wapi

The Wapi Project was a civic action program originated by the Royal Lao Government; it was performed in Military Region 4 of Laos from late 1963 through 1967. Notable for being among the first integrated programs to offer integrated services to the Lao Theung populace of southern Laos, it became a victim of its own success. Its lean efficiency led to its being crowded out of funding by more expensive programs.

View More On Wikipedia.org
  1. N

    JamiiForums Tanzania Yu wapi Nimon Toki Lala?

    yaani mi nikiusikiliza huu wimbo wake unaoitwa 'simne', NACHOKA KABISA. Yuko wapi jamani huyu mwanadada machachali?!!!
  2. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nawamisi sana Twanga Pepeta, wako wapi?

    Daah! Mzee wa farasi Ali Choki. Amigolas: "Ni kosa gani Emii nililokusea Mimi , Emii... " Wazee wa Bandari meli hiyooo!!" Wazee wa Mivinjeni!! Wapiga mvinyo!! Enzi hizo TCC Club. Eee bana ee! Watu walijua maana ya starehe!
  3. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nielekeze wapi naweza ku download hii series ya Kikorea....!?

    Natafuta Korean series inayoitwa Arthdal Chronicles....! Nimehadithiwa habari yake kwa Uchache, kuhusu Igutu wenye Damu yenye rangi ya Zambarau...!!! Wapi naweza ku download hii series..!??
  4. W

    JamiiForums Tanzania Wafanyakazi wa G4S tuliohamishiwa Zanzibar tunaomba ofisi ihamishie michango yetu ya Hifadhi ya Jamii NSSF kutoka ZSSF

    Sisi ni wa wafanyakazi tuliohamishiwa Zanzibar toka Bara kwa ajili ya kufanya kazi za ulinzi kwa miaka na siku tofauti. Tulipohamishiwa hapa visiwani kampuni yetu ya G4S ilitupatia mishahara yetu na kutuma michango yetu ya mifuko ya hifadhi ya jamii kama ada katika mifuko yetu ya hifadhi za...
  5. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wapi Nitapata Camera lens za simu? zenye fisheye and wide angle lens?

    Habari zenu wana Jf, Naomba kujua kwa hapa bongo naweza pata wapi hizi Camera lens za simu. Cc Chief-Mkwawa
  6. JamiiForums Tanzania CHADEMA watueleze US$100,000 walizopewa na OpenSociety Nairobi kwa ajili ya kesi Mbowe zipo wapi?

    Wanaukumbi. CHADEMA na Wanaharakati kama kwelli mnapenda haki na uwazi kuwa mfano kama mnataka kupewa dola watueleze US$100,000 takribani Tsh. 230m) mlizopewa na OpenSociety (Nairobi) kwa ajili ya kesi ya kushughukia kesi ya Freeman Mbowe, zimetumika kufanya nini? Watanzania wapenda haki na...
  7. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nina idea ya Educational technology product... Wapi naweza pata msaada wa fund au partnership?

    Nina Idea ya product ya Educational technology. Ila ipo kwenye mahandishi mpaka sasa. Ni wapi naweza pata mfadhili au mtu wa kufanya nae partnership? Naombeni msaada wa mawazo.
  8. JamiiForums Tanzania Tuma picha wakali wa Location wakwambie Hapo ni wapi

    Naanza mimi. Niambieni hapa ni wapi😃😃
  9. JamiiForums Tanzania Waliojenga kando ya bahari au maziwa, majitaka yao huenda wapi?

    Kwa hapa Tanzania, na huko Ulaya. Huwa yanaenda wapi?
  10. JamiiForums Tanzania Wapi nitaweza kutibiwa varicocele?

    Habari zenu humu ndani. Mimi nina tatizo kitaalam linaitwa varicoceles. ( left varicoceles) limegundulika baada ya vipimo vya ultrasound. Nimeelezwa kuwa tatizo hili ndilo linanipelekea mimi kuwa na low sperm count. Je, ni hospitali gani naweza kutibiwa tatizo hili au kama mtu ana...
  11. N

    JamiiForums Tanzania Nilifikiri ni New Page imeanza lakini wapi! Hakika sitampigia kura 2025

    Kama ilivyo ID yangu - yaani New Page. Baada ya JPM kuondoka niliamini tunaanza ukurasa mpya. Nilikuwa wa kwanza kwanza kuonesha kuwa hii ni Awamu ya Sita na si ya Tano, ingawa ilibishiwa sana. Nilianzisha ID hiyo kuonesha kuanza ukurasa mpya. Hata hivyo kadri siku zinavyoenda ile appetite ya...
  12. JamiiForums Tanzania Kuhusu wapi naweza kupima kipimo cha PCR jijini Dar?

