Wakati Rais Dkt. Samia Suluhu anaingia madarakani mwaka 2021 sekta ya utalii ilikuwa inapitia katika mazingira magumu kutokana sababu mbalimbali ikiwemo athari ya UVIKO 19
Mapato ya utalii yalipungua sana, ajira nyingi zikashuka, wanufaika wa sekta hii wakaathirika kiuchumi.
Hata hivyo, ujio...