukonga mioyo ya watanzania wengi ambao wamechoka na ufedhuri na dhuruma ya CCM. Hii ni dalili njema kwamba kumekaribia kupambazuka, tuendelee kumwomba sana Mungu wetu wa haki. Simba wa nyika Tundu Lissu na Heche kila waungurumapo CCM inapagawa...
  19. M

    Ndugu zangu watanzania kwaherini, naenda zangu Palestina kufanya biashara ya vyuma chakavu!

    Nimechoshwa na swaga za ccm eti tumeleta maendeleo, maendeleo yepi hayo? ya kukamata wapinzani na kuwasweka lupango na kuwalazimisha watu wote wawe ccm utadhani watu wote wanapenda jehanamu Maana kazi nyingi izifanyazo ccm ni za jehanamu Naenda zangu Palestina (Gaza) kuuza vyuma chakavu...
  20. ngara23

    Chadema waacheni Watanzania wataamka wenyewe kujipambania

    Huwa nawaonea huruma kuwapigania Watanzania wapumbavu hii ni sadaka kubwa wanajitoa chadema Nina uhakika mtoto wa Lissu haki chini Mke wa Lema hakosi matibabi ya kujifungua Heche hakosi maji ya kunywa Wananchi wana matatizo makubwa wanaowapigania wanawaona kama wajinga Shule hakuna madawati...
Back
Top Bottom