wasiojulikana

  1. Lattafa

    Je, Polepole ni Honey Pot ya wasiojulikana?

    Ndugu wa Balozi amehojiwa na tumemsikia. Kuna maneno na yanayozungumzwa mitandaoni hasa hili la 'chip' ambayo ndio theory yangu inapokuja. Je, ni kweli Balozi ana bug katika mwili wake au ni scare crow tactic aliyotumia mtoa taarifa kuwatisha watekaji. Je, kama ni kweli Ana bug basi Lazima...
  2. The unpaid Seller

    Watu wasiojulikana tunaoamba msiwe na upendeleo, hebu mkamateni Tesha anamletea nywi nywi mama yenu

    Eti wakuu, sio wanawakamata kina Mdude sijui wanaharakati mpaka mx Mello wetu mkamtishia kumpoteza sasa kajitokeza Tesha wazi wazi na zaidi ametaja mpaka alipo ni pale SAK inshort kawarahisishia kizi tunaoamba watu msiojulijana msiwe na upendeleo hebu kamtekeni Tesha analeta nywi nywi.
  3. britanicca

    Baada ya kuijadili sana interview ya Maxence Melo kuhusu sababu ya kufungia JF, The Chanzo walazimishwa kufuta Hiyo interview Mara moja

    Nchi hii ni ya maajabu sana , Nimekuwapo wakati wa Tawala zote ila sasa hii imekuwa ya maajabu mno! Katika interview ile aligusia: 1. Kuhusu mtu mzito kumpigia simu kuhusu kwamba atapotezwa na watanzania watapiga kelele miezi kadhaa na kusahau 2. Akagusia kwanini JF imefungiwa Sasa baada ya...
  4. S

    Aisee!! Maandamano ya 29.10.2025, mambo ni moto. Hongera kwa wapigania haki

    Kuanzia matukio na maeneo yaliyopangwa, muda na mbinu zitakazotumika kutekeleza kila tukio vimekaa vizuri sana. Tunaweza kuamshwa asubuhi ya 29.10.25 na breaking newz za kutosha sana ambazo zitaibua shangwe kwa umma. Itoshe tu kusema usiku wa 28.10 ni mzito kuliko mchana wa 29.10
  5. Mashamba Makubwa Nalima

    Week chache zijazo Chawa na Wasiojulikana wanakwenda kupoteza ajira

    Moja la jambo kubwa sana tunakwenda kulifanya kwa mustabali wa nchi yetu
  6. Damaso

    Polisi wetu: Walinzi wa amani au watu wasiojulikana?

    Katika kila taifa linalojitambua, Jeshi la Polisi ndilo nguzo kuu la amani, usalama na mshikamano wa kijamii. Polisi hupewa jukumu la kulinda raia na mali zao, kuhakikisha sheria zinafuatwa, na kuwa ngao dhidi ya vitisho vya ndani na nje. Hata hivyo, maneno yanapotoka kinywani mwa viongozi wa...
  7. PLOII

    Watu Wasiojulikana mnasubiri nini kumtafuta na kumkamata Vladimir Lopez mpate USD 15M kutoka Marekani?

    Happy Wednesday Guys, Niende kwenye Mada Kwa ufupi (remember this article is full of figures of speech for a purpose) Nimewaza kwa kina sana tena sana kuhusu hiki kikundi cha Utekaji na Kuua - Tanzania, ni kama Taasisi kwa Sasa hapa Nchini. Hawa jamaa wamekuwa wakiteka watu wasio hodari...
  8. M

    GE2025 Wasiojulikana wavamia nyumbani kwa mgombea ubunge moshi vijijini na kupasua kioo cha gari la mke wake

    Huko mkoani Kilimanjaro hali ya hewa imeanza kuchafuka mapemaa baada ya watu wasiojulikana kudaiwa kuvamia nyumbani kwa mgombea wa kiti cha ubunge Jimbo la Moshi Vijijini kwa tiketi ya chama cha CHAUMA,Michael Kilawila na kuharibu gari la mke wake kwa kupasua kioo cha nyuma. Tukio hilo...
  9. The Father of All

    Gwajima kafia wapi au kamezwa na Polepole?

    Pamoja na makeke na mbwembwe zake, Gwajima anaonekana kutoweka kwenye ramani ya dini na siasa za Tanzania. Yuko wapi mbona hafurukuti tena kama mwanzo? Je kamezwa na Polepole au polepole anatoweka kwenye ramani ya Tanzania baada ya kujichanganya akidhani angeweza kuitapeli CCM asijue...
  10. DuaZaMama

    Shinyanga: Askari Magereza auwawa na watu wasiojulikana

    Watu wasiojulikana wamemuua Mkazi wa Mtaa wa Lwelyangula kata ya Kitangiri mkoani Shinyanga Malini Kilucha (37) ambaye ni Mkaguzi Msaidizi wa Jeshi la Magereza kwa kumfunga mdomo na pua kwa kutumia nguo alizokuwa amezivaa karibu na nyumba aliyokuwa akiishi. Kamanda wa Polisi mkoa wa Shinyanga...
  11. M

    Iringa: Kada wa CHADEMA auawa kikatili na wasiojulikana

    Ni vilio na simanzi katika mtaa wa Mkimbizi D, kata ya Mkimbizi, manispaa ya Iringa, kufuatia kuuawa kikatili kwa mjane Anastazia Mwamongi, maarufu kama Mama Mwamongi, ambaye pia ni kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), baada ya mwili wake kukutwa ndani ya nyumba yake ukiwa na...
  12. Mkalukungone Mwamba

    Mtanzania mwenye asili ya Uturuki auawa na wasiojulikana

    Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linachunguza tukio la mauaji ya Alptekin Zeynelabidin Aksoy, mwenye umri wa miaka 52, ambaye ni raia wa Tanzania mwenye asili ya Uturuki, aliyeuawa kwa kupigwa risasi na watu wasiojulikana alfajiri katika eneo la Makaburini, Kinondoni. Kwa mujibu wa...
  13. Kijakazi

    wasiojulikana wafika melbourne, australia!

    au sijui tusema wanaojulikana, hawa ndiyo wahamiaji ktk afrika huko australia, jionee mwenyewe … https://m.youtube.com/watch?v=Pvihe_J4cJE
  14. Mag3

    Picha ya mwaka 2025...Mh. Tundu Antiphas Lissu atapaza sauti hata akipitishwa kwenye bonde la mauti!

    Mh. Tundu Antiphas Lissu katikati ya wasiojulikana hanyamazi! Pamoja na kumiminiwa risasi zaidi ya thelathini hakunyamaza Pamoja na kupitishwa kwenye bonde la mauti hajanyamaza Pamoja na kusubiri kunyongwa kabla ya hukumu hatanyamaza Mh. Tundu Antiphas Lissu ni mtu na nusu...NO REFORM, NO...
  15. Mkalukungone Mwamba

    Kilimanjaro: Wasiojulikana wafukua kaburi la mwenye ualbino, na kuondoka na baadhi ya viungo vya mwil

    Jamii ya Kindi Juu, wilayani Moshi mkoani Kilimanjaro, imeingia kwenye taharuki kubwa baada ya watu wasiojulikana kufukua kaburi la Victoria Mmasi, aliyekuwa mlemavu wa ngozi (albino), na kuondoka na baadhi ya viungo vya mwili wake. Tukio hilo la kusikitisha limetokea usiku wa kuamkia Juni 21...
  16. Smartkahn

    Ni nini na lini hatima ya wasiojulikana na utekaji, nani anapaswa kuwajibika katika wajibu wake... Wananchi wanahaja ya kupata ufafanuzi yakinifu

    Serikali kwa maana ya kwamba viongozi husika (Raia nambari 1 hadi 10) wanawajibu wa kuleta majibu yenye mashiko juu ya maswali haya. Niliwahi kuona mbele ya muda exactly nini kitatokea na kikaja kutokea na nikaandika; "Thread 'Hukumu ngumu(bias) katika mashtaka mepesi' Hukumu ngumu(bias)...
  17. Dalton elijah

    Kahama :Vijana wanne wasiojulikana majina yao wala makazi wameuwawa kwa kupigwa na kisha kuchomwa moto

    Vijana wanne wasiojulikana majina yao wala makazi wameuwawa kwa kupigwa na kisha kuchomwa moto na watu wenye hasira kali katika Mtaa na Kata ya Mhongolo Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga kwa tuhuma za kujihusisha na matukio ya uhalifu na kupora watu. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga, SACP...
  18. W

    PreGE2025 Msanii Vitalis Maembe aja na wimbo mpya kuhusu matukio ya utekaji na watu wasiojulikana, asema hakuna kukaa kimya

    Wakuu Tusimame pamoja tupaze sauti tusiyakalie kimya haya yanayoendelea, kama jirani yako hayupo salama ina maana hata wewe haupo salama. === Msanii wa muziki Vitali Maembe ametoa wimbo kupinga mauaji yanayotokea na watu kutekwa afrika Mashariki unaoitwa "KIMYA'' na kuambatisha ujumbe...
  19. Inside10

    Wasiojulikana waiba Milion 25, laptops 600 Na Vifaa vya Michezo kwenye Ofisi Ya CCM Msasani Bonde la Mpunga

    Watu wasiojulikana wamevamia, kuvunja na kuiba, Laptop 600, fedha milioni 25, vifaa vya shule pamoja na vya mpira, kwenye ofisi ya Chama cha Mapinduzi, shina namba 7, iliyopo kata ya Msasani eneo la Bonde la Mpunga, wakiwa na gari yenye namba za usajili SM 14024 saa 8:00 usiku. Akiongea na...
  20. R

    Nadhani sasa one can say with bravity and certainty kuwa sasa wasiojulikana, thank god wamejulikana. Asante Gwajima

    Gwajima amemaliza/ametengua kitendawili without shadow of doubt kuwa wasiojulikana sasa wanajulikana na anayewapa GO AHEAD ni fulani with a million certainty! Ni matter sasa ya nani apeleke mauaji haya ICC Kenyatta Case The Prosecutor v. Uhuru Muigai Kenyatta ICC-01/09-02/11 Case closed...
Back
Top Bottom