Mbinguni ni Wapi
Mbinguni ni Wapi
Katika Biblia, neno mbingu linatumiwa kwa maana zaidi ya moja kumaanisha mbingu halisi; makao ya kiroho, na cheo kilichokwezwa au kutukuka. Katika kila maana, hali iliyopo inasaidia kutambua ni maana gani iliyokusudiwa.
1. Mbingu halisi: Kitabu cha Mwanzo 1:20...