Bora hao majambazi, ma drugs dealer wanakuja kupumzika tu wakiskilizia nchini mwao kunaendekaje afu wanarud zao kwao kuliko sir*ika*li tuliyonayo ya mauaji ya halaiki, watekaji, wasababisha hali ngumu ya maisha kwa wananchi, wanyanyasaji wa wenzao na kuwaita wahaini tuko nao na hakuna kitu tunawafanya na ukijihadhari na kuwatahadharisha wenzio washtuke unamalizwa.....kina kibao, mdude, na wengine weeengi na waliotangulizwa mbele za haki kwa makusudi ya mwandamu (shemeji zangu wawili kwa kutekwa since march 2025 na mwingine July 2025)😭😭😭 Mwenyezi Mungu awaweke mahali pema siku moja tuonane😭😭😭😭😭 hatujui ni wazima au mlishamalizwa huko....watoto wangu wamekosa ukaribu na baba wamebaki kumuona kwa video call tu😭😭😭😭 angezubaa naye tungeshasahau. Nasemaje bora hao watalii kuliko humu tunamoishi na kuongozwa