    Ningependa kujua wapi naweza pata kupima pcr?majibu yanatoka kwa mda gani nikipima?na mwisho nataka kujua gharama zake?Nahitajika kujua kwa haraka ili niweze kusafiri kwenda Rwanda alhamisi. asanteni sana
  13. JamiiForums Tanzania Je, Mungu aliumba ulimwengu akiwa wapi?

    Namaanisha kabla ya ulimwengu kuumbwa, Mungu aliumba ulimwengu na kila kilichomo akiwa wapi? Je, alikuwa Mbinguni? Na wakati anaumba mbingu, alikuwa anaiumba akiwa wapi? =========================== Update: 14/01/2024 https://www.nationalgeographic.com/science/article/what-is-the-multiverse
  14. JamiiForums Tanzania Huyu Askofu Mwamakula ni mfuasi wa vyama vya upinzani tu.? Kanisa lake liko wapi hapa Dar.?

    Hivi huu Mwamba Mwamakula kanisa lake kwa hapa Dar lipogo wapi na ibada ni saa ngapi?Maana anaonekana zaidi kwenye matukio na mihadhara ya siasa ya vyama upinzani kuliko Kanisani. Yaani kuna watu Mwamakula wakimuona tu,kinachowajia kichwani ni Siasa za upinzani,wala si neno la Mungu. Kwa mfano...
  15. JamiiForums Tanzania Napata wapi dalali wa magari (used) ambaye ni muaminifu na anakulengesha kwenye gari nzuri

    Shida ndio hiyo kwanye mada.kama kuna anaye mfahamu dalali au kampuni inayo uza magari used na bei nzuri sio used kutoka japan iwe used hapa hapa home , used zabjapan bei imechangamka Maeneo iwe Mwanza, Dar, Arusha au Dodoma
  16. JamiiForums Tanzania Naomba ushauri "huyu" mtoto aende wapi na akasome nini?

    Habari waungwana. Nina mtoto hapa ambaye matokeo yake ya Kidato cha nne ni Kama ifuatavyo. Amepata "C" katika Civics, Kiswahili, Chemistry na Biology. Amepata " D" katika History, Geography, Literature, English, physics na Hisabati. Hivyo ana "C" nne na " D" sita. Division three point 24.
  17. JamiiForums Tanzania Mjadala wa Elimu umeishia wapi?

    Nafikiri sote tunakumbuka vyema kuna mjadala wa Elimu uliibuka mwaka jana na ulianza kabla ya hapo ila nafikiri uliimarika mwaka jana. Hoja kuu ilikuwa ni Elimu yetu ya sasa haimnufaishi mwanafunzi na hata mzazi au jamii ilomsomesha. Kulikuwa na makongamano kadhaa. Lile la Mlimani City na...
  18. U

    JamiiForums Tanzania Kitengo cha Habari TANESCO kina wafanyakazi zaidi ya 200 nchini. Waondolewe waende wapi Waziri January?

    Maagizo ya waziri wa Nishati Mh. January ni kwamba kutokana na Wananchi kutopewa habari juu ya mikakati pamoja na kukatika umeme basi kitengo husika kimefeli hivyo kitengo hicho kibomolewe na kilete watu wengine. Kazi za watu wa habari ni kuchukua habari kutoka kwa viongozi na watu wa fundi na...
  19. JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu Kassim Majaliwa yuko wapi? Kimya sana, kulikoni?

    Salaam Wakuu; Waziri Mkuu kawa kimya sana miezi ya karibuni, tatizo ni Nini? Hii Hali ni tofauti na mwanzo alikua akitoa ushirikiano na kila wakati tutamsikia kwenye media akieleza mambo kadhaa na kukagua miradi ya serikali, sasa haonekani Tena! Nini shida?
  20. JamiiForums Tanzania Gharama za vifurushi vya intaneti zapandishwa tena kimya kimya. Je, ni censorship ya aina yake?

    Ni mwendo ule ule, umafia wa kimya kimya, kwa Voda na Tigo wameanza kutesti mitambo kwa kkupunguza GB za vifurushi vya mwezi. Kuanzia sasa tutegemee lolote, hii ni trailer tu, bado muvi kamili ya machinjo yatayofanyika kimya kimya gizani usiku wa manane, nadhani tunaweza kuamka asubuhi...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